< 1 Timotheo 5 >

1 Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;
Da: i hamoi dunu amola asigilai dunu, ilima ougili gagabole mae sia: ma. Be ilima dia “ada” agoane sia: ma. Ayeligi dunu ilima “naeya” agoane sia: ma.
2 nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.
Asigilai uda, ilima “ame” agoane sia: ma. A: fini ilima “aeya” agoane sia: ma, amola ilima wadela: lewane mae dawa: ma.
3 Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli.
Didalo da ilisu esalebeba: le, ilima asigiwane hamoma.
4 Kama mjane ana watoto ama wajukuu, hawa inawapasa awali ya yote wajifunze kutimiza wajibu wao wa kumcha Mungu katika matendo kwa kuwatunza wale wa jamaa zao wenyewe, na hivyo wawarudishie wema waliowatendea wazazi wao, kwa kuwa hivi ndivyo impendezavyo Mungu.
Be didalo ea mano o ea ya: ya esalea, defea, amo mano ilia ame noga: le fidimu da defea. Ada ame amola aowa aya: amola musa: ilia mano noga: le fidibiba: le, mano ilia dabe bu noga: le fidisia, Gode da hahawane ba: mu.
5 Mwanamke ambaye ni mjane kweli kweli, yaani, yeye aliyebaki peke yake huweka tumaini lake kwa Mungu naye hudumu katika maombi usiku na mchana akimwomba Mungu ili amsaidie.
Didalo da hisu esalebebe, ema hobea misunu hou dafawane hamoma: beyale dawa: lusu e da Gode Ea lobo ganodini ligisili, eso amola gasi, huluane ea hou Gode fidima: ne sia: ne gadosa, amo da hahawane esalumu.
6 Lakini mjane aishiye kwa anasa amekufa, ingawa anaishi.
Be didalo da udigili osobo bagade hedesu hou hamosea, e da esala be a: silibu bogoiwane ba: sa.
7 Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.
Dunu eno ilia didalo mae higale ba: ma: ne, didaloma amo sia: olelema.
8 Kama mtu hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.
Be nowa dunu da ea fi dunu amola baligili ea sosogo fi dunu, amo noga: le hame ouligisia, e da Yesu Gelesu Ea hou yolesi dagoi agoane ba: sa. Ea wadela: i hou da Yesu Ea hou hame lalegagui dunu amo ea wadela: i hou baligi dagoi.
9 Mjane yeyote asiwekwe kwenye orodha ya wajane isipokuwa awe ametimiza umri wa miaka sitini, na ambaye alikuwa mke wa mume mmoja,
Be Yesu Ea fa: no bobogesu fi da didalo amo ilia lalelegei ode 60 amo baligi dagoiba: le amola e da dunu afadafa amoma fi dagoiba: le, amo didalo fidima.
10 awe ameshuhudiwa kwa matendo yake mema, aliyewalea watoto wake vizuri, aliye mkarimu, aliyewanawisha watakatifu miguu, aliyewasaidia wenye shida na aliyejitolea kwa ajili ya matendo mema ya kila namna.
Amola noga: iwane hamosu didalo, e da musa: ea mano noga: le ouligisu amola e da ea diasuga ga fi misi dunu noga: le aowasu, eno Gode Ea hou lalegagui dunu fidisu amola dunu da se nabasea fidisu. Didalo da agoaiwane hamonanebe ba: sea, ili fawane fidima.
11 Lakini kwa habari za wajane vijana usiwaweke kwenye orodha hiyo, maana tamaa zao za kimaumbile zikizidi kule kujitoa kwao kwa Kristo, watataka kuolewa tena.
Be amo sia: da hame asigilai didalo ilima hame sia: sa. Ilia da dunuma fimu hanaiba: le, hedolowane Yesu Ea hou yolesisa.
12 Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.
Amasea, ilia Yesuma fa: no bobogemu ilegele sia: i, amo wadela: sa.
13 Zaidi ya hayo, wajane kama hao huwa na tabia ya uvivu wakizurura nyumba kwa nyumba, wala hawawi wavivu tu, bali pia huwa wasengenyaji, wajiingizao katika mambo yasiyowahusu na kusema mambo yasiyowapasa kusema.
Amo didalo ilia udigili diasu eno diasu enoga asili, udigili sia: dalebeba: le, eso udigili ha: digisa. Ilia hedolowane dunu o uda eno wadela: ma: ne baligidu sia: daha amola wadela: i sia: daha.
14 Hivyo nawashauri wajane vijana waolewe, wazae watoto na wasimamie nyumba zao, wasije wakampa adui nafasi ya kutushutumu.
Amaiba: le, hame asigilai didalo ilia dunuma fili, mano lalelegele, diasu noga: le ouligisia, ninima ha lai dunu da ninima wadela: ma: ne sia: mu logo hame ba: mu, amo na da hanai gala.
15 Kwa maana kwa kweli wajane wengine wamepotoka ili kumfuata Shetani.
Bai didalo mogili ilia da Yesu Ea hou yolesili, Sa: ida: nema fa: no bobogesa.
16 Lakini kama mwanamke yeyote aaminiye ana wajane katika jamaa yake, inampasa awasaidie wala si kuwaacha wakililemea kanisa, ili kanisa liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kweli kweli.
Be Yesu Ea hou lalegagui uda ea sosogo fi amo ganodini didalo esala galea, e da amo didalo noga: le ouligimu da defea. Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu da didalo amo hisu esalebe, amo ilia da noga: le ouligimu da defea.
17 Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vizuri wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhubiri na kufundisha.
Yesu Ea fa: no bobogesu fi asigilai dunu da noga: le hawa: hamosea, ilima bidi adunawane imunu da defele ba: mu. Nowa da eso huluane gasa bagadewane Gode Ea sia: olelesea, e da baligiliwane lamu da defea.
18 Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”
Bai Gode Sia: da agoane dedei diala, “Bulamagau da gagoma oso fadegama: ne, gagoma fai amoga osa: la ahoasea, amo ea lafi mae la: gima!” Eno dedei da, “Hawa: hamosu dunu amo ea hamoi defele bidi lamu da defea!”
19 Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.
Dunu da asigilai dunu amoma fofada: musa: dawa: sea, e da ba: su dunu aduna o aduna baligi amo oule masea fawane fofada: ma.
20 Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
Nowa dunu da wadela: le hamosea, dunu huluanedafa ba: ma: ne, amo dunuma gagabole sia: ma. Eno dunu beda: ma: ne agoane hamoma.
21 Ninakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu na mbele za malaika wateule, shika maagizo haya pasipo ubaguzi wala upendeleo.
Gode, Yesu Gelesu amola hadigi a: igele dunu amo ilia midadi, na da dima amane hamoma: ne sia: sa! Na sia: huluane noga: le nabawane hamoma! Dunu enoma higale, enoma hahawane, amo mae hamoma! Be huluane ilima defele dia hou huluane hamoma.
22 Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki dhambi za watu wengine. Jilinde nafsi yako uwe safi.
Dunu da Hina Gode Ea hawa: hamomusa: dawa: sea, e da hawa: hamoma: ne ilegemusa: , dia lobo e da: iya hedolo mae ligisima. Dunu eno ilia wadela: i hou amoma mae gilisima. Dia hou da ledo hamedei ba: mu da defea.
23 Acha kunywa maji peke yake, tumia divai kidogo kwa sababu ya tumbo lako na maumivu yako ya mara kwa mara.
Hano fawane mae moma. Be Dimodi, di da eso bagohame hagomo oloiba: le, waini hano fonobahadi manu da defea.
24 Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
Dunu mogili ilia wadela: i hou da hedolo ba: beba: le, ilia hobea fofada: mu hou ninia dawa: Be eno ilia wadela: i hou da hobea fawane ba: mu.
25 Vivyo hivyo, matendo mema yako dhahiri, na hata yale ambayo si mema hayawezi kufichika.
Amo defele, hawa: hamosu ida: iwane ninia hedolo ba: sa. Amola mogili hawa: ida: iwane hamosa, da fonobahadi wamolegei be wamolegemudafa da hamedei gala.

< 1 Timotheo 5 >