< 1 Timotheo 4 >
1 Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.
Henu Roho ijobha pa bhuasi kujha mu nyakati syasihid baadhi jha bhanu bhibetakujhileka imani ni kujha makini kup'el'ekesya roho syasikofya ni mafundisu gha kipepo ghaghibeta kumanyisibhwa
2 Mafundisho kama hayo huja kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki, hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa moto.
mu udesi ni bhunafiki. Dhamiri sya bhene sibetakusanusibhwa.
3 Wao huwakataza watu wasioe na kuwaagiza wajiepushe na vyakula fulani, ambavyo Mungu aliviumba ili vipokewe kwa shukrani na wale wanaoamini na kuijua kweli.
Bhibetakubesya kugega ni kujhop'elela fyakulya ambafyo K'yara afibhombili fitumibhuajhi kwa kubhombesya mugati mwa bhene bhabhikiera ni bhabhajhimanyili kweli.
4 Kwa maana kila kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani,
Kwandabha khila khenu ambakyo K'yara akibhombili ndo kinofu. Kijhelepi ambakyo twijhop'el'ela kwa kubhombesya kilondeka kubelekelibhwa.
5 kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Kwandabha kitakasibhwa kup'et'ela lilobhi lya K'yara ni kwa njela jha maombi.
6 Kama ukiwakumbusha ndugu mambo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, uliyelelewa katika kweli ya imani na yale mafundisho mazuri uliyoyafuata.
Kama wibeta kughabheka mambo agha palongolo pa ndongobhu, wibetakujha mtumishi nnofu ghwa Yesu Kristu. Kwandabha ustawishi kwa malobhi gha imani kwa mafundisu manofu ambagho ughakesisi.
7 Usijishughulishe kamwe na hadithi za kipagani na masimulizi ya uongo ya wanawake wazee; badala yake, jizoeze kuwa mtauwa.
Lakini sibelayi hadithi sya kidunia ambasyo simalili kupeta ni bhwakati ni bhadala bhaseya. Badala jhiake ukimanyisiajhi ghwe muene mu utaua.
8 Kwa maana mazoezi ya mwili yana faida kwa sehemu, lakini utauwa una faida katika mambo yote, yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa na ya ule ujao.
Kwa ndabha mazoezi gha mb'el'e ghilondeka padebe, bali utauwa wilondeka nesu kwa maombi ghoha. Itunza ahadi kwa maisha henu ni ghala ghaghihida.
9 Hili ni neno la kuaminiwa tena lastahili kukubaliwa kabisa,
Bhujumbe obho ndo bhwakuaminibhwa na wilondeka kujhedekelibhwa nesu.
10 (nasi kwa ajili ya hili tunajitaabisha na kujitahidi), kwamba tumeweka tumaini letu kwa Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi wa watu wote, hasa wale waaminio.
Kwa kujha ndo kwandabha ejhe twilombosibhwa ni kubhomba mahengu kwa bidii nesu. Kwandabha tujhe ni ujasiri kwa K'yara jha ajhe hai, ambajhe ndo n'kombosi ghwa bhanu bhoha, lakini hasa kwa bhabhikiera.
11 Mambo haya yaagize na kuyafundisha.
Ughajobhayi ni kughamanyisya mambo agha.
12 Mtu yeyote asikudharau kwa kuwa wewe ni kijana, bali uwe kielelezo kizuri kwa waumini katika usemi, mwenendo, upendo, imani na usafi.
Munu jhejhioha asijhimuli usongolo bhwa jhobhi. Badala jhiake, ujhelayi mfuanu kwa bhoha bhabhikiera, mu bhujobhi, kagendelu, luganu, bhuaminifu, ni bhunofu.
13 Fanya bidii kusoma Maandiko hadharani, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.
Mpaka panibetakuhida, damu mu kumanyila mu kuonya, ni mu kumanyisya.
14 Usiache kutumia kipawa kilicho ndani yako, ambacho ulipewa kwa neno la unabii wakati wazee walikuwekea mikono.
Usijhimuli karama jha jhijhele mugati mwa jhobhi, ambajho ghwapelibhu kup'et'ela unabii, kwa kubhekibhwa mabhoko ni bhaseya.
15 Uwe na bidii katika mambo haya; ujitolee kwa ajili ya mambo haya kikamilifu, ili kila mtu aone kuendelea kwako.
Ughajaliajhi mambo agha. Utamayi kwa aghu ili kutama kwa bhebhe kujhiaghe dhahiri kwa bhanu bhoha. Zingatilayi nesu mwenendo bhwa jhobhi ni mafundisu.
16 Jilinde sana nafsi yako na mafundisho yako. Dumu katika hayo, kwa maana kwa kufanya hivyo, utajiokoa wewe mwenyewe pamoja na wale wanaokusikia.
Dumuajhi mu mambo agha. Ndabha kwa kubhomba naha wibetakwiokola ghwe muene ni bhala bhabhikup'elekesya.