< 1 Timotheo 3 >

1 Hili ni neno la kuaminiwa, kwamba mtu akitamani kazi ya uangalizi, atamani kazi nzuri.
Akcang pyen ta: Kpami mat naw sangcim üng ngvai a bi hlü hin akdaw säiha ngaihnak ni.
2 Basi, imempasa mwangalizi awe mtu asiye na lawama, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ajuaye kufundisha,
Sangcim ngvai cun kbäüeinak am ve yah: a khyu mat däk ve yah khai, a mlung mhnemki, amät nängeiki, dawkyaki, a ima khin khina theiki, mtheinak pi pawh theiki,
3 asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha.
ju käh mpyüiki, ngtun käh pawhki, hniphnawiki, dim’ye lü ngui pi käh jawng na yah khai,
4 Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia.
ani cun amäta imkyawng up khawh lü a canae naw leisawng u lü a mtheh pi ngja yah khaie.
5 (Kwa maana kama mtu hajui jinsi ya kusimamia nyumba yake mwenyewe, atawezaje kuliangalia kanisa la Mungu?)
Amäta imkyawng up vai am ksingki naw ihawkba Pamhnama sangcim cun msümcei khai ni?
6 Asiwe mtu aliyeokoka karibuni asije akajivuna na kuangukia kwenye hukumu ile ile ya ibilisi.
Jumeinak üng ngkhäng lü käh awhcah yah khai, Khawyai cun awhcah lü mkatnak a yaha kba käh thawn khai ni.
7 Inampasa pia awe na sifa njema kwa watu walio nje, ili asije akalaumiwa na kuanguka kwenye mtego wa ibilisi.
Ani cun sangcim k'uma am veki khyange naw ami leisawng üngva Khawyaia mannak hlü üng lät lü a jo pi am se khai ni.
8 Vivyo hivyo, mashemasi nao wawe watu wanaostahili heshima, wasiwe wenye kauli mbili au wenye kujifurahisha kwa mvinyo, wala wanaotamani faida isiyo halali.
Sangcim k'uma khüikie pi ngneisak daw lü ngcimcaihki; nguia hnu käh läk lü ju pi käh mpyüihmah yah khai;
9 Inawapasa kushikamana sana na ile siri ya imani kwa dhamiri safi.
amimi naw mdana ngthungtak cun ksingkhyapnak kcang am kcüng yah khaie ni.
10 Ni lazima wapimwe kwanza; kisha kama hakuna neno dhidi yao, basi na waruhusiwe kuhudumu kama mashemasi.
Akcüka sükcetnak kham u lü acun ami lät üng khüi bi yah khaie.
11 Vivyo hivyo, wake zao wawe wanawake wanaostahili heshima, wasio wasingiziaji, bali wawe na kiasi na waaminifu katika kila jambo.
Ami khyue pi ami ngneisak daw lü cawkcek käh pawh lü anaküt üng thephya lü mlung mhnemkiea kya yah khaie ni.
12 Shemasi awe mume wa mke mmoja na inampasa aweze kusimamia watoto wake na watu wa nyumbani mwake vyema.
Sangcim üng khüiki cun a khyu mat däk ve yah khai, a canae ja a imkyawng cun akdawa jah up khawh yah khai.
13 Wale ambao wamehudumu vyema katika huduma ya ushemasi hujipatia msimamo bora na ujasiri mkubwa katika imani yao ndani ya Kristo Yesu.
Sangcim k'uma khüikie cun akdawa ngdüi tho lü Khritaw Jesuh jumeinaka mawng pi ling lü pyen khawh yah khai.
14 Ingawa ninatarajia kuja kwako hivi karibuni, ninakuandikia maagizo haya sasa ili kwamba,
Ahina ca ka yuk lawa kba, säng säng se nami veia law lü ning jah hmu khaia äpei veng.
15 kama nikikawia, utajua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, ambayo ndiyo kanisa la Mungu aliye hai, lililo nguzo na msingi wa kweli.
Lüpi ka cü üngta ahina ca naw ngthungtak däh lü ktunga kyakia Pamhnama imbung ja xüngseikia Pamhnama sangcim k'uma ihawkba vecawh vai ti cun ning jah ksingsak khai ni.
16 Bila shaka yoyote, siri ya utauwa ni kubwa: Alidhihirishwa katika mwili wa kibinadamu, akathibitishwa kuwa na haki katika Roho, akaonekana na malaika, akahubiriwa miongoni mwa mataifa, akaaminiwa ulimwenguni, akachukuliwa juu katika utukufu.
Mi hjawkkhah ning ihlawka ngthup lü dämki ti cun u naw pi am kpet khawh: Ani cun nghngicima kba ngdang law lü akcün akha üng Ngmüimkhya naw a ngdansak, khankhawngsä he naw hmukie, ani cun khyangmjüea veia kpyaü hükie, khawmdek lum üng jumei u lü khankhawa kai beki ni.

< 1 Timotheo 3 >