< 1 Timotheo 2 >

1 Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote:
Hubhe emade gonti, ehwanza eputo ne shiputo na putilwe na salifwe hwa bhantu bhoti,
2 kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.
huje amwene bhoti bhabhali muu gosi aje timanye adele husiku enyinza abhatauwa bhoti abhe shishi.
3 Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,
Eli linza nantele lihwete wa hwi tagalila hwa Ngolobhe ofwozi wetu.
4 anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.
Omwe ansongwa aje abhantu bhonti bhafwolwe nantele bhaimanye elyoli.
5 Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu,
Hwa huje ahweli Ongolobhe omo, nantele ali okhomanyi omo owa Ngolobhe na bhantu yali Kilisti oYesu.
6 aliyejitoa mwenyewe kuwa fidia kwa ajili ya wanadamu wote: jambo hili lilishuhudiwa kwa wakati wake ufaao.
Ahwifumize mwene afidiye hwa bhonti, gagalolile hunsiku zyezibhalile.
7 Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe mhubiri na mtume (nasema kweli katika Kristo wala sisemi uongo), mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli.
Nantele ane nemwene eha bhombile abhe jube eyangalyoli sagaeyanga ilenga. Ane edi manyizi hwa bhantu bhasebha puta hunyinza zyalwoli.
8 Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana.
Nantele uhwanza alume papoti bhapute na bhosye amakhono amiza bila avitwe nasanje.
9 Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe kwa adabu na kwa heshima katika mavazi yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,
Shesho nantele abhashe bhahwikwatizye amendega gahwetewa hushishi nahizije. Bhaganje bhene nsisi zyazitawilwa ne zahabu, ne Lulu, na menda agehele engosi.
10 bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.
Nantele ejigabhakwale amenda gaga hwanziwa abhashe bhabhahwete oputi ashelele embobo enyiza.
11 Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote.
Oshi ahwimanzye abhe shibhatama nantele neshishi yoti.
12 Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya.
Ogaje huluhusu oshe amanzye nantele abhe gosi pamwanya palume nante akhalemye.
13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.
Nantele oHadamu abhombwelwe ahwade nantele oEva.
14 Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.
O Hadamu sagakhopelelwe lelo she akhopelelwe tee nashi abagulwe.
15 Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, kama wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi.
Hata eshi afwolwashilole apape abhana nkashelebhai yedelela ashilele owinza no lugano na lwozwo nenjele enyinza.

< 1 Timotheo 2 >