< 1 Timotheo 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.
Paul, apôtre de Jésus-Christ, selon le commandement de Dieu notre Sauveur et du Seigneur Jésus-Christ notre espérance,
2 Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
à Timothée, mon véritable enfant dans la foi: Grâce, miséricorde et paix de la part de Dieu notre Père et du Christ Jésus notre Seigneur.
3 Kama nilivyokusihi wakati nilipokwenda Makedonia, endelea kubaki Efeso, ili kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee kufundisha mafundisho ya uongo
Comme je vous en ai prié lorsque j'allais en Macédoine, restez à Éphèse, afin d'ordonner à certains hommes de ne pas enseigner une doctrine différente,
4 wala wasitoe muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha za majina ya vizazi visivyo na mwisho, ambazo huchochea mabishano badala ya mpango wa Mungu utokanao na imani.
et de ne pas s'attacher à des mythes et à des généalogies sans fin, qui provoquent des disputes plutôt qu'à l'intendance de Dieu, qui est dans la foi.
5 Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli.
Or, le but de ce commandement, c'est l'amour venant d'un cœur pur, d'une bonne conscience et d'une foi sincère,
6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,
choses dont quelques-uns, ayant manqué le but, se sont détournés pour se livrer à de vains discours,
7 wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.
voulant être docteurs de la loi, bien qu'ils ne comprennent ni ce qu'ils disent ni ce qu'ils affirment avec force.
8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.
Mais nous savons que la loi est bonne, si quelqu'un en fait un usage légitime,
9 Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru; kwa wale wawauao baba zao au mama zao, kwa wauaji,
sachant que la loi n'a pas été faite pour un juste, mais pour les impies et les insubordonnés, pour les impies et les pécheurs, pour les impies et les profanes, pour les meurtriers de pères et les meurtriers de mères, pour les meurtriers d'hommes,
10 kwa wazinzi na wahanithi, kwa wale wauzao watu, na kwa waongo na waapao kwa uongo, na kwa chochote kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli,
pour les impudiques, pour les homosexuels, pour les esclavagistes, pour les menteurs, pour les parjures, et pour toute autre chose contraire à la saine doctrine,
11 ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi nimewekewa amana.
selon la Bonne Nouvelle de la gloire du Dieu béni, qui m'a été confiée.
12 Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake.
Je rends grâces à celui qui m'a rendu capable, le Christ Jésus notre Seigneur, parce qu'il m'a compté parmi les fidèles, en me nommant au service,
13 Ingawa wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji na mwenye jeuri, lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda hivyo kwa kutojua na kutoamini kwangu.
bien que j'aie été autrefois un blasphémateur, un persécuteur et un insolent. Mais j'ai obtenu miséricorde, parce que j'ai agi par ignorance, dans l'incrédulité.
14 Neema ya Bwana wetu ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
La grâce de notre Seigneur a surabondé par la foi et la charité qui est dans le Christ Jésus.
15 Msemo huu ni wa kweli na unaostahili kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi, ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote.
La parole est fidèle et digne d'être accueillie, que Jésus-Christ est venu dans le monde pour sauver les pécheurs, dont je suis le premier.
16 Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
Mais c'est pour cela que j'ai obtenu miséricorde, afin qu'en moi d'abord, Jésus-Christ déploie toute sa patience pour servir d'exemple à ceux qui allaient croire en lui pour la vie éternelle. (aiōnios g166)
17 Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Maintenant, au Roi éternel, immortel, invisible, à Dieu qui seul est sage, honneur et gloire dans les siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
18 Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili, kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vita vizuri,
Je te confie cette instruction, mon enfant Timothée, selon les prophéties qui t'ont été données auparavant, afin que, par elles, tu fasses le bon combat,
19 ukiishikilia imani na dhamiri njema, ambazo wengine wamevikataa, na hivyo wakaangamia kwa habari ya imani yao.
en gardant la foi et la bonne conscience, que quelques-uns ont rejetées et qui ont fait naufrage dans la foi,
20 Miongoni mwao wako Himenayo na Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili wafundishwe wasije wakakufuru.
parmi lesquels sont Hyménée et Alexandre, que j'ai livrés à Satan pour qu'il leur enseigne à ne pas blasphémer.

< 1 Timotheo 1 >