< 1 Timotheo 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.
Paul apostle (lord: God *O*) Christ Jesus according to command God savior me and (lord: God *K*) Christ Jesus the/this/who hope me
2 Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
Timothy genuine child in/on/among faith grace mercy peace away from God father (me *K*) and Christ Jesus the/this/who lord: God me
3 Kama nilivyokusihi wakati nilipokwenda Makedonia, endelea kubaki Efeso, ili kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee kufundisha mafundisho ya uongo
as/just as to plead/comfort you to remain/persist in/on/among Ephesus to travel toward Macedonia in order that/to to order one not to teach heresy
4 wala wasitoe muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha za majina ya vizazi visivyo na mwisho, ambazo huchochea mabishano badala ya mpango wa Mungu utokanao na imani.
nor to watch out myth and genealogy endless who/which (speculation *N(k)O*) to furnish occasion more: rather or management God the/this/who in/on/among faith
5 Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli.
the/this/who then goal/tax the/this/who order to be love out from clean heart and conscience good and faith genuine
6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,
which one to deviate to turn/wander away toward babble
7 wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.
to will/desire to exist teacher of the law not to understand neither which to say neither about which? to insist
8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.
to know then that/since: that good the/this/who law if one it/s/he lawfully to use
9 Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru; kwa wale wawauao baba zao au mama zao, kwa wauaji,
to know this/he/she/it that/since: that just law no to lay/be appointed lawless then and insubordinate ungodly and sinful unholy and profane patricide and matricide murderer
10 kwa wazinzi na wahanithi, kwa wale wauzao watu, na kwa waongo na waapao kwa uongo, na kwa chochote kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli,
sexual sinner sodomite slave-trader liar perjurer and if one other the/this/who be healthy teaching be an opponent
11 ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi nimewekewa amana.
according to the/this/who gospel the/this/who glory the/this/who blessed God which to trust (in) I/we
12 Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake.
(and *k*) grace to have/be the/this/who to strengthen me Christ Jesus the/this/who lord: God me that/since: that faithful me to govern to place toward service
13 Ingawa wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji na mwenye jeuri, lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda hivyo kwa kutojua na kutoamini kwangu.
(the/this/who *N(k)O*) previously to be blasphemous and persecutor and insolent man but to have mercy that/since: since be ignorant to do/make: do in/on/among unbelief
14 Neema ya Bwana wetu ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
to abound then the/this/who grace the/this/who lord: God me with/after faith and love the/this/who in/on/among Christ Jesus
15 Msemo huu ni wa kweli na unaostahili kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi, ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote.
faithful the/this/who word and all acceptance worthy that/since: that Christ Jesus to come/go toward the/this/who world sinful to save which first: best to be I/we
16 Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
but through/because of this/he/she/it to have mercy in order that/to in/on/among I/we first: best to show Christ Jesus the/this/who (all *N(K)O*) patience to/with example the/this/who to ensue to trust (in) upon/to/against it/s/he toward life eternal (aiōnios g166)
17 Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
the/this/who then king the/this/who an age: eternity incorruptible invisible alone (wise *K*) God honor and glory toward the/this/who an age: eternity the/this/who an age: eternity amen (aiōn g165)
18 Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili, kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vita vizuri,
this/he/she/it the/this/who order to set before you child Timothy according to the/this/who to go/bring before upon/to/against you prophecy in order that/to (to battle *NK(o)*) in/on/among it/s/he the/this/who good warfare
19 ukiishikilia imani na dhamiri njema, ambazo wengine wamevikataa, na hivyo wakaangamia kwa habari ya imani yao.
to have/be faith and good conscience which one to reject about the/this/who faith be shipwrecked
20 Miongoni mwao wako Himenayo na Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili wafundishwe wasije wakakufuru.
which to be Hymenaeus and Alexander which to deliver the/this/who Satan in order that/to to instruct not to blaspheme

< 1 Timotheo 1 >