< 1 Wathesalonike 1 >

1 Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Yesu Kristo: Neema iwe kwenu na amani.
Paulo, Silwano nu Timotheo wishivanza lya Tethesalonike pipo ungulubhe uDada nu Gosi u Yesu U Kilisti. Wene nu waushe bhumwe.
2 Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima.
Tufumwa ulumbizyo wangulubhe habhili aje yinyu mwinti palatuntabula hunyibutozyituu.
3 Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.
Tubhabuha witagalila lya Ngulubhi nu Dada witagalila lya yinyuuu yitwiha, ubhovi lyi lungano, unkumbelezyo wuli nuda damazu uwami wapamandii uliwadada uYesu Kilisti.
4 Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua,
Mwamituu mwaganilye nu Ngulubhi, timanyile akugwe winyuu.
5 kwa sababu ujumbe wetu wa Injili haukuja kwenu kwa maneno matupu bali pia ulidhihirishwa katika nguvu na katika Roho Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu.
Ni ishi izyo lyituu shalyaheza hulitii sigawino ngwatuu, wikhone nupepo usangalusu. Lelo wiisho ishawahenza mmenye atii twali bholii muhatiye yinyuu lihabha lyalimwi.
6 Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu.
Mwalibhantu wejeshele atii nungosi, nishi pamwoshile izyo namaimba nubhosu uufuma upepo usangalusu.
7 Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya.
Agabhoneha mwabhashimanyilo wautii Makedonia Akaiya ibhawitishe.
8 Kwa maana kutoka kwenu neno la Bwana limesikika, si katika Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kwamba hatuna haja ya kusema lolote kwa habari yake.
Pipo izyo lya Ngulubhi lyenilemwutii sana wa Mekadonia na Akaiya bhene. Nantele yititiolyi nyulwa Ngulubhi humanyishe woti. Efumeiepo hatuwanza Eyanjehahonti.
9 Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli
Phepovhio awene bhatazwa uvhoneshelo witu wali bhulili namwe, bhayangasha mwagalushila Ungulubhi afume humazimu na bhombele Ungulubhi umwumwanalyoli.
10 na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.
Bhafumizye inongwa aje mugula umwana wakwe humanya, yazyuzyusiwe afumehuzimuu. Yunanu yu Yesu yatubhiha bhaushe afumee wilyoyo lyalayinza.

< 1 Wathesalonike 1 >