< 1 Wathesalonike 1 >

1 Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Yesu Kristo: Neema iwe kwenu na amani.
Paul and Silvanus and Timothy the/this/who assembly Thessalonian in/on/among God father and lord: God Jesus Christ grace you and peace (away from God father me and lord: God Jesus Christ *K*)
2 Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima.
to thank the/this/who God always about all you remembrance (you *k*) to do/make: do upon/to/against the/this/who prayer me
3 Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.
unceasingly to remember you the/this/who work the/this/who faith and the/this/who labor the/this/who love and the/this/who perseverance the/this/who hope the/this/who lord: God me Jesus Christ before the/this/who God and father me
4 Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua,
to know brother to love by/under: by (the/this/who *no*) God the/this/who selecting you
5 kwa sababu ujumbe wetu wa Injili haukuja kwenu kwa maneno matupu bali pia ulidhihirishwa katika nguvu na katika Roho Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu.
that/since: since the/this/who gospel me no to be toward you in/on/among word alone but and in/on/among power and in/on/among spirit/breath: spirit holy and in/on/among assurance much as/just as to know such as to be in/on/among you through/because of you
6 Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu.
and you imitator me to be and the/this/who lord: God to receive the/this/who word in/on/among pressure much with/after joy spirit/breath: spirit holy
7 Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya.
so to be you (mark/example *N(K)O*) all the/this/who to trust (in) in/on/among the/this/who Macedonia and (in/on/among *no*) the/this/who Achaia
8 Kwa maana kutoka kwenu neno la Bwana limesikika, si katika Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kwamba hatuna haja ya kusema lolote kwa habari yake.
away from you for to ring/sound out the/this/who word the/this/who lord: God no alone in/on/among the/this/who Macedonia and (in/on/among the/this/who *no*) Achaia but (and *k*) in/on/among all place the/this/who faith you the/this/who to/with the/this/who God to go out so not need to have/be me to speak one
9 Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli
it/s/he for about me to announce what sort? entry (to have/be *N(k)O*) to/with you and how! to turn to/with the/this/who God away from the/this/who idol be a slave God to live and true
10 na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.
and to await the/this/who son it/s/he out from the/this/who heaven which to arise out from the/this/who dead Jesus the/this/who to rescue me (out from *N(k)O*) the/this/who wrath the/this/who to come/go

< 1 Wathesalonike 1 >