< 1 Wathesalonike 5 >
1 Basi, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira hatuna haja ya kuwaandikia,
Porém, irmãos, acerca dos tempos e das estações, não necessitais de que se vos escreva;
2 kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajapo usiku.
Porque vós mesmos sabeis muito bem que o dia do Senhor virá como o ladrão de noite;
3 Wakati watu wanaposema, “Kuna amani na salama,” maangamizi huwajia ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.
Pois que, quando disserem: há paz e segurança; então lhes sobrevirá repentina destruição, como as dores de parto àquela que está grávida; e de modo algum escaparão.
4 Bali ninyi, ndugu, hampo gizani hata siku ile iwakute ghafula kama mwizi.
Mas vós, irmãos, já não estais em trevas, para que aquele dia vos surpreenda como um ladrão.
5 Ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana. Sisi si wana wa giza wala wa usiku.
Todos vós sois filhos da luz e filhos do dia: nós não somos da noite nem das trevas.
6 Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi.
Não durmamos pois, como os demais, mas vigiemos, e sejamos sóbrios.
7 Kwa kuwa wote walalao hulala usiku na wale walewao hulewa usiku.
Porque os que dormem dormem de noite, e os que se embebedam embebedam-se de noite.
8 Lakini kwa kuwa sisi ni wana wa mchana, basi tuwe na kiasi, tukijivika imani na upendo kama dirii kifuani na tumaini letu la wokovu kama chapeo.
Mas nós, que somos do dia, sejamos sóbrios, vestindo-nos da couraça da fé e da caridade, e tendo por capacete a esperança da salvação.
9 Kwa maana Mungu hakutuita ili tupate ghadhabu bali tupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Porque Deus não nos tem designado para a ira, mas para a aquisição da salvação, por nosso Senhor Jesus Cristo.
10 Yeye alikufa kwa ajili yetu ili hata kama tuko macho au tumelala, tupate kuishi pamoja naye.
O qual morreu por nós, para que, quer vigiemos, quer durmamos, vivamos juntamente com ele.
11 Kwa hiyo farijianeni na kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.
Pelo que exortai-vos uns aos outros, e edificai-vos uns aos outros, como também o fazeis.
12 Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu, wale ambao wana mamlaka juu yenu katika Bwana na ambao wanawaonya.
E rogamo-vos, irmãos, que reconheçais os que trabalham entre vós e que presidem sobre vós no Senhor, e vos admoestam:
13 Waheshimuni sana katika upendo kwa ajili ya kazi zao. Ishini kwa amani ninyi kwa ninyi.
E tende-os em grande estima e amor, por causa da sua obra. Tende paz entre vós.
14 Nasi twawasihi, ndugu, waonyeni walio wavivu, watieni moyo waoga, wasaidieni wanyonge na kuwavumilia watu wote.
Rogamo-vos também, irmãos, que admoesteis os desordeiros, consoleis os de pouco ânimo, sustenteis os fracos, e sejais pacientes para com todos.
15 Angalieni kuwa mtu asimlipe mwenzake maovu kwa maovu, bali siku zote tafuteni kutendeana mema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.
Vede que ninguém dê a outrem mal por mal, mas segui sempre o bem, assim uns para com os outros, como para com todos.
18 shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu.
Em tudo dai graças; porque esta é a vontade de Deus em Cristo Jesus para convosco.
19 Msiuzime moto wa Roho Mtakatifu;
Não apagueis o espírito.
20 msiyadharau maneno ya unabii.
Não desprezeis as profecias.
21 Jaribuni kila kitu. Yashikeni yaliyo mema.
Examinai todas as coisas; retende o bem.
22 Jiepusheni na uovu wa kila namna.
Abstende-vos de toda a aparência do mal.
23 Mungu mwenyewe, Mungu wa amani, awatakase ninyi kabisa. Nanyi mhifadhiwe roho zenu, nafsi zenu na miili yenu, bila kuwa na lawama katika Bwana wetu Yesu Kristo.
E o mesmo Deus de paz vos santifique em tudo; e todo o vosso sincero espírito, e alma, e corpo, sejam conservados irrepreensíveis para a vinda de nosso Senhor Jesus Cristo.
24 Yeye aliyewaita ni mwaminifu naye atafanya hayo.
Fiel é o que vos chama, o qual também o fará.
26 Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu.
Saudai a todos os irmãos em ósculo santo.
27 Nawaagizeni mbele za Bwana mhakikishe kuwa ndugu wote wanasomewa barua hii.
Pelo Senhor vos conjuro que esta epístola se leia a todos os santos irmãos.
28 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. Amen.
A graça de nosso Senhor Jesus Cristo seja convosco. amém.