< 1 Wathesalonike 4 >
1 Hatimaye, ndugu, tuliwaomba na kuwasihi katika Bwana Yesu kwamba, kama mlivyojifunza kutoka kwetu jinsi iwapasavyo kuishi ili kumpendeza Mungu, kama vile mnavyoishi, imewapasa mzidi sana kufanya hivyo.
Pakupwililisha mobanse, mwalaiya kupitila mubwikalo bwetu mbuli ncomwela kwikala kwambeti mukondweleshe Lesa. Nomba ubu ebwikalo mbomwayandikanga kuba nabo, neco tulamusengenga muli lya Mwami Yesu kwambeti mweleshe kwinsa cangofu kupita ncemwalikwinsa.
2 Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
Pakwinga mwaishi cena malailile ngotwalamupa kupitila mungofu sha Mwami Yesu.
3 Mapenzi ya Mungu ni kwamba ninyi mtakaswe, ili kwamba mjiepushe na zinaa,
Lesa layandangeti mube baswepa, ne kutensa bufule.
4 ili kwamba kila mmoja wenu ajifunze kuutawala mwili wake mwenyewe katika utakatifu na heshima,
Uliyense pakati penu enshibe kulela cena mubili wakendi, pakulemeka nekubamba cena, ne kutausafwanya.
5 si kwa tamaa mbaya kama watu wa Mataifa wasiomjua Mungu.
Kamutakomkelanga lunkumbwa lwasesemya mbuli ncebakute kwinsa bantu bakunsa batamwinshi Lesa.
6 Katika jambo hili mtu asimkosee ndugu yake wala kumlaghai. Kwa kuwa Bwana ni mlipiza kisasi katika mambo haya yote, kama vile tulivyokwisha kuwaambia mapema na kuwaonya vikali.
Neco, mumakani awa, kapataba muntu shikwinshila munendi caipa, nambi kumulyela masuku pamutwi. Twalamwambilisha kendi kwambeti Lesa nakabape cisubulo bantu bonse beshikwinsa bintu byamushoboyu.
7 Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
Pakwinga Lesa nkalatukuwa kwambeti twinsenga bintu byaipa byabupombo, nsombi kuba baswepa.
8 Kwa hiyo, mtu yeyote anayekataa mafundisho haya hamkatai mwanadamu, bali anamkataa Mungu anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.
Neco na muntu lakana ciyisho ici, ekwambeti nkalakananga muntu sobwe, nsombi lakana Lesa uyo ukute kumupa Mushimu Uswepa.
9 Sasa kuhusu upendo wa ndugu hamna haja mtu yeyote kuwaandikia, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.
Lino nkandelela kumulembela sha lusuno pakati penu, pakwinga Lesa walamwiyisha kendi mbuli ncomwelela kuyandana umo ne umo.
10 Nanyi kwa kweli mnawapenda ndugu wote katika Makedonia nzima. Lakini ndugu, tunawasihi mzidi sana kuwapenda.
Kayi mukute kuyanda banenu bonse bamu cishi ca Makedoniya. Nsombi tulamusengenga mobanse, kwambeti mwinse copeleco kupita kaindi.
11 Jitahidini kuishi maisha ya utulivu, kila mtu akijishughulisha na mambo yake mwenyewe na kufanya kazi kwa mikono yake, kama vile tulivyowaagiza,
Kamweleshani kwikala mubuyumi bwa lumuno, uliyense ashe mano ku ncito yakendi, kayi nekulicanina bintu bilayandikingga mubuyumi. Kamwinsani mbuli ncetwalamwambila.
12 ili maisha yenu ya kila siku yajipatie heshima kutoka kwa watu walio nje, ili msimtegemee mtu yeyote.
Munshila ilico, bantu batamwinshi Lesa nibakamupe bulemu, kayi nteti mukacunke manungo pali muntu uliyense mu bintu mbyemwabulilwa.
13 Lakini ndugu, hatutaki mkose kujua kuhusu wale waliolala mauti, ili msihuzunike kama watu wengine wasiokuwa na tumaini.
Mobanse, tulayandanga kwambeti mwinshibe cancinencine sha makani abantu abo balafwa, kwambeti kulila kwenu kakutabeti bantu babula ncebalapembelelenga.
14 Kwa kuwa tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka, na kwa hivyo, Mungu kwa njia ya Yesu atawafufua pamoja naye wale waliolala mautini ndani yake.
Pakwinga afwe twashoma kwambeti Yesu walafwa kayi walapunduka. Neco twashoma kwambeti bantu bonse abo balafwa kabali bashoma Yesu, Lesa nakabapundushe pamo ne Yesu.
15 Kulingana na neno la Bwana mwenyewe, tunawaambia kwamba sisi ambao bado tuko hai, tuliobaki hadi kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia waliolala mauti.
Lino tulamwiyishinga ciyisho ca Mwami mwine. Kwambeti afwe otucili bayumi kushikila Yesu akese, nteti tukabatangunine balafwa sobwe.
16 Kwa maana Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, na sauti ya tarumbeta ya Mungu. Nao waliokufa wakiwa katika Kristo watafufuka kwanza.
Pakwinga nipakabe kompolola kwangofu, liswi lya mungelo mukulene ne liswi lya tolompita ya Lesa. Popelapo Mwami nakaseluke kufuma kwilu. Abo balafwila muli Yesu eshibakatangune kupunduka.
17 Baada ya hilo sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili kumlaki Bwana hewani, hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
Lino nenjafwe eshitukabenga bayumi pacindico, etitukashalepo, nitukamantwe pamo nendibo, ne kuya kukumana ne Mwami mwilu.
18 Kwa hiyo farijianeni kwa maneno haya.
Neco kamuyumishanani umo ne umo sha maswi awa.