< 1 Wathesalonike 3 >
1 Kwa hivyo tulipokuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tuliamua tubaki Athene peke yetu.
Тим же вже, не стерпівши, зволили ми зостати ся самим в Атинах,
2 Tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na mtumishi mwenzetu wa Mungu katika kuieneza Injili ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia moyo katika imani yenu,
і послали ми Тимотея, брата нашого, й слугу Божого, й помічника нашого в благовістю Христовому, утвердити вас і втішити вас у вірі вашій,
3 ili mtu yeyote asifadhaishwe na mateso haya. Mnajua vyema kwamba tumewekewa hayo mateso.
щоб нї один не хитавсь у горю сьому; самі бо знаєте, що нас на се поставлено.
4 Kwa kweli, tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia mara kwa mara kwamba tutateswa na imekuwa hivyo kama mjuavyo.
Бо коли і в вас були ми, наперед казали вам, що маємо горювати, яко ж і сталось, і знаєте.
5 Kwa sababu hii nilipokuwa siwezi kuvumilia zaidi, nilimtuma mtu ili nipate habari za imani yenu. Niliogopa kwamba kwa njia fulani yule mjaribu asiwe amewajaribu, nasi tukawa tumejitaabisha bure.
Того. ж то й я, більш не стерпівши, послав довідатись про віру вашу, щоб не спокусив вас спокусник, і не марний буде труд наш.
6 Lakini sasa Timotheo ndiyo tu amerejea kwetu kutoka kwenu na ameleta habari njema kuhusu imani yenu na upendo wenu. Ametuambia kwamba siku zote mnatukumbuka kwa wema na kwamba mna shauku ya kutuona kama vile sisi tulivyo na shauku ya kuwaona ninyi.
Тепер же, як прийшов Тимотей до нас од вас, та благовістив нам про віру вашу і любов, і що маєте спомин про нас добрий завсїди, бажаючи нас видїти, яко ж і ми вас,
7 Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya imani yenu.
тим то втішились ми, браттє, вами у всякому горю, і нужді нашій, вашою вірою:
8 Sasa kwa kuwa hakika tunaishi, kwa kuwa ninyi mmesimama imara katika Bwana.
бо ми тепер живі, коли ви стоїте в Господі.
9 Je, tutawezaje kumshukuru Mungu kiasi cha kutosha kwa ajili yenu, kutokana na furaha tuliyo nayo mbele za Mungu wetu kwa sababu yenu?
Яку ж бо дяку Богу можемо оддати за вас, за всю радість, якою радуємось задля вас перед Богом нашим,
10 Usiku na mchana tunaomba kwa bidii ili tupate kuwaona tena na kujaza kile kilichopungua katika imani yenu.
ніч і день ревно молячись, щоб видїти лице ваше і доповнити недостаток віри вашої?
11 Basi Mungu wetu na Baba yetu mwenyewe na Bwana wetu Yesu atengeneze njia ya sisi kuja kwenu.
Сам же Бог і Отець наш і Господь наш Ісус Христос нехай направить путь наш до вас.
12 Bwana na auongeze upendo wenu na kuuzidisha kati yenu na kwa wengine wote, kama vile tulivyo na upendo mwingi kwenu.
Вас же нехай Господь намножить і збагатить любовю один до одного й до всіх, яко ж і ми до вас,
13 Tunamwomba Mungu aimarishe mioyo yenu ili msiwe na lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu aliye Baba yetu wakati wa kuja kwake Bwana Yesu pamoja na watakatifu wote.
щоб утвердити серця ваші непорочні в сьвятостї перед Богом, Отцем нашим у прихід Господа наглого Ісуса Хриота з усіма сьвятими Його.