< 1 Wathesalonike 3 >

1 Kwa hivyo tulipokuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tuliamua tubaki Athene peke yetu.
therefore never again to endure to delight to leave behind in/on/among Athens alone
2 Tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na mtumishi mwenzetu wa Mungu katika kuieneza Injili ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia moyo katika imani yenu,
and to send Timothy the/this/who brother me and (servant *KO*) (and *K*) co-worker (me *K*) the/this/who God in/on/among the/this/who gospel the/this/who Christ toward the/this/who to establish you and to plead/comfort (you *k*) (above/for *N(k)O*) the/this/who faith you
3 ili mtu yeyote asifadhaishwe na mateso haya. Mnajua vyema kwamba tumewekewa hayo mateso.
(the/this/who *N(k)O*) nothing to shake in/on/among the/this/who pressure this/he/she/it it/s/he for to know that/since: that toward this/he/she/it to lay/be appointed
4 Kwa kweli, tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia mara kwa mara kwamba tutateswa na imekuwa hivyo kama mjuavyo.
and for when to/with you to be to foretell you that/since: that to ensue to press on as/just as and to be and to know
5 Kwa sababu hii nilipokuwa siwezi kuvumilia zaidi, nilimtuma mtu ili nipate habari za imani yenu. Niliogopa kwamba kwa njia fulani yule mjaribu asiwe amewajaribu, nasi tukawa tumejitaabisha bure.
through/because of this/he/she/it I/we and never again to endure to send toward the/this/who to know the/this/who faith you not how to test/tempt: tempt you the/this/who to test/tempt: tempt and toward empty to be the/this/who labor me
6 Lakini sasa Timotheo ndiyo tu amerejea kwetu kutoka kwenu na ameleta habari njema kuhusu imani yenu na upendo wenu. Ametuambia kwamba siku zote mnatukumbuka kwa wema na kwamba mna shauku ya kutuona kama vile sisi tulivyo na shauku ya kuwaona ninyi.
now then to come/go Timothy to/with me away from you and to speak good news me the/this/who faith and the/this/who love you and that/since: that to have/be remembrance me good always to long for me to perceive: see just as and me you
7 Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya imani yenu.
through/because of this/he/she/it to plead/comfort brother upon/to/against you upon/to/against all the/this/who necessity and pressure me through/because of the/this/who you faith
8 Sasa kwa kuwa hakika tunaishi, kwa kuwa ninyi mmesimama imara katika Bwana.
that/since: since now to live if you (to stand *N(k)O*) in/on/among lord: God
9 Je, tutawezaje kumshukuru Mungu kiasi cha kutosha kwa ajili yenu, kutokana na furaha tuliyo nayo mbele za Mungu wetu kwa sababu yenu?
which? for thankfulness be able the/this/who God to repay about you upon/to/against all the/this/who joy which to rejoice through/because of you before the/this/who God me
10 Usiku na mchana tunaomba kwa bidii ili tupate kuwaona tena na kujaza kile kilichopungua katika imani yenu.
night and day above/for out from excessively to pray toward the/this/who to perceive: see you the/this/who face and to complete the/this/who deficiency the/this/who faith you
11 Basi Mungu wetu na Baba yetu mwenyewe na Bwana wetu Yesu atengeneze njia ya sisi kuja kwenu.
it/s/he then the/this/who God and father me and the/this/who lord: God me Jesus (Christ *K*) to guide the/this/who road me to/with you
12 Bwana na auongeze upendo wenu na kuuzidisha kati yenu na kwa wengine wote, kama vile tulivyo na upendo mwingi kwenu.
you then the/this/who lord: God to increase and to exceed the/this/who love toward one another and toward all just as and me toward you
13 Tunamwomba Mungu aimarishe mioyo yenu ili msiwe na lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu aliye Baba yetu wakati wa kuja kwake Bwana Yesu pamoja na watakatifu wote.
toward the/this/who to establish you the/this/who heart blameless in/on/among holiness before the/this/who God and father me in/on/among the/this/who coming the/this/who lord: God me Jesus (Christ *K*) with/after all the/this/who holy: saint it/s/he (amen *N*)

< 1 Wathesalonike 3 >