< 1 Wathesalonike 3 >
1 Kwa hivyo tulipokuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tuliamua tubaki Athene peke yetu.
Tano nyori, no nyiti dolbo mwiruka, la nyi to daten nyo tim Atina buridin.
2 Tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na mtumishi mwenzetu wa Mungu katika kuieneza Injili ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia moyo katika imani yenu,
co nyo tom Timoti, ka-nge yii nye ka-nge canga kwama ki ker Almachiya, na yilam tikabi ka-nge dange ka-nge kom fiye bilengke.
3 ili mtu yeyote asifadhaishwe na mateso haya. Mnajua vyema kwamba tumewekewa hayo mateso.
nyo mayo kati ka-nge tiber kumer na yarangi ki den dotange, dige biyeu kom ki bwi kimi kom nyom kambo ci cuwo kome.
4 Kwa kweli, tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia mara kwa mara kwamba tutateswa na imekuwa hivyo kama mjuavyo.
bilengke, ki kwama nyo wari ka-nge kome, nyon yikom nyi kino bidom ka-nge dotange. la nyo tak yilame na wuro kom nyimome.
5 Kwa sababu hii nilipokuwa siwezi kuvumilia zaidi, nilimtuma mtu ili nipate habari za imani yenu. Niliogopa kwamba kwa njia fulani yule mjaribu asiwe amewajaribu, nasi tukawa tumejitaabisha bure.
dige bwiyeu mi dolbo mwirum ka dige bwi mi tom ki men na kom nyimom fiye bilengke kume wiye. ka-ngeri bwekelkele boulum kom nure ka-nge dila dotange beu yilamnyo koni.
6 Lakini sasa Timotheo ndiyo tu amerejea kwetu kutoka kwenu na ameleta habari njema kuhusu imani yenu na upendo wenu. Ametuambia kwamba siku zote mnatukumbuka kwa wema na kwamba mna shauku ya kutuona kama vile sisi tulivyo na shauku ya kuwaona ninyi.
daten Timoti na yilau cunga kumek na ci bou nyinen ki tomange wo limi nyowe dor bilengke kume ka-nge cwika kume ko cin nyiyo ki ma dige dateneti doryer, la kom bilang cwika nyekti nawo nyi cwitoka kume tiye.
7 Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya imani yenu.
dige bwiyeu, yitob mibo, nyin fiya ker kumero fiye kom wiye na bilengke kume ce dige bwiyeu ki ker bwuwaka ner nyero ka-nge dotange nye.
8 Sasa kwa kuwa hakika tunaishi, kwa kuwa ninyi mmesimama imara katika Bwana.
can neu nyi ki fuloka, no kom ti ki bi kwandi mwor kwamari.
9 Je, tutawezaje kumshukuru Mungu kiasi cha kutosha kwa ajili yenu, kutokana na furaha tuliyo nayo mbele za Mungu wetu kwa sababu yenu?
dila buka ka-nge ko wuni nya ma kwama nin tiye ki den kumer dige bwiye fuwor ner nyero gwam wo nyi cikeu wi ka bumkwama ki kom?
10 Usiku na mchana tunaomba kwa bidii ili tupate kuwaona tena na kujaza kile kilichopungua katika imani yenu.
kume ka-nge kakuk nyi kwob ki men duloti na nyi to tikob kimebo. na nyo dim dige kom fiya be mwor bilengke kume.
11 Basi Mungu wetu na Baba yetu mwenyewe na Bwana wetu Yesu atengeneze njia ya sisi kuja kwenu.
nyo kwama ka-nge tee ka-nge bi bwece ka-nge Teluwe be kiristi na bwangten ki na nye ko fiye ki wiye
12 Bwana na auongeze upendo wenu na kuuzidisha kati yenu na kwa wengine wote, kama vile tulivyo na upendo mwingi kwenu.
no nyori Teluwe na ti dobti kom bwii ki cwika yitub kumebo ka-nge nubo gwam, na wo nyi ma kumentiye
13 Tunamwomba Mungu aimarishe mioyo yenu ili msiwe na lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu aliye Baba yetu wakati wa kuja kwake Bwana Yesu pamoja na watakatifu wote.
Tano nyori naco mani nyo tikalinnin mwor nere kume na yilam kero ke na wo yoryore kabum kwama ka-nge Teluwe ki kwama ka-nge boka Teluwe kiristi gwam ka-nge duktange cekko.