< 1 Wathesalonike 2 >

1 Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ya kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,
Ninia fi dunu! Dilia dawa: ! Ninia dilima misini, udigili hame hawa: hamosu.
2 kama vile mjuavyo, tulikuwa tumeteswa na kutukanwa huko Filipi, lakini hata hivyo, kwa msaada wa Mungu wetu, tulikuwa na ujasiri wa kuwaambia Injili ya Mungu ingawa kulikuwa na upinzani mkubwa.
Ninia da Desalounaiga moilai bai bagadega hame doaga: le, Filibai moilai bai bagade amo ganodini dunu eno da ninima se bagade iasu amola ninima lasogole sia: su, amo dilia dawa: Amola Desalounaiga moilai bai bagade ganodini, dunu eno da ninima bagadewane gegesu. Be Gode da nini fidibiba: le, ninia da mae beda: iwane Gode Sia: Ida: iwane Gala, Gode olelesu liligi, amo dilima olelei.
3 Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
Ninia da moloi hame sia: o dilia hou wadela: ma: ne sia: o ogogosu sia: , amo dilima olelemusa: hame dawa: i.
4 Kinyume chake, tulinena kama watu tuliokubaliwa na Mungu tukakabidhiwa Injili. Sisi hatujaribu kuwapendeza wanadamu bali kumpendeza Mungu, yeye ayachunguzaye mawazo ya ndani sana ya mioyo yetu.
Ninia da osobo bagade dunu ilia ge noga: ma: ne hame olelesa. Be Gode da ninia hou abodesa. Amaiba: le, ninia da Gode Ea hanai liligi fawane eso huluane olelesa. Bai Gode da ninia Ea Sia: Ida: iwane olelema: ne, ninia hou defele dawa: beba: le, ninima ilegei.
5 Kama mjuavyo, hatukuja kwenu kwa maneno ya kujipendekeza au maneno yasiyo ya kweli ili kuficha tamaa mbaya: Mungu ndiye shahidi yetu.
Gode da ninima ba: su Dunu esala. Dilia dawa: loba, nini da dabua hahayafuli hame sia: na misi. Amola ninia uasu hou dedeboma: ne sia: ga fawane hame olelei.
6 Wala hatukuwa tunatafuta sifa kutoka kwa wanadamu, wala kutoka kwenu au kwa mtu mwingine awaye yote. Kama mitume wa Kristo tungaliweza kuwa mzigo kwenu,
Ninia da dili amola eno dunu, ninima nodoma: ne sia: musa: hame olelei.
7 lakini tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama anayewatunza watoto wake wadogo.
Be ninia da Gelesu Ea asunasi dunu hamoiba: le, dilima bidi lamu da defea galu. Be ame da ea manoma asigi gebewane hou hamosa, amo defele ninia da dilima gilisisia, dilima asigi gebewane hou hamosu.
8 Tuliwapenda sana kiasi kwamba tulifurahia kushirikiana nanyi, si Injili ya Mungu tu, bali hata maisha yetu, kwa sababu mlikuwa wa thamani mno kwetu.
Ninia da dilima bagadewane asigiba: le, ninia da Gode Ea Sia: Ida: iwane gala dilima olelei. Be amo baligili, ninia da ninia esalusu amola dili gilisili lama: ne, dilima imunusa: dawa: i galu. Dafawane, ninia da dilima bagadewane asigi galu.
9 Ndugu zetu, mnakumbuka juhudi yetu na taabu yetu. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote wa kwenu wakati tulipokuwa tunawahubiria Injili ya Mungu.
Ninia mae helefili bagadewane hawa: hamonanu, amo dilia dawa: be na da dawa: lala. Ninia da eso amola gasi ganodini mae yolesili, dilima wali esaloma: ne liligi mae lale hamosu. Ninia da Gode Ea Sia: Ida: iwane dilima olelesu.
10 Ninyi wenyewe ni mashahidi na Mungu pia, jinsi tulivyokuwa watakatifu, wenye haki na wasio na lawama miongoni mwenu ninyi mlioamini.
Dilia amola Gode, da ninia ba: su dunu agoane. Ninia dilima hou hamoi da ledo hamedei, ida: iwane amola wadela: i hame ba: su.
11 Maana mnajua kwamba tuliwatendea kila mmoja wenu kama vile baba awatendeavyo watoto wake.
Ninia da ada da ea mano amoma hou hamosa, amo defele dili afae afae amoma hamoi dagoi.
12 Tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yampendezayo Mungu, anayewaita katika Ufalme na utukufu wake.
Ninia dili dogo denesima: ne fidisu. Gode da dilima Ea Hinadafa Hou amola Hadigidafa Hou gilisili lama: ne, Ema misa: ne sia: i dagoi. Amaiba: le, ninia da Gode dili hahawane dogolegele ba: ma: ne, dili noga: le esaloma: ne dilima ha: giwane sia: nanu.
13 Nasi pia tunamshukuru Mungu bila kukoma kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu mlilosikia kutoka kwetu, hamkulipokea kama neno la wanadamu, bali mlilipokea kama lilivyo hasa, neno la Mungu, litendalo kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
Be ninia Godema nodosu da bai eno gala. Ninia da Gode Sia: dilima olelebeba: le, dilia da amo sia: da osobo bagade dunu ilia sia: mae dawa: le, amo da Gode Ea Sia: dafa (dafawane amo da Gode Ea Sia: ) dilia dafawaneyale dawa: beba: le, lalegagui dagoi. Gode da dilia dogo ganodini hawa: hamonanebeba: le, dilia da lalegagui.
14 Kwa maana ninyi ndugu zetu, mlifanyika wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyoko ndani ya Kristo Yesu katika Uyahudi. Mlipata mateso yale yale kutoka kwa watu wenu wenyewe kama vile makanisa hayo yalivyoteswa na Wayahudi,
Ninia fi dunu! Musa: , Yu fi dunu Yudia soge ganodini esalu mogili da Yesu Gelesu Ea hou lalegaguli, Yesu Ea fa: no bobogesu fi hamoi. Yu dunu da Yudia soge Gode fi dunuma se bagade iasu. Amo hou ilima doaga: i defele, dilima doaga: i. Dilia fi dunu amolawane da Yu dunu defele, dilima se bagade iasu.
15 wale waliomuua Bwana Yesu na manabii, nasi wakatufukuza pia. Watu hao walimchukiza Mungu na tena ni adui wa watu wote,
Yu dunu da Hina Gode Yesu amola musa: balofede dunu medole legei dagoi. Amola ilia ninima se bagade iasu. Gode da amo dunu hahawane hame ba: sa. Ilia da dunu huluanema ha laiwane esala.
16 wakijitahidi kutuzuia tusizungumze na watu wa Mataifa ili kwamba wapate kuokolewa. Kwa njia hii wanazidi kujilundikia dhambi zao hadi kikomo. Lakini hatimaye ghadhabu ya Mungu imewafikia.
Gode Ea Sia: da Dienadaile dunu ilima gaga: su gaguli maha. Be Yu dunu da ha labeba: le, ninia da amo sia: Dienadaile dunuma olelemusa: dawa: loba, ilia ninia logo hedofamusa: dawa: i galu. Amo hamobeba: le, ilia da eso huluane wadela: le hamonanu amola waha ilia wadela: i hou da nabaidafa ba: sa. Amola Gode Ea ougi fofada: su hou da musa: hedolo hame, be waha ilima doaga: i dagoi.
17 Lakini ndugu zetu, tulipotenganishwa nanyi kwa kitambo kidogo (ingawa kutengana huko kulikuwa kwa mwili tu, si kwa moyo), tulizidi kuwa na shauku kubwa kuwaona uso kwa uso.
Ninia fi dunu! Ninia da dilima fonobahadi afafaiba: le (ania da: i da afafai be ania asigi dawa: su da gilisi ba: i.) ninia da dilima bagadewane fofagiba: le, dilia odagi bu ba: musa: logo hogoi helei.
18 Maana tulitaka kuja kwenu, hasa mimi Paulo, nilitaka kuja tena na tena, lakini Shetani akatuzuia.
Ninia dilima bu masusa: dawa: i galu. Na nisu eso bagohame dilima bu masusa: logo hogoi helei, be Sa: ida: ne da na logo damui.
19 Kwa maana tumaini letu ni nini, au furaha yetu au taji yetu ya kujisifia mbele za Bwana Yesu Kristo wakati wa kuja kwake? Je, si ni ninyi?
Dilia da noga: le hamoiba: le, ninia da dilima hahawane bagade gala. Yesu Gelesu da bu masea, ninia da dilia hou hidale agoane amola hahawane Ema adole imunusa: dawa: lala. Eno dunu ilia hou da dili hou hame baligisa.
20 Naam, ninyi ndio fahari yetu na furaha yetu.
Dafawane! Ninia da dilia hou dawa: sea, hidale amola nodone dawa: lala.

< 1 Wathesalonike 2 >