< 1 Wathesalonike 1 >
1 Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Yesu Kristo: Neema iwe kwenu na amani.
UPaulo, Silwano nu Timoi kutembile ja va Thesalonike mwa Nguluve Nhaata nu Mutwa Yesu Kilisite. Ulusungu nulutengano fivisaghe numue.
2 Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima.
Jatu tukumwongesia uNguluve vwimila panotukuvatambula munyifunyo situ.
3 Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.
Tukujikumbuka kisila kudugha pamaso gha Nguluve Nhaata ghwitu, imbombo jinu ija lwitiko, nulwakughimba mulughano, na mulugudo ulunyalukangafu vwimila nu lwa pa Mutwa Yesu Kilisite.
4 Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua,
Vanyalukolo mwevano mughanilue nu Nguluve, tukagula ulwitiko lwinu.
5 kwa sababu ujumbe wetu wa Injili haukuja kwenu kwa maneno matupu bali pia ulidhihirishwa katika nguvu na katika Roho Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu.
Na vule ilivangili litu likisile kulyumue nakwekuti kulisio lyene, looli palikimo ni ngufu, mwa Mhepo mwimike na mwa kyang'ani. mu uluo, mkagula kange kuti tulyale vanhu vaki n'kate mulyumwe Kwaajili jinu.
6 Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu.
Mulyale vanhu vakutwigha usue nu Mutwa, ndavule fino mulyupile ilisio mulupumuko, nulukelo lunoluhuma kwa Mhepo Mwimike.
7 Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya.
Namahumilo ghake, mulyale kihwani ku voni mumakedonia na mukaiya vano vikwitikila
8 Kwa maana kutoka kwenu neno la Bwana limesikika, si katika Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kwamba hatuna haja ya kusema lolote kwa habari yake.
ulwakuva kuhuma kulyumue ilisio lya Nguluve lyeneile kwoni, nakwekuti kuvamakedonia na va kaiya vene. nimbale soni ulwitiko lwinu mwa Nuluve jeneile kyoni. namahumilo ghake, natulonda kujova kyokyoni.
9 Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli
lwakuva vavuo vene vijova uvwisilo vwitu lulyale lwa ndani mu lyumue. vipanga fino musyetukile uNguluve kuhuma mu kihwani na kukumbo mbela uNguluve juno mwumi nu ghwa lweli.
10 na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.
Vakahumila imhola kuti mukumughula umwana ghwake kuhuma kuvulanga, juno asyukile kuhuma muvafue. Ghwope uju ghwe Yesu, junoikutuviika vweru kuhuma mung'halasi jino jikwisa.