< 1 Wathesalonike 1 >

1 Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Yesu Kristo: Neema iwe kwenu na amani.
Pawluh, Tilah ja Timoti naw, Thesalonikah mlüha veki Pa Pamhnam ja Bawipa Jesuh Khritawa sakhyangea veia, Bäkhäknak ja dimdeihnak nami khana pha law se.
2 Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima.
Nangmi phäh alä se Pamhnam je na lü kami ktaiyü naküt üng jenak ka ning jah mtheh petki.
3 Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.
Ihlawka nami jumnak nami xünsak üng ngdangki, nami mhläkphyanak naw ihlawka ning jah khüikhawmsaki, ja mi Bawipa Jesuh Khritaw üng ihlawka nami äpeinak ngkhängki ti cun ka ning jah sümki.
4 Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua,
Kami be ja kami cinae aw, Pamhnam naw ning jah mhläkphya na lü a khyang vaia a ning jah xü päng ti cun kami ksingki.
5 kwa sababu ujumbe wetu wa Injili haukuja kwenu kwa maneno matupu bali pia ulidhihirishwa katika nguvu na katika Roho Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu.
Thangkdaw nami veia kami sang law kcük üng, khyü nglung däk am ni lü Ngmüimkhya Ngcim ja johit am, käna ngkhängceknak üng kümbekia cangnak am kami lawpüiki. Nami hlawnga kami ve üng, nangmia dawnak vaia kami veki ti cun nami ksingki.
6 Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu.
Nami khamei a dämda üngpi, Ngmüimkhya Ngcim üngkhyüh lawkia jekyainaka ngthu yah lü keimi ja Bawipa üng nami ngcukngkiki.
7 Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya.
Akaijah hne ja Maketawnih hne üng jumeikiea phäh ami ngcukngkihnak vaia nami kyaki.
8 Kwa maana kutoka kwenu neno la Bwana limesikika, si katika Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kwamba hatuna haja ya kusema lolote kwa habari yake.
Bawipaa ngthu cun nangmi üngka naw ngthang hüki, Maketawnih hne ja Akaijah hne däka am ni lü, hnün naküt üng Pamhnam nami jumeinak cun ngthang hüki. Acunüng, keimia pyen vai i pi am hlü.
9 Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli
Nami veia kami law üng ihawkba nami jah dokham, xüngseikia Pamhnam kcanga khut bi khaia,
10 na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.
thihnak üngka naw tho be lü Pamhnama mlung sonak üngka naw jah küikyankia a Capa Jesuh — khankhaw üngka naw a Capaa law be vai mtätei lü juktuh nghlat ta lü nami ve cun acuna khyang he naw pyen ve u.

< 1 Wathesalonike 1 >