< 1 Samweli 1 >
1 Kulikuwepo na mtu mmoja kutoka Rama, Msufi kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ambaye jina lake aliitwa Elikana mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu.
Adda maysa a lalaki iti Rama Zofim, iti katurturodan a pagilian ti Efraim; ti naganna ket Elkana a putot ni Jehoram, ni Jehoram ket putot ni Eliu, ni Eliu ket putot ni Tuho, ni Tuho ket putot ni Zup, ni Elkana ket maysa nga Efraimita.
2 Alikuwa na wake wawili, mmoja aliitwa Hana na mwingine Penina. Penina alikuwa na watoto, lakini Hana hakuwa na mtoto.
Addaan isuna iti dua nga asawa, Ana ti nagan ti umuna, ken Fenina ti nagan ti maikadua. Adda annak ni Fenina, ngem awan ti anak ni Ana.
3 Kila mwaka mtu huyu alikwea kutoka mji wake ili kuabudu na kutoa dhabihu kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote huko Shilo, ambapo Hofni na Finehasi, wana wawili wa Eli, walikuwa makuhani wa Bwana.
Tinawen a mapan daytoy a lalaki idiay Silo a siudadna tapno agdayaw ken agidaton kenni Yahweh a mannakabalin amin. Adda sadiay dagiti dua a lallaki a putot ni Eli, da Ofni ken Finees, a papadi ni Yahweh.
4 Kila mara ilipofika siku ya Elikana kutoa dhabihu, aliwapa mafungu Penina mkewe na wanawe wote pamoja na binti zake.
No kasta a dumteng ti aldaw iti tunggal tawen a panagidaton ni Elkana, kankanayon nga it-itedna kenni Fenina nga asawana ken kadagiti amin nga annakna a lallaki ken babbai dagiti paset ti karne.
5 Lakini alimpa Hana fungu maradufu kwa sababu alimpenda, ingawa Bwana alikuwa amemfunga tumbo.
Ngem kenni Ana, kankanayon a mamidua ti kaadu ti it-itedna, ta ay-ayatenna ni Ana, uray no sinerraan ni Yahweh ti aanakanna.
6 Kwa sababu Bwana alikuwa amemfunga tumbo, mke mwenzake alikuwa anamchokoza ili kumuudhi.
Nakaro ti panangumsi kenkuana ti kasalisalna tapno pagpulkokenna isuna, gapu ta inserra ni Yahweh ti aanakanna.
7 Hili liliendelea mwaka baada ya mwaka. Kila mara Hana alipokwenda katika nyumba ya Bwana, mke mwenzake alikuwa akimkasirisha mpaka analia na kushindwa kula.
Isu nga iti tinawen, no kasta a mapan isuna iti balay ni Yahweh a kaduana ti pamiliana, kankanayon a karkariten isuna ni Fenina. Masansan ngarud nga agsangit isuna ken saan a mangmangan.
8 Elikana mumewe akawa anamwambia, “Hana, kwa nini unalia? Kwa nini huli? Kwa nini kuvunjika moyo? Je, mimi si bora zaidi kwako kuliko watoto kumi?”
Kankanayon nga ibagbaga kenkuana ni Elkana nga asawana, “Ana, apay nga agsangitka? Apay a saanka a mangan? Apay nga agliddaang ti pusom? Saan kadi a nasaysayaatak kenka ngem kadagiti sangapulo nga annak?
9 Siku moja walipokuwa wamemaliza kula na kunywa huko Shilo, Hana alisimama. Wakati huo kuhani Eli alikuwa ameketi kwenye kiti pembeni mwa mwimo wa mlango wa Hekalu la Bwana.
Iti maysa kadagitoy a padaya, timmakder ni Ana kalpasan ti pannangan ken panag-iinomda idiay Silo. Ita, nakatugaw ni Eli a padi iti tugawna iti igid ti pagserkan ti balay ni Yahweh.
10 Kwa uchungu wa rohoni Hana alilia sana na akamwomba Bwana.
Mariribukan unay ni Ana; nagkararag isuna kenni Yahweh ken nagsangit iti nasaem.
11 Naye akaweka nadhiri, akisema, “Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, laiti ungeangalia huzuni kuu ya mtumishi wako na kunikumbuka mimi, wala usimsahau mtumishi wako nawe ukampa mwana, basi huyo mwana nitamtoa kwa Bwana kwa siku zote za maisha yake, wala wembe hautapita kichwani mwake.”
Nagsapata isuna ket kinunana, “Yahweh a mannakabalin amin, no makitam la koma ti panagrigat ti adipenmo ken lagipennak, ken saanmo a lipaten ti adipenmo, ngem ipaayam ketdi koma ti adipenmo iti anak a lalaki, ngarud, itedkonto isuna kenni Yahweh iti unos ti panagbiagna, ket awanto ti kartib a mangsagid iti ulona.
12 Alipokuwa anaendelea kumwomba Bwana, Eli alichunguza kinywa chake.
Bayat nga agkarkararag isuna iti sangoanan ni Yahweh, sipsiputan ni Eli ti ngiwatna.
13 Hana alikuwa akiomba moyoni mwake, midomo yake ikiwa inachezacheza lakini sauti haikusikika. Eli akafikiri alikuwa amelewa
Naimpusoan ti panagkararag ni Ana. Agkutkuti dagiti bibigna, ngem saan a mangngeg ti timekna. Impagarup ngarud ni Eli a nabartek isuna.
14 naye akamwambia, “Utaendelea kulewa mpaka lini? Achilia mbali mvinyo wako.”
Kinuna ni Eli kenkuana, “Kasano pay kapaut ti panagbarbartekmo? Isardengmon ti panagin-inommo.”
15 Hana akajibu, “Si hivyo bwana wangu, mimi ni mwanamke mwenye huzuni kubwa. Mimi sijanywa mvinyo wala kileo, nilikuwa ninaumimina moyo wangu kwa Bwana.
Simmungbat ni Ana, “Saan, apok, maysaak a babai a naladingit unay ti espirituna. Saanak nga imminom iti arak wenno naingel a mainom, ngem ibagbagak iti sangoanan ni Yahweh dagiti nakaro a panagladingitko.”
16 Usimdhanie mtumishi wako kuwa mwanamke mwovu; nimekuwa nikiomba hapa katika wingi wa uchungu mkuu na huzuni.”
“Saanmo nga ibilang nga awan babainna a babai ti adipenmo; iyeb-ebkasko iti napalalo a pannakaibabain ken pannakarkaritko.”
17 Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye Mungu wa Israeli na akujalie kile ulichomwomba.”
Ket simmungbat ni Eli, kinunana, “Mapanka a sitatalna; patgan koma ti Dios ti Israel ti kiniddawmo kenkuana.”
18 Hana akasema, “Mtumishi wako na apate kibali machoni pako.” Kisha akaondoka zake na kula chakula, wala uso wake haukuwa na huzuni tena.
Kinuna ni Ana, “Nasayaat koma ti panangipapanmo iti adipenmo.” Ket pimmanaw ti babai ket nangan; saanen a naliday ti rupana.
19 Kesho yake asubuhi na mapema waliamka wakaabudu mbele za Bwana na kisha wakarudi nyumbani kwao huko Rama. Elikana akakutana kimwili na mkewe Hana, naye Bwana akamkumbuka.
Nasapada a bimmangon iti bigat ket nagdayawda kenni Yahweh, ket kalpasanna, nagsublida manen iti balayda idiay Rama. Kinaidda ni Elkana ni Ana nga asawana, ket nalagip isuna ni Yahweh.
20 Hivyo wakati ulipotimia, Hana akapata mimba na akamzaa mwana. Hana akamwita jina lake Samweli, akasema, “Kwa kuwa nilimwomba kwa Bwana.”
Idi dimteng ti tiempo, nagsikog ni Ana ket nagpasngay iti maysa a lalaki. Pinanagananna iti Samuel, kunana “Gapu ta dinawatko isuna kenni Yahweh.”
21 Wakati huyo mtu Elikana alipanda pamoja na jamaa yake yote kutoa dhabihu ya mwaka kwa Bwana na kutimiza nadhiri yake,
Iti naminsan pay, simmang-at ni Elkana ken ti amin a pamiliana, tapno mangidatag iti tinawen a daton ken tapno tungpalenna ti sapatana.
22 Hana hakwenda. Alimwambia mume wake, “Baada ya mtoto kuachishwa kunyonya, nitamchukua na kumpeleka mbele za Bwana, naye ataishi huko wakati wote.”
Ngem saan a napan ni Ana; kinunana iti asawana, “Saanak a mapan agingga a mapusot ti ubing, ket iyegkonto isuna, tapno agparang isuna iti sangoanan ni Yahweh ken agnaed sadiay iti agnanayon.”
23 Elikana mumewe akamwambia, “Fanya lile unaloona ni bora zaidi kwako. Ukae hapa mpaka utakapomwachisha kunyonya, Bwana na akujalie kutimiza nadhiri yako.” Hivyo huyo mwanamke akakaa nyumbani na kumnyonyesha mwanawe mpaka alipomwachisha kunyonya.
Kinuna ni Elkana nga asawana kenkuana, “Aramidem ti ammon a nasayaat kenka. Urayem agingga a mapusotmo isuna; patalgedan koma ngarud ni Yahweh ti saona.” Nagbati ngarud ti babai ken inaywananna ti anakna agingga a naipusotna isuna.
24 Baada ya mtoto kuachishwa kunyonya, Hana akamchukua huyo mtoto, akiwa mdogo hivyo hivyo, pamoja na fahali wa miaka mitatu, efa ya unga na kiriba cha divai, naye akamleta mtoto kwenye nyumba ya Bwana huko Shilo.
Idi naipusot ni Ana ti anakna, inkuyogna isuna, nangitugot pay iti maysa a kalakian a baka a tallo ti tawenna, maysa nga efa a taraon, ken maysa a pagkargaan a lalat a naglaon iti arak, ket impanna isuna iti balay ni Yahweh idiay Silo. Ita, ubing pay ti anakna.
25 Walipokwisha kumchinja yule fahali, wakamleta mtoto kwa Eli,
Pinartida ti kalakian a baka, ket impanda ti ubing kenni Eli.
26 naye Hana akamwambia Eli, “Hakika kama uishivyo, bwana wangu, mimi ndiye yule mama ambaye alisimama hapa karibu nawe akiomba kwa Bwana.
Kinuna ni Ana, “O, apok! Agingga a sibibiagka, apok, siak ti babai a nagtakder idi iti abaymo nga agkarkararag kenni Yahweh.
27 Niliomba mtoto huyu, naye Bwana amenijalia kile nilichomwomba.
Ta daytoy nga ubing ket inkararagko ket inted ni Yahweh ti dinawatko kenkuana.
28 Hivyo sasa ninamtoa kwa Bwana. Kwa maana maisha yake yote atakuwa ametolewa kwa Bwana.” Naye akamwabudu Bwana huko.
Intedkon isuna kenni Yahweh; agingga a sibibiag isuna ket agpaayto kenni Yahweh.” Ket sadiay, nagdayaw kenni Yahweh ni Elkana ken ti pamiliana.