< 1 Samweli 9 >

1 Kulikuwako Mbenyamini mmoja, mtu maarufu, ambaye aliitwa Kishi mwana wa Abieli, mwana wa Serori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia wa Benyamini.
A: ibiele ea mano Gisa da Bediamini egaga fi amoga galu. Gisa da mimogoa dunu galu. A: ibiele da Silo ea mano galu. Gisa ea sosogo fi da Bigoula: de amola fidafa da Afaia.
2 Alikuwa na mwana aliyeitwa Sauli, kijana anayevutia sana, hakuwepo aliyelingana naye miongoni mwa Waisraeli, alikuwa mrefu kuliko wengine wote.
Gisa da dunu mano galu, ea dio da Solo. Solo da goi ayeligi galu. Amoga Isala: ili dunu, e amai defele da afae hame galu. Solo da dunu heda: le aligi amola ea da: da: loiwane ba: su da Isala: ili dunu eno huluane baligi.
3 Basi punda wa Kishi baba yake Sauli walipotea, naye Kishi akamwambia mwanawe Sauli, “Mchukue mmoja wa watumishi mwende pamoja naye kuwatafuta punda.”
Solo ea eda Gisa ea dougi da fisi ba: i. Amaiba: le, Gisa da Soloma amane sia: i, “Hawa: hamosu dunu afae lale, dougi fisi hogola masa.”
4 Hivyo akapita katika nchi ya vilima ya Efraimu na katika eneo la Shalisha, lakini hawakuwapata. Wakaendelea katika sehemu ya Shaalimu, lakini punda hawakuwepo huko. Kisha wakapita katika nchi ya Benyamini, lakini hawakuwapata.
Ilia da agolo soge, Ifala: ime sogedili amola Sialaisia soge la: idili amo hohogola asi be dougi da hame ba: i. Amaiba: le, ilia da baligili Sia: ilime sogebi la: ididili hohogola asi, be dougi da amoga hame ba: i. Amalu ilia da Bediamini ea fifilasu sogebidili hohogola asi be hame ba: i.
5 Walipofika sehemu ya Sufu, Sauli akamwambia mtumishi aliyekuwa pamoja naye, “Njoo, sisi na turudi, au baba yangu ataacha kufikiria juu ya punda na kuanza kufadhaika kutuhusu sisi.”
Ilia da hohogola misini, Safe ea fifilasua amoi doaga: loba, Solo da ea hawa: hamosu dunuma amane sia: i, “Ninia da nini fifilasua sinidigimu. Ada da dougi yoleiba: le dadawa: lu yolele, bu niniha dadawa: lala ganumu.”
6 Lakini mtumishi akajibu, “Tazama, katika mji huu yupo mtu wa Mungu, anayeheshimiwa sana na kila kitu asemacho hutokea kweli. Sasa na twende huko. Huenda atatuambia twende njia ipi.”
Hawa: hamosu dunu da bu adole i, “Asa! Wele sia: gai moilai fi dunu afae da dunu ilia ema bagade nodosa amola ea sia: naba, bai ea sia: be liligi huluane defele didisa. Ninia da amo dunuma ahoa: di. Amasea e da dougi ea esalebe soge ninima olelemu.”
7 Sauli akamwambia mtumishi wake, “Kama tukienda, tutampa nini huyo mtu? Chakula kimekwisha kwenye mifuko yetu. Hatuna zawadi ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu. Je tuna nini?”
Solo da amane adole ba: i, “Ninia da ema ahoasea, ninia da adi liligi igili ima: bela: ? Ninia da ha: i manu ninia esaga dialebe afae hamegala, amola ninia da igili imunu liligi afae hamewane.”
8 Mtumishi akamjibu Sauli tena, akasema, “Tazama, nina fedha robo shekeli. Hiyo nitampa huyo mtu wa Mungu ili aweze kutuambia twende kwa njia ipi.”
Hawa: hamosu dunu da bu adole i, “Na da muni gasa fonobahadi afae gala. Na da amoane imunu, amalu e da dougi ea esalebe soge amo ninima olelemu.”
9 (Zamani katika Israeli, kama mtu alikwenda kuuliza neno kwa Mungu, angalisema, “Njoo na twende kwa mwonaji,” kwa sababu nabii wa sasa alikuwa akiitwa mwonaji.)
Solo da amane adole i, “Dia dawa: i go defeawane! Ninia ahoa: di.” Amalu ilia da hadigi dawa: su dunu ea esalebe soge amoga asi. Ilia da moilai fi amoga doaga: musa: agoloba: le heda: la, uda a: fini ilia hano dila mafiadalebe gousa: i. Ilia da uda a: fini ema adole ba: i. “Ba: la: lusu dunu da moilaiga esalabala?” (amo eso galu ilia da balofede dunuma ‘ba: la: lusu’ sia: su, amola nowa dunu da Godema adole ba: musa: dawa: sea, ilia da amane sia: su, “Ninia da ba: la: lusuma ahoa: di.”)
10 Sauli akamwambia mtumishi wake, “Vyema, njoo na twende.” Basi wakaenda mjini alipokuwepo huyo mtu wa Mungu.
11 Walipokuwa wakipanda mlima kwenda mjini, wakakutana na baadhi ya wasichana wanakuja kuchota maji, nao wakawauliza, “Je, mwonaji yuko?”
12 Wakajibu, “Yuko, yu mbele yenu amewatangulia, sasa fanyeni haraka, ndiyo tu amekuja mjini kwetu leo, kwa kuwa watu wana dhabihu huko mahali pa juu.
13 Mara tu mwingiapo mjini, mtamkuta kabla hajapanda kwenda mahali pa juu kula. Watu hawataanza kula mpaka atakapofika kwa sababu ni lazima kwanza yeye abariki dhabihu, ndipo wale walioalikwa watakapokula. Pandeni sasa, mtamkuta kwa wakati huu.”
Uda a: fini ilima adole i, “Ma! E da esala! Dafawane! E da dili ahoaba gogusu. Dilia da hedolo ahoasea, dilia da e ba: mu. Dilia da moilai ganodini dasea, dilia e ba: mu. E da wali moilaiga doaga: i, bai dunu ilia da oloda da: iya agolo damana gobele salimu. Amoga hiougi dunu da ha: i mae nane, e doaga: ma: ne ouesala. Bai ea hidadea gobele sala sia: ne gadomu. Dilia waha ahoasea, e da agoloa gado hame heda: i galeawane, dilia da e ba: mu.”
14 Wakapanda mjini, nao walipokuwa wakiingia mjini, tazama, Samweli alikuwa akija kuelekea walikokwenda mahali pa juu.
Amaiba: le, Solo amola ea hawa: hamosu dunu ilia moilai ganodini sa: i. Ilia ganodini golili daha ba: loba, Sa: miuele da oloda da: iya gobele salimusa: ahoanebe ba: i.
15 Basi siku moja kabla Sauli hajaja, Bwana alikuwa amemfunulia Samweli jambo hili:
Be aya Hina Gode da Sa: miuelema amane sia: i galu,
16 “Kesho wakati kama huu nitakupelekea mtu kutoka nchi ya Benyamini. Umtie mafuta awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli, ndiye atakayewakomboa watu wangu na mkono wa Wafilisti. Nimewaangalia watu wangu, kwa kuwa kilio chao kimenifikia.”
“Aya wewaba Na da Bediamini ea sosogo fi amoga dunu afae dima asunasimu. E da Na dunu fi Isala: ili ouligima: ne ema ilegele amalu ea dialuma da: iya susuligi soga: sima. Amalu, e da Filisidini ilia Isala: ili dunuma osa: la hedasa: besa: le gaga: mu. Na da Isala: ili dunu ilia se nababe ba: i, amola Na da ilia se naba didigia: be amola Nama fidima: ne wele sia: su nabi.”
17 Samweli alipomwona Sauli, Bwana akamwambia, “Huyu ndiye mtu niliyekuambia habari zake, kwamba yeye atawatawala watu wangu.”
Sa: miuele da Solo ba: loba, Hina Gode da ema agoane sia: i, “Dunu Na dima adolalu amo da goea! E da Na Isala: ili dunu ouligimu.”
18 Sauli akamkaribia Samweli langoni na kumuuliza, “Tafadhali, je, waweza kuniambia mahali nyumba ya mwonaji ilipo?”
Sa: miuele da logo golili dasu gadenene leloba, Solo da e ba: le, ema heda: i, amalu adole ba: i, “Dia sia: ma! Ba: la: lusu dunu da habi esalabala?”
19 Samweli akamjibu Sauli, “Mimi ndiye mwonaji, panda utangulie mbele yangu mpaka mahali pa juu, kwa kuwa leo itakupasa kula pamoja nami na asubuhi nitakuruhusu uende na nitakuambia yale yote yaliyo moyoni mwako.
Sa: miuele da bu adole i, “Ba: la: lusu dunu da na wea. Nodone sia: ne gadosu sogebiga gado ali hidadea bisili ahoanoma. Ali galu nini gilisili ha: i manu. Aya hahabe na da dia adole ba: i amo huluane na dima adodole ianu, na da ali da logoga masa: ne sia: mu.
20 Kuhusu wale punda uliowapoteza siku tatu zilizopita, usifadhaike kwa habari yao; wamepatikana. Ni kwa nani ambaye shauku yote ya Israeli imeelekea, kama si kwako na jamaa yote ya baba yako?”
Be dougi eso udianaga yolei galu, amo da mae dawa: ma, amo da ba: i dagoi. Be Isala: ili dunu ilia hanai bagadedafa amo da adila: ? Amo da di. Di amola dia ada ea sosogo fi.”
21 Sauli akajibu, “Je, mimi si Mbenyamini, kutoka kabila dogo kuliko yote ya Israeli, nao ukoo wangu si ndio mdogo kuliko koo zote za kabila la Benyamini? Kwa nini uniambie jambo la namna hiyo?”
Solo da adole i, “Na da Bediamini fi amogaga fi dunu. Amo fi da Isala: ili fi ganodini sosogo fi fonobahadidafa. Amola na fi ganodini, na sosogo fawane da mimogo hame. Abuliba: le di da nama agoane sia: bela: ?”
22 Kisha Samweli akamleta Sauli na mtumishi wake ndani ukumbini na kuwaketisha mahali pa heshima zaidi miongoni mwa wale waliokuwa wamealikwa; jumla yao walikuwa kama watu thelathini.
Amalalu, Sa: miuele da Solo amola ea hawa: hamosu dunu oule, sesei bagade ganodini oule heda: i. Amalu fisu noga: idafa amo da: iya fima: ne adoi. Amola, sesei ganodini hiougi dunu misi da 30 agoane ba: i.
23 Samweli akamwambia mpishi, “Leta ile sehemu ya nyama niliyokupa, ile niliyokuambia iweke kando.”
Sa: miuele da ha: i manu gobesu dunuma amane sia: i, “Gebo hu a: i na dima hamega ligisiagama: ne iasi, amo gaguli misa.”
24 Hivyo mpishi akachukua mguu pamoja na kile kilichokuwa juu yake akaiweka mbele ya Sauli. Samweli akasema, “Hiki ndicho ambacho kimewekwa kwa ajili yako. Ule, kwa sababu kilitengwa kwa ajili yako kwa tukio hili, tangu niliposema, ‘Nimewaalika wageni.’” Naye Sauli akala pamoja na Samweli siku ile.
Amaiba: le ha: i manu gobesu dunu da masele dagai lale, gaguli misini, Solo baia soiyasi. Sa: miuele da amane sia: i “Ba: ma! Hu a: i na digili ligisi dialu amo da goea. Moma! Amo da na digili, dunu na hiougi amo masea amola moma: ne ligisi galu.” Amaiba: le, Solo da Sa: miuelela gilisili amo esoga ha: i mai.
25 Baada ya kushuka kutoka mahali pa juu na kufika mjini, Samweli alizungumza na Sauli juu ya dari ya nyumba yake.
Ilia da gilisili sia: ne gadosu sogebia amoinini moilaiga gudu sa: ili, ilia da Solo golama: ne diasu figi da: iya wibi fofa: lesi,
26 Walipoamka mapema alfajiri, Samweli akamwita Sauli darini, akamwambia, “Jiandae, nami nitakuaga uende zako.” Sauli alipokuwa tayari yeye na Samweli wakatoka nje pamoja.
amalu Solo da amo gado golai. Hahabedafa, Sa: miuele da Solo diasu gadodili golai dialu, ema wele sia: i “Wa: legadoma! Amola na da di masa: ne asunasimu.” Solo da wa: legadole, e amola Sa: miuele ele galu logoga asi.
27 Hata walipokuwa wakiteremka kuelekea mwisho wa mji, Samweli akamwambia Sauli, “Mwambie mtumishi atangulie mbele yetu.” Naye mtumishi akafanya hivyo. “Lakini subiri hapa kwa kitambo kidogo, ili nipate kukupa ujumbe kutoka kwa Mungu.”
Ilia da asili moilai bega: doaga: beba: le, Sa: miuele da Soloma amane sia: i, “Dia hawa: hamosu dunu da fisili hidadea ahoanoma: ne adoma!” Amalalu hawa: hamosu dunu da hidadea ahoanoba, Sa: miuele da bu sia: i, “Waha wi fonobahadi aligima, na da Gode Ea sia: i amo dima adodole imunu.”

< 1 Samweli 9 >