< 1 Samweli 8 >

1 Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli.
Şamuel q'əs qıxhamee, dixbışike İzrailis haakimar haa'a.
2 Mzaliwa wa kwanza alikuwa Yoeli, na la wa pili lilikuwa Abiya, nao wakatumika huko Beer-Sheba.
Mang'une ts'erriyne duxayn do Yoel, q'ör'esıng'unud Aviya ıxha. Manbışe Beer-Şevee haakimiyvalla haa'a vuxha.
3 Lakini wanawe hawakuenenda katika njia zake. Waliziacha wakageukia faida za udanganyifu nao wakapokea rushwa na kupotosha haki.
Dixbı dekkıne yəqqı'n avayk'an deş. Manbı haramne pılıqab qihna gyabak'a, ruşvatbı alyaat'a, qotkuda deşin q'aralybı hele ıxha.
4 Basi wazee wote wa Israeli wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli huko Rama.
Gırgın İzrailin ağsaqqalar Ramayeeqa sabı, Şamuelyne k'anyaqa abı,
5 Wakamwambia, “Wewe umekuwa mzee, nao wanao hawaenendi katika njia zako, sasa tuteulie mfalme wa kutuongoza, kama ilivyo kwa mataifa mengine yote.”
mang'uk'le eyhen: – Ğu q'əs qıxha, yiğın dixbımee yiğne yəqqı'n əlyhəə deş. Həşdeme menne milletbışika nəxürnayiy, şasdar həməxürna sa paççah gixhxhe. Şas xəbvalla hee'ecen.
6 Lakini wao waliposema, “Tupe mfalme wa kutuongoza,” hili lilimchukiza Samweli, hivyo akamwomba Bwana.
Manbışe: «Şasdar sa paççah gixhxhe, mang'vee şas xəbvalla hee'ecenva» uvhuyng'a, Şamuelis manbışe uvhuyn ıkkiykan deş. Mang'vee Rəbbis düə haa'a.
7 Naye Bwana akamwambia: “Sikiliza yale yote watu wanakuambia. Si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao.
Rəbbee Şamuelik'le eyhen: – Milletın eyhene gırgınçil k'ırı alixhxhe. Manbışe ğu deş, Zı əq'əna qa'a. Manbışis Zı cona Paççah ıxha ıkkan deş.
8 Kama vile walivyofanya tangu siku nilipowapandisha kutoka Misri mpaka siku hii ya leo; wakiniacha mimi na kutumikia miungu mingine, ndivyo wanavyokufanyia wewe.
Zı manbı Misirğançe qığav'uyne yiğıle, g'iyniyne yiğılqamee manbışe menne allahaaşis ı'bəədatbı hı'ı. Məxüb manbı Zake əq'əna qeepxha. Zak hı'iyn kar, manbışe həşded vak ha'a.
9 Sasa wasikilize, lakini waonye kwa makini na uwafahamishe yale watakayotendewa na mfalme atakayewatawala.”
Ğu manbışe eyhençil k'ırı alixhxhıyle qiyğa, ğu manbışilqa yugda hixhar he'e, cos xəbvalla haa'asde paççahee xəbvalla nəxübiy haa'as.
10 Samweli akawaambia wale watu waliokuwa wakiomba wapewe mfalme maneno yote ya Bwana.
Şamuelee cuke paççah heqqane milletılqa, Rəbbee uvhuyn cuvab hixhar ha'an.
11 Akasema, “Hivi ndivyo atakavyowatendea mfalme atakayewatawala. Atawachukua wana wenu na kuwafanya watumike kwa magari yake ya vita na farasi, nao watakimbia mbele ya magari yake.
Mang'vee eyhen: – Şos xəbvalla haa'asde paççahee, xəbvalla inəxüb haa'as: mang'vee vuşun dixbı sav'u, quvkeesınbı. Dəv'əyne daşk'abışiliy balkanaaşil cus g'ullux haa'as alivkas. Manbıb mang'une daşk'abışde ögee g'adaaxvanas.
12 Baadhi yao atawaweka kuwa majemadari wa jeshi wa maelfu na majemadari wa jeshi wa hamsini, wengine kulima mashamba yake na kuvuna mavuno yake, pia na wengine kutengeneza silaha za vita na vifaa kwa ajili ya magari yake.
Manbışde sanbışike aazırıng'us, sanbışikeb xhots'aling'us ç'ak'ınbı haa'as. Mansanbıb cun cigabı ezas, şagav sa'as g'axuvles. Avxuynbışisqad silahiy dəv'əyne daşk'abışis kara'alesın karbı ha'as alikkas.
13 Atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi na waokaji.
Mang'vee vuşun yişba ətirbıyiy otxhuniybı ha'as, gıneybı qecesva vukkees.
14 Atayachukua mashamba yenu yaliyo mazuri, mashamba ya mizabibu na mashamba yenu ya mizeituni na kuwapa watumishi wake.
Mang'vee vuşun inekke yugun çolbıyiy t'ımıllığbı, zeytunun bağbı xılençe g'ayşu, cune insanaaşis heles.
15 Ataichukua sehemu ya kumi ya nafaka yenu na ya zabibu zenu na kuwapa maafisa wake na watumishi wake.
Mang'vee vuşde sukukeyiy t'ımılike yits'ıb'esda pay alyapt'ı, məmuraaşisiy cune insanaaşis hevles.
16 Atawachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike, na ngʼombe wenu walio wazuri sana na punda kwa matumizi yake mwenyewe.
Vuşun g'ular – adamer, yadar – vuşun mek'vunbı, vuşun əməlerıd çikana mang'vee cus alyaat'as.
17 Atachukua sehemu ya kumi ya makundi yenu ya kondoo na mbuzi, na ninyi wenyewe mtakuwa watumwa wake.
Vuşde vəq'əbışda yits'ıb'esda pay mang'vee cus alyapt'as, şunab mang'un nukarar vuxhes.
18 Siku ile itakapowadia, mtalia kwa kutaka msaada kutokana na mfalme mliyemchagua, naye Bwana hatawajibu.”
Yiğ qalesın, şu g'əyxı'yne paççahne xıleençe, Allahılqa şucad xıleppı aaqas, Mang'vee şu g'attivxhan hee'ecenva. Rəbbeemee mane gahıl şos cuvab qeles deş.
19 Lakini watu wakakataa kumsikiliza Samweli wakasema, “Hapana! Tunataka mfalme wa kututawala.
Milletısmee, Şamuelyne cuvabıl k'ırı alixhxhes diykkın, eyhen: – De'eş, şal oğa paççah ıxha şas ıkkan.
20 Kisha tutakuwa kama mataifa mengine yote, tukiwa na mfalme wa kutuongoza na kwenda mbele yetu na kutupigania vita vyetu.”
Havaasre menne milletbışis nəxübiy, şasıb paççahee xəbvalla hee'ecen. Dəv'ə gipxhımeeyib, yişde ögee hooracen.
21 Samweli aliposikia yote watu waliyosema, akarudia kuyasema mbele za Bwana.
Milletın eyhen gırgın yik'el aqqı, qiyğale man Şamuelee Rəbbis yuşan ha'a.
22 Bwana akamjibu, “Wasikilize na uwape mfalme.” Kisha Samweli akawaambia watu wa Israeli, “Kila mmoja arudi mjini kwake.”
Rəbbee Şamuelik'le eyhen: – Manbışe eyhençil k'ırı alixhxhı, manbışis sa paççah gixhxhe. Manke Şamuelee İzrailybışik'le «Gırgınbı vuşde şaharbışeeqa savk'leva» eyhe.

< 1 Samweli 8 >