< 1 Samweli 6 >

1 Sanduku la Bwana lilipokuwa limekaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba,
Rəbbina q'utye Filiştinaaşine cigabışee yighıble vazna avxu.
2 Wafilisti waliwaita makuhani wa Dagoni na waaguzi, na kuwaambia, “Tutafanya nini na hili Sanduku la Bwana? Tuambieni jinsi tutakavyolirudisha mahali pake.”
Filiştinaaşe kaahinariy falika ilyaakanbı qopt'ul eyhen: – İne Rəbbine q'utyeyk hucoona ha'as? Şak'le eyhe, şi nəxübiy mana çine cigeeqa savaak'al haa'as?
3 Wakajibu, “Kama mtalirudisha Sanduku la Mungu wa Israeli, msilirudishe mikono mitupu bali kwa vyovyote mpelekeeni sadaka ya hatia. Kisha mtaponywa, nanyi mtafahamu kwa nini mkono wake haujaondolewa kwenu.”
Manbışe eyhen: – İzrailyne Allahna q'utye yı'q'əlqa savaak'al haa'as vukkanxhee, mana q'ərab savaak'al hımaa'a. Şu mançinemee, taxsir şolyva Rəbbis pay haa'as vukkan. Mane gahıl şunab yug qeepxhesınbı, Mang'vee şoke nya'asiy xıl ts'ıts'dyaa'avad, ats'axhxhesın.
4 Wafilisti wakawauliza, “Ni sadaka gani ya hatia tutakayompelekea?” Wakajibu, “Majipu matano ya dhahabu na panya wa dhahabu watano, kulingana na idadi ya watawala wa Wafilisti, kwa sababu tauni iyo hiyo imewaua ninyi na watawala wenu.
Filiştinaaşe qiyghanan: – Şal taxsirva nena payne Rəbbis haa'as vukkan? Kaahinaaşeyiy falika ilyaakanbışe eyhen: – Filiştinaaşika xhuleyre xərnayiy, hamanimen k'ınəəğəykena fıriy q'öv hav'u g'axuvle. Mana ver vuşdecab deş, vuşde ç'ak'ınbışdeb vuk'lelqa qabına.
5 Tengenezeni mifano ya majipu na ya panya wale wanaoharibu nchi yenu, nanyi mheshimuni Mungu wa Israeli. Labda ataondoa mkono wake kutoka kwenu na kwa miungu yenu na nchi yenu.
Mançil-alla fıraaşinıd, vuşda ölka q'əra qaa'ane q'övəəşinıd k'opyebı he'e, İzrailyne Allahısıb hı'rmat givxhe. Sayid manke, Mang'vee şokeb, vuşde allahaaşileb, vuşde cigabışileb xıl ts'ıts'aa'a.
6 Kwa nini ninyi mnafanya mioyo yenu migumu kama Wamisri na Farao walivyofanya? Je, alipowatendea kwa ukali, hawakuwaachia Waisraeli wakaenda zao?
Misirbışeyiy fironee q'ı't'y k'eççuyn xhinne, şunad hıma'a. Allah manbışilqa rəhı'm dena qıxhamee, manbışe İzrailybı g'avkkuynbı.
7 “Sasa basi, wekeni gari jipya la kukokotwa pamoja na ngʼombe wawili ambao wamezaa lakini ambao kamwe hawajafungwa nira. Fungieni hao ngʼombe hilo gari, lakini ondoeni ndama wao na mwaweke zizini.
Həşdemee sa ts'edın daşk'a hı'ı, mançik mısacab xamut qidyav'una q'ıkar gyooqa'ana q'öble zer avt'le. Q'ıkarmee mançike curu'u xaaqa qıkkee.
8 Chukueni hilo Sanduku la Bwana na mliweke juu ya gari la kukokotwa, na ndani ya kasha kando yake wekeni hivyo vitu vya dhahabu mnavyompelekea Bwana kama sadaka ya hatia. Lipelekeni,
Rəbbina q'utyeb alyapt'ı daşk'eeqa gyuvxhe, taxsir şolyva Mang'us allesın k'ınəəğəyken karbıd mançine k'anene yeşuk'eeqa gixhxhe. Qiyğaled daşk'a yəqqı'l hee'e hooracen.
9 lakini liangalieni kwa makini. Iwapo litakwenda katika nchi yake lenyewe, kuelekea Beth-Shemeshi, basi tutajua kwamba Bwana ndiye alileta haya maafa makubwa juu yetu. Lakini kama halikwenda, basi tutajua kwamba haukuwa mkono wa Bwana uliotupiga na kwamba iliyotokea kwetu ni ajali.”
Yı'q'əle saccu ilyaake. Man çine cigeeqa, Bet-Şemeşne suralqa atk'ınee, mana ver şalqa ooxuna Rəbb vornava eyhen vodun. Maqa idyapk'ıneeme, şak'le ats'axhxhesın, şas ı'xı'yn xıl Mang'un deşud. Man çiled-alqa ıxhayn kar vodun.
10 Basi wakafanya hivyo. Wakachukua ngʼombe wawili wa aina hiyo, wakawafungia hilo gari la kukokotwa, nao ndama wao wakawekwa zizini.
Nəxüdiy uvhu, insanaaşe məxüdud ha'an. Q'öble zer qabı daşk'ayk iviyt'al, mançin q'ıkarıd xaa g'alya'a.
11 Wakaliweka Sanduku la Bwana juu ya hilo gari la kukokotwa pamoja na lile kasha lenye ile mifano ya panya wa dhahabu na ya majipu ya dhahabu.
Daşk'eeqa Rəbbine q'utyeyka sacigee, manbışe k'ınəəğəyke hı'iyn q'övərnanayiy fırarnana yeşuk giviyxhe.
12 Kisha hao ngʼombe wakaenda moja kwa moja kuelekea Beth-Shemeshi, wakishuka bila kugeuka kuume au kushoto, huku wakilia njia yote. Watawala wa Wafilisti waliwafuata hao ngʼombe hadi mpakani mwa Beth-Shemeshi.
Mançile qiyğa zerbı qotkuda ayk'ananbı Bet-Şemeşne suralqa. Manbı sağılqa, solulqa siditk'ıl, sa yəq avqu, heğa-heğa ayk'ananbı. Filiştinaaşin ç'ak'ınbı mançiqab qihna Bet-Şemeş giviyğalne cigeeqamee avayk'ananbı.
13 Wakati huu watu wa Beth-Shemeshi walikuwa wakivuna ngano yao huko bondeni, walipoinua macho yao na kuona lile Sanduku, wakafurahi kuliona.
Mane gahıl Bet-Şemeşğançenbı suk qiviyşal çolee vooxhe. Manbı q'utye g'avcu şadeebaxhenbı.
14 Lile gari la kukokotwa lilikuja mpaka kwenye shamba la Yoshua wa Beth-Shemeshi, nalo likasimama kando ya mwamba mkubwa. Watu wakapasua mbao za lile gari la kukokotwa na kutoa dhabihu wale ngʼombe kama sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.
Daşk'a Bet-Şemeşğançene Yeşuayne çoleeqa qadı, sa xənne g'ayeyne k'ane ulyoyzaran. İnsanaaşe daşk'a haq'var hı'ı mançike osbı ha'a. Zerbışiked, Rəbbis gyooxhan haa'ana q'urban ablyaa'a.
15 Walawi walilishusha Sanduku la Bwana, pamoja na lile kasha lililokuwa na vile vitu vya dhahabu na kuviweka juu ya ule mwamba mkubwa. Siku ile watu wa Beth-Shemeshi wakatoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu kwa Bwana.
Leviyne nasıleençene insanaaşe Rəbbina q'utye, k'ınəəğəyke hı'iyn q'övəriy fırar sı'ına yeşuk'ub daşk'eençe gyaqqı, sa xənne g'ayel ooqa giyxhe. Mane yiğıl Bet-Şemeşğançenbışe Rəbbis gyooxhan haa'ane q'urbanıle ğayrı, medın q'urbanbıd gyaat'anbı.
16 Wale watawala watano wa Wafilisti waliona haya yote, nao wakarudi siku ile ile mpaka Ekroni.
Filiştinaaşine maqa abıyne xhone xərıng'uk'le man g'acu, mane yiğılycab Ekronqa siviyk'al.
17 Haya ndiyo yale majipu ya dhahabu Wafilisti waliyotuma kama sadaka ya hatia kwa Bwana, moja kwa ajili ya Ashdodi, moja kwa Gaza, moja kwa Ashkeloni, moja kwa Gathi, na moja kwa Ekroni.
Filiştinaaşe taxsir colyva Aşdod eyhene şaharne doyule, Gəzzə eyhene şaharne doyule, Aşkelon eyhene şaharne doyule, Gat eyhene şaharne doyule, Ekron eyhene şaharne doyule Rəbbis k'ınəəğəyke hı'iyn fırar adayle.
18 Nayo hesabu ya wale panya wa dhahabu ilikuwa kulingana na idadi ya miji ya Wafilisti ya watawala watano wa Wafilisti: miji yao iliyozungukwa na maboma, pamoja na vijiji vya miji hiyo. Ule mwamba mkubwa, ambao juu yake waliliweka lile Sanduku la Bwana, ni ushahidi hadi leo katika shamba la Yoshua wa Beth-Shemeshi.
K'ınəəğəyke hı'iyn q'övərmee, hiqiy-alla cabırbışikane şaharbışisiy çine hiqiy-allane xivaaşis sik'ı adayle. Mane şaharbışiqa xhoyre xərna ıxha. Bet-Şemeşğane Yeşuayne çoleena, Rəbbina q'utye gyuvxhuna xəbna g'aye giyniyne yiğılqamee avxu vob.
19 Lakini Mungu aliwapiga baadhi ya watu wa Beth-Shemeshi, akiwaua watu sabini miongoni mwao kwa sababu walichungulia ndani ya Sanduku la Bwana. Watu wakaomboleza kwa sababu ya pigo zito kutoka kwa Bwana,
Rəbbine q'utyeyne aq'a ilyaakıva, Allahee Bet-Şemeşğançenbışde vuk'lelqa ver ooxa. Rəbbee manbışda yights'al insan gek'a. Milletıd, Rəbbee cone vuk'lelqa ooxune verır-alla geşşe ıxha.
20 nao watu wa Beth-Shemeshi wakauliza, “Ni nani awezaye kusimama mbele za Bwana, huyu Mungu aliye mtakatifu? Sanduku litapanda kwenda kwa nani kutoka hapa?”
Bet-Şemeşğançenbışe eyhen: – İne muq'addasne Allahne, Rəbbine ögil şavusse ulyozaras əxəye? Nyaqane ina q'utye quvkees?
21 Kisha wakatuma wajumbe kwa watu wa Kiriath-Yearimu, wakisema, “Wafilisti wamerudisha Sanduku la Bwana. Shukeni na mlipandishe huko kwenu.”
Qiyğa manbışe Kiryat-Yearim eyhene şaharne milletısqa xabar ana insanar g'axuvu, eyhen: – Filiştinaaşe Rəbbina q'utye yı'q'əlqa savaak'al hav'u, able mana quvkee.

< 1 Samweli 6 >