< 1 Samweli 5 >

1 Baada ya Wafilisti kuteka Sanduku la Mungu, walilichukua kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi.
Filisidini dunu ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili fedelalu, gaguli Ebenisa sogega amoinini ili moilai sogebi A: siedode moilai bai bagadega gisa asi.
2 Kisha wakaliingiza lile Sanduku ndani ya hekalu la Dagoni na kuliweka kando ya huyo Dagoni.
Ilia ogogosu ‘gode’ Da: igone amo ea debolo diasu ganodini gisa heda: le, ogogosu ‘gode’ Da: igone loboga hahamoi bugisi bega: amogai dafulili bugisi.
3 Watu wa Ashdodi walipoamka asubuhi na mapema kesho yake, kumbe, wakamkuta Dagoni ameanguka chini kifudifudi mbele ya Sanduku la Bwana! Wakamwinua Dagoni na kumrudisha mahali pake.
Amalu, golale hahabe, A:siedode dunu ilia ba: loba, ilia ogogosu ‘gode’ Da: igone da muwane sa: ili, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili mi dududi mi guduli gala: la asi dialebe ba: i. Amalalu ilia da lale, bu hi musa: dialua amogai bugisi.
4 Lakini asubuhi iliyofuata, walipoamka kumbe, walimkuta huyo Dagoni ameanguka chini kifudifudi mbele ya Sanduku la Bwana! Kichwa chake na mikono vilikuwa vimevunjwa navyo vimelala kizingitini, ni kiwiliwili chake tu kilichokuwa kimebaki.
Amalu, bu golale hahabe ba: loba, ilia ogogosu ‘gode’ Da: igone da bu muwane sa: ili, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili midududi mi guduli muwane sa: i dialebe ba: i. Waha da gasa bagade, ogogosu ‘gode’ Da: igone ea dialuma amola ea lobo aduna da elegalu dagale, dogona asili, logo holei gagili dasu amoga dialebe ba: i, be da: i hodo fawane dialebe ba: i.
5 Ndiyo sababu mpaka leo makuhani wa Dagoni wala wengine waingiao katika hekalu la Dagoni huko Ashdodi hawakanyagi kizingiti.
(Wali amolawane, ogogosu ‘gode’ Da: igonema gobele salasu dunu amola ema fa: no bobogesu A: siedode dunu ilia waha da amola gagili dasu amoga ayale giadofale ahoa.)
6 Mkono wa Bwana ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi na vijiji jirani, akaleta uharibifu juu yao na kuwatesa kwa majipu.
Gode da A: siedode fi ilima se dabe iasu amola da: i diosu ili beda: ma: ne bagadewane i. E da A: siedode fi amola ilia sisiga: le esalebe fi ili galu se nabima: ne, momahoi bagade iasi.
7 Watu wa Ashdodi walipoona kile kilichokuwa kikitokea, wakasema, “Sanduku la Mungu wa Israeli kamwe lisikae hapa pamoja na sisi, kwa sababu mkono wake ni mzito juu yetu na juu ya Dagoni mungu wetu.”
A: siedode dunu ilia da se nabasu amo ilima doaga: i ba: loba, ilia da amane sia: i, “Isala: ili Gode da ninima amola ninia ‘gode’ Da: igonema se dabe iaha. Ninia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili guiwane hame dialoma: mu.”
8 Basi wakawaita watawala wote wa Wafilisti pamoja na kuwauliza, “Tutafanya nini na hili Sanduku la Mungu wa Israeli?” Wakajibu, “Sanduku la Mungu wa Israeli na liende Gathi.” Basi wakalihamisha Sanduku la Mungu wa Israeli.
Amaiba: le ilia da Filisidini fi hina bagade dunu biyale amo misa: ne adosisi. Amola ilima amane adole ba: i, “Ninia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amoga adi hamoma: bela: ?” Ilia amane sia: i, “Amo Isala: ili Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo Ga: de moilai bai bagadega gisa masa.” Amalalu, ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili, amo Ga: de moilai bai bagadega gisa asi.
9 Lakini baada ya kulihamisha, mkono wa Bwana ulikuwa dhidi ya huo mji wa Gathi, akiuweka katika fadhaa kuu. Mungu akawatesa watu wa huo mji, vijana kwa wazee, kwa kuwaletea majipu.
Be amo Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da doaga: le, Gode da Ga: de moilai bai bagade soge amoga se nabasu bagadedafa i. Amaiba: le momahoi amola bagade heda: le, goi dunu amola asigilai dunu, gilisili defele momadelai.
10 Basi wakapeleka Sanduku la Mungu Ekroni. Wakati Sanduku la Mungu lilipokuwa linaingia Ekroni, watu wa Ekroni walilia wakisema “Wamelileta Sanduku la Mungu wa Israeli kwetu ili kutuua sisi na watu wetu.”
Amaiba: le ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili eno Filisidini moilai bai bagade amo Egelone, amoga gisa asi, be amo Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da Egolonega amoi doaga: loba, dunu ilia da bagadewane udugia: dusa: i, “Ilia da nini bogogia: ma: ne, amo Isala: ili Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da wali ninima gisa misi dagoi!”
11 Basi wakawaita watawala wote wa Wafilisti pamoja na kusema, “Liondoeni Sanduku la Mungu wa Israeli na lirudishwe mahali pake, la sivyo litatuua sisi na watu wetu.” Kwa kuwa kifo kilikuwa kimeujaza mji hofu; kwani mkono wa Mungu ulikuwa mzito sana juu yake.
Amaiba: le, ilia da Filisidini ouligisu dunu huluane misa: ne bu wele sia: i, amalu ilima amane sia: i, “Amo Isala: ili Gode Ea Gousa: su Sema Gagili hina: sogedafa amoga bu sinidigili, ililima iagama. Amasea, nini amola ninia sosogo fi da mae bogogia: ma: ne.” Be amomane moilai bai bagade amo ganodini ilia da bagadewane beda: i. Bai Gode da ilima se nabasu defele ianebeba: le.
12 Wale ambao hawakufa walipatwa na majipu, na kilio cha mji kilikwenda juu hadi mbinguni.
Amola dunu se nabasu ilima doaga: i, be hame bogogia: i, ilima momahoi dialebe ba: i. Amola ilia da ilia ogogosu ‘gode’ amo ili fidima: ne sia: ne gagadosu.

< 1 Samweli 5 >