< 1 Samweli 30 >

1 Daudi na watu wake wakafika Siklagi siku ya tatu. Basi Waamaleki walikuwa wamevamia Negebu na Siklagi. Wakawa wameshambulia mji wa Siklagi na kuuteketeza kwa moto,
Davudıy cun insanar Tsiklag eyhene şahareeqa xhebı'esde yiğıs qabı hiviyxhar. Mane gahıl Amalekbı abı, Negevılqayiy Tsiklagılqa k'yoohar. Manbışe Tsiklag q'əra qav'u, qiyğab gyooxhan haa'a.
2 nao wakawa wamewachukua mateka wanawake pamoja na wote waliokuwamo humo, vijana na wazee. Hawakuua yeyote, bali waliwachukua wakaenda zao.
Manbışe, maane zəiyfabışda nenacar geek'a deş. Xərıng'ule k'ıning'ulqamee manbışin gırgınbı avqu, cokasana quvkekka.
3 Daudi na watu wake walipofika Siklagi, wakakuta mji umeangamizwa kwa moto na wake zao pamoja na wana wao na binti zao wamechukuliwa mateka.
Davud cune insanaaşika şahareeqa ikkeç'umee, mang'uk'le şahar gyooxhan hav'u, con dixbı, yişba, yedar şenbışe cone ögeeqa gyavhu quvku, g'ooce.
4 Hivyo Daudi na watu wake wakapiga yowe mpaka wakaishiwa na nguvu za kulia.
Man g'acu, Davudıy cun insanar uledın nağbı qeqvasmee gyaaşenbı.
5 Wake wawili wa Daudi walikuwa wametekwa: yaani Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli.
Şenbışe avqu quvkiynbışde yı'q'nee, Davudna q'öyursana xhunaşşe: İzre'elyğançena Axinoamiy Karmelyğançene Navalna sip'ıriy Avigailir yeexhena.
6 Daudi alihuzunika sana kwa sababu watu walikuwa wakisemezana juu ya kumpiga kwa mawe. Kila mmoja alikuwa na uchungu rohoni kwa sababu ya wanawe na binti zake. Lakini Daudi akajitia nguvu katika Bwana, Mungu wake.
Davudun yik' qoxa eyxhe, milletın mana g'ayeqqa helesva uvhuva. Maane insanaaşin cone uşaxaaşiqa yik' gyotxhan ıxhayke, məxüd eyhe ıxha. Davudeeyid yı'q' cune Allahılqa Rəbbilqa qiyzar.
7 Kisha Daudi akamwambia kuhani Abiathari mwana wa Ahimeleki, “Niletee kisibau.” Abiathari akamletea,
Mang'vee, Aximelekne duxayk'le kaahin Evyatarık'le uvhuyn: – Hucoona ixhes, yizdemee kaahinaaşin ileylığ inyaqa alle. Evyatareeyid man kar Davudne k'anyaqa adaylen.
8 naye Daudi akamuuliza Bwana, “Je, nifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawapata?” Bwana akajibu, “Wafuatie. Hakika utawapata na utafanikiwa kuwaokoa.”
Davudee Rəbbike qiyghan: – Zı ine şaharılqa kyophuriynbışiqa qihna gyurxheene, avayq'aree? Rəbbee mang'uk'le eyhen: – Gixhe qihna. Ğu manbışiqa avaq'arasdar, manbışe avquynbıb g'attivxhan haa'asınbı.
9 Daudi pamoja na watu wake 600 wakafika kwenye Bonde la Besori, mahali ambapo wengine waliachwa nyuma,
Davud cukane yixhıd vəş insanıka Amalekbışiqar qihna gexha. Manbı Besor eyhene qadaalisqa qabı hipxhırmee, q'öd vəş insan maacab aaxva.
10 kwa kuwa watu 200 walikuwa wamechoka sana kuweza kuvuka hilo bonde. Lakini Daudi pamoja na watu 400 wakaendelea kufuatia.
Davudıy manasa cukasanana yoq'ud vəş insanmee maa'ab ulyoozarcab deş, manbı Amalekbışiqab qihna gyabak'a. Manasa q'öd vəş insan manimee obzur vooxhe, Besor eyhene qadaalikecab manbışisse ılğeepç'es vəəxə deş.
11 Wakamkuta Mmisri katika shamba fulani, nao wakamleta kwa Daudi. Wakampa huyo Mmisri maji ya kunywa na chakula;
Çolee manbışisqa sa Misirğançena qızaxxa, mana manbışe Davudusqa arayle. Manbışe mang'us gıneyıd xhyanıd helen.
12 kipande cha andazi la tini na andazi la zabibu zilizokaushwa. Akala naye akapata nguvu, kwa kuwa hakuwa amekula chakula chochote wala kunywa maji kwa siku tatu usiku na mchana.
Qiyğa manbışe mang'us qooqqav'una inciliyiy q'öble ts'ets'y t'ımılena hoole. Mang'vee man karbı otxhuniyle qiyğa culqa qarayle. Xhebılle yiğnayiy xheyible xəmna mang'vee mankilqasse gıneyid otxhun ıxha deş, xhyanıd ulyodğu eyxhe deş.
13 Daudi akamuuliza, “Wewe ni wa nani, na umetoka wapi?” Akajibu, “Mimi ni Mmisri, mtumwa wa Mwamaleki. Bwana wangu alinitelekeza nilipougua siku tatu zilizopita.
Davudee mang'uke qiyghanan: – Ğu vuşune vor, nençena arı? Mang'vee Davuduk'le eyhen: – Amalekbışde sang'una zı nukar vor. İxhesır zı, Misirbışda eyxhe. Hiyyiğna zı ık'iyk'ırna, yizde xərıng'veeyir zı g'alerçuna.
14 Tulivamia Negebu ya Wakerethi, na nchi ya Yuda, na Negebu ya Kalebu. Nasi tulichoma moto Siklagi.”
Şi canubulynang'a, Keretbışde, Yahudayne, Kalevne cigabışeeqa k'yophur. Tsiklagıs ts'a ı'xı', gyooxhan hav'una.
15 Daudi akamuuliza, “Je, unaweza kuniongoza kufikia kundi hili la uvamizi?” Akajibu, “Niapie mbele ya Mungu kwamba hutaniua wala kunikabidhi mikononi mwa bwana wangu, nami nitakupeleka hadi waliko.”
Davudee mang'uk'le eyhen: – Vasse zı, mane şaharbışilqa k'yophuriynbışisqa ıkkees əxəyee? Mane insanee eyhen: – Ğu zı gidek'asvayiy yizde xərng'une xılyaqa qidelesva Allahılqan k'ın g'assıreene, zınar ğu maqa ıkkeesda.
16 Akamwongoza Daudi mpaka mahali walipokuwa, nao walikuwa wametawanyika eneo lote, wakila, wakinywa na wakifanya karamu kwa sababu ya nyara nyingi walizochukua kutoka nchi ya Wafilisti na kutoka Yuda.
Mang'vee Davud mane insanaaşisqa qarayle. Mane gahıl şaharbışilqa k'yophuriynbı inyaa-şaa opt'ul vuxha. Manbışe Filiştğançeyiy Yahudeençe geed kar qıkkı. Qiyğad inyaa-şaa otxhan-ulyoğa, mık'ar ha'a, cos ıkkananbı ha'a vuxha.
17 Daudi akapigana nao kuanzia machweo ya jua hadi kesho yake jioni, na hakuna yeyote miongoni mwao aliyetoroka, isipokuwa vijana wanaume 400 waliopanda ngamia na kutoroka.
Davud verığ k'yooçuyle qiyğa, qinne yiğıl exhalilyqamee manbı gyabat'a ıxha. Devabışilqa aleepxı, hepxıyne yoq'ud vəş mek'vung'ule ğayrı, mançe şavussecar hixu g'attixhanas əxı' deş.
18 Daudi akarudisha kila kitu Waamaleki walikuwa wamechukua, pamoja na wake zake wawili.
Mang'vee Amalekbışe qıkkiyn gırgın karıd, cuna q'öyursana xhunaşşer yı'q'əlqa siyeek'al hee'ena.
19 Hakuna chochote kilichopotea: kijana au mzee, mvulana au msichana, nyara au kitu kingine chochote walichokuwa wamechukua. Daudi akarudisha kila kitu.
Ç'ak'ınbı, k'ıninbı, gırgın dixbıyiy yişba, şenbışe cone xılelqa qı'iyn gırgın kar Davudee yı'q'əlqa sak'al ha'an. Mançike vuççud inyaqa-şaqa ıxha deş.
20 Akachukua makundi yote ya kondoo, mbuzi na ngʼombe, nao watu wake wakawaswaga wanyama hao mbele ya wanyama wengine wa kufugwa, wakisema, “Hizi ni nyara za Daudi.”
Davudee manbışisse gırgın çavra-vəq'ə g'eşşen. Çavra-vəq'ə ha'aykı qıkkekkamee «İnbıd Davudee g'ayşunbı vodva» eyhe ıxha.
21 Kisha Daudi akafika kwa wale watu 200 waliokuwa wamechoka sana kumfuata na ambao waliachwa nyuma kwenye Bonde la Besori. Wakatoka kwenda kumlaki Daudi na wale watu aliokuwa nao. Daudi na watu wake walipowakaribia, akawasalimu.
Davud, obzurva coqab qihna qavaales dəvxüyne, Besorne qadaalil avxuyne q'öd vəş insanısqa siyk'al. Man insanar Davudneyiy cukane insanaaşine ögilqa qığeebaç'e. Davudee cosqana qabıyne insanaaşis salam hoole.
22 Lakini watu wote waovu na wakorofi miongoni mwa wafuasi wa Daudi wakasema, “Kwa sababu hawakwenda pamoja nasi, hatutagawana nao nyara tulizorudisha. Lakini, kila mtu aweza kuchukua mkewe na watoto wake na kuondoka.”
Davuduka sacigee hapk'ınne qüvçüneyiy karaı'dəəne insanaaşe eyhen: – Manbı şaka hidyapk'ıninçil-alla, şi Amalekbışike g'ayşuyne karan manbışis vuççud heles deş. Manbışde gırgıng'usqa saccu con yedariy uşaxar qevles. Hasre manbıb alyapt'ı, inençe hudooracen.
23 Daudi akajibu, “La hasha, ndugu zangu, kamwe hamwezi kufanya hivyo kwa kile ambacho Bwana ametupatia. Yeye ametulinda na kuweka mikononi mwetu majeshi yale yaliyokuja kupigana dhidi yetu.
Davudeeme manbışik'le eyhen: – De'eş, yizın çocar! Rəbbee şas huvuyne karak, şosse man ha'as əxəs deş. Şi Rəbbee havaacı. Mang'vee, yişin cigabı q'əra qı'iynbıb yişde xılyaqa quvu.
24 Ni nani atasikiliza yale mnayosema? Fungu la mtu aliyekaa na vyombo litakuwa sawa na la yule aliyekwenda vitani. Wote watashiriki sawa.”
Şavaa vuşde mane cuvabıl k'ırı iliyxheyee? Dəv'eeqa hark'ıning'uqab, yişde karane k'ane axuyng'uqab akaranacab pay vuxhes vukkan. Gırgıng'us akaraba bit'al haa'as vukkan.
25 Daudi akafanya hili liwe amri na agizo kwa Israeli kutoka siku ile hata leo.
Mane yiğıle, Davudee mana q'aanun bıkırne İzrailynemee haa'a. Mana q'aanun İzrailil g'iyniyne yiğılqameeyib avxuna.
26 Daudi alipofika Siklagi, akatuma baadhi ya nyara kwa wazee wa Yuda, waliokuwa rafiki zake, akasema, “Tazama, hapa kuna zawadi kwa ajili yenu kutoka nyara za adui za Bwana.”
Davud Tsiklageeqa qarımee, mang'vee Amalekbışike g'ayşuyne karbışin sık'ıninbı, cus hambazar vooxhene Yahudayne ağsaqqalaaşis g'axuvu, eyhen: – Hayna Rəbbine duşmanaaşike g'ayşunçike, şos hav'una pay vobna.
27 Akazituma kwa wale waliokuwa Betheli, Ramoth-Negebu na Yatiri;
Mang'vee man paybı g'ıxelenbı Bet-Elee, canubul Ramoteeyiy Yattiree,
28 kwa wale walioko Aroeri, Sifmothi, Eshtemoa
Aroeree, Sifmotee, Eştemoayee,
29 na Rakali; kwa wale waliokuwa katika miji ya Wayerameeli na ya Wakeni;
Rakalee, Yeraxmelybışdeyiy Genbışisde şaharbışee,
30 na kwa wale walioko Horma, Bori-Ashani, Athaki,
Xormayee, Bor-Aşanee, Ataxee,
31 na kwa wakazi wa Hebroni; na kwa wale waliokuwa mahali pengine pote ambako Daudi na watu wake walitembelea.
Xevronee vooxhenbışisiy vuciy cun insanar nyaabiy vuxha mane cigaynbışis.

< 1 Samweli 30 >