< 1 Samweli 30 >

1 Daudi na watu wake wakafika Siklagi siku ya tatu. Basi Waamaleki walikuwa wamevamia Negebu na Siklagi. Wakawa wameshambulia mji wa Siklagi na kuuteketeza kwa moto,
Eso aduna baligili, Da: ibidi amola ea dunu da Sigela: ge moilai bai bagadega doaga: i. Be A: malege dunu da Yuda ga (south) soge amola Sigela: ge amoga doagala: le, diasu huluane laluga ulagisili nei dagoi, be uda huluane gaguli gagai dagoi ba: i. Ilia da uda amola mano hame fane legei, be yolesili, ilia da huluane oule asi dagoi.
2 nao wakawa wamewachukua mateka wanawake pamoja na wote waliokuwamo humo, vijana na wazee. Hawakuua yeyote, bali waliwachukua wakaenda zao.
3 Daudi na watu wake walipofika Siklagi, wakakuta mji umeangamizwa kwa moto na wake zao pamoja na wana wao na binti zao wamechukuliwa mateka.
Da: ibidi amola ea dunu da doaga: loba, ilia da moilai amo laluga nei amola ilia uda, dunu mano amola uda mano huluane gaguli asi dagoi ba: i.
4 Hivyo Daudi na watu wake wakapiga yowe mpaka wakaishiwa na nguvu za kulia.
Da: ibidi amola ea dunu da muni hedolo mae yolele dinanawane gasa hamedene goaia: igia: i ba: i.
5 Wake wawili wa Daudi walikuwa wametekwa: yaani Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli.
Da: ibidi ea uda aduna (Ahinoume amola A: biga: ile), ela da ele gaguli asi dagoi ba: i.
6 Daudi alihuzunika sana kwa sababu watu walikuwa wakisemezana juu ya kumpiga kwa mawe. Kila mmoja alikuwa na uchungu rohoni kwa sababu ya wanawe na binti zake. Lakini Daudi akajitia nguvu katika Bwana, Mungu wake.
Bidi hamosu bagadedafa da Da: ibidima doaga: i dagoi. Bai ea dunu da ilia mano fisili gagaiba: le, ilia da baligili da: i dioi galu. Amola ilia Da: ibidi amo igiga fane legemusa: magagi. Da: ibidi da bagadewane da: i dioi, be Hina Gode da ea dogo denesinisi.
7 Kisha Daudi akamwambia kuhani Abiathari mwana wa Ahimeleki, “Niletee kisibau.” Abiathari akamletea,
Da: ibidi da gobele salasu dunu Abaia: da (Ahimelege egefe) ema amane sia: i, “‘Ifode’ amo nama gaguli misa!” Abaia: da da amo ema gaguli misi.
8 naye Daudi akamuuliza Bwana, “Je, nifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawapata?” Bwana akajibu, “Wafuatie. Hakika utawapata na utafanikiwa kuwaokoa.”
Da: ibidi da Hina Godema amane adole ba: i, “Na da amo ha wa: i dunuma fa: no bobogela: dula: ? Amola na da ili baligiama: bela: ?” Hina Gode da bu adole i, “Ilima fa: no bobogema! Dia da ili baligiamu, amola ili huluane gagulaligili bu sasamogemu.”
9 Daudi pamoja na watu wake 600 wakafika kwenye Bonde la Besori, mahali ambapo wengine waliachwa nyuma,
Amaiba: le, Da: ibidi amola ea dunu 600 agoane da muni asili, Biso Hano amoga doaga: le, ea dunu mogili da amogawi ouesalu.
10 kwa kuwa watu 200 walikuwa wamechoka sana kuweza kuvuka hilo bonde. Lakini Daudi pamoja na watu 400 wakaendelea kufuatia.
Da: ibidi amola ea dunu 400 agoane da gebewane ahoanu. Be mogi 200 eno da helebeba: le, hano degemu hamedei ba: i. Amaiba: le, ilia da amogawi ouesalu.
11 Wakamkuta Mmisri katika shamba fulani, nao wakamleta kwa Daudi. Wakampa huyo Mmisri maji ya kunywa na chakula;
Da: ibidi ea dunu da Idibidi goi sogega esalebe ba: i. Ilia da e amo Da: ibidima oule asi. Ilia da ema ha: i manu amola hano i.
12 kipande cha andazi la tini na andazi la zabibu zilizokaushwa. Akala naye akapata nguvu, kwa kuwa hakuwa amekula chakula chochote wala kunywa maji kwa siku tatu usiku na mchana.
Ilia da figi ifa fage hafoga: i amola waini fage hafoga: i gagabu aduna igili i. Be e da eso udiana ha: i hame mai galuba: le, e da amo ha: i manu i, amo nanoba ea gasa da bu denesi dagoi ba: i.
13 Daudi akamuuliza, “Wewe ni wa nani, na umetoka wapi?” Akajibu, “Mimi ni Mmisri, mtumwa wa Mwamaleki. Bwana wangu alinitelekeza nilipougua siku tatu zilizopita.
Da: ibidi da ema amane adole ba: i, “Dia hina da nowala: ? Amola di da habidili misibala: ?” E bu adole i, “Na da Idibidi dunu, amola na da A: malege dunu afae ea udigili hawa: hamosu dunu. Na da oloiba: le, eso udiana baligili, na hina da na yolesiagai.
14 Tulivamia Negebu ya Wakerethi, na nchi ya Yuda, na Negebu ya Kalebu. Nasi tulichoma moto Siklagi.”
Amo esoha, ninia da Gelediaide dunu ilia soge (Ga: ilebe fi ilia soge, Yuda ga [south] la: idiga gala) amoga ha wa: i ahoana, Sigela: ge moilai bai bagade amo laluga ulagi.”
15 Daudi akamuuliza, “Je, unaweza kuniongoza kufikia kundi hili la uvamizi?” Akajibu, “Niapie mbele ya Mungu kwamba hutaniua wala kunikabidhi mikononi mwa bwana wangu, nami nitakupeleka hadi waliko.”
Da: ibidi da ema adole ba: i, “Di da na oule amo ha wa: i dunu asi amo olela masa: bela: ?” Idibidi goi da bu adole i, “Di da Gode Ea Dioba: le na mae fane legele amola na hina ema bu hame imunu ilegele sia: sea, na da bisili dili oule olela masunu.”
16 Akamwongoza Daudi mpaka mahali walipokuwa, nao walikuwa wametawanyika eneo lote, wakila, wakinywa na wakifanya karamu kwa sababu ya nyara nyingi walizochukua kutoka nchi ya Wafilisti na kutoka Yuda.
Amalalu, e da Da: ibidi bisili ilima oule asi. A: malege ha wa: i ahoasu dunu da sogebi bagade amo ganodini ha: i naha amola adini naha amola hahawane hamosa afagogoi ba: i. Bai ilia da liligi bagadedafa Filisidini soge amola Yuda soge amoga lai dagoiba: le.
17 Daudi akapigana nao kuanzia machweo ya jua hadi kesho yake jioni, na hakuna yeyote miongoni mwao aliyetoroka, isipokuwa vijana wanaume 400 waliopanda ngamia na kutoroka.
Aya hahabe, eso mabe galu, Da: ibidi da ili doagala: le, ilima gegenana, daeya doaga: i. A: malege goi 400 agoane da ga: mele da: iya fila heda: le, hobea: iba: le, gaga: i dagoi ba: i. Be eno huluane, Da: ibidi amola ea dunu ilia da fane lelegei.
18 Daudi akarudisha kila kitu Waamaleki walikuwa wamechukua, pamoja na wake zake wawili.
Da: ibidi da uda, mano amola liligi huluane amo A: malege dunu ilia lai, amo hulu samogei. Ea uda aduna amola da hi samogei.
19 Hakuna chochote kilichopotea: kijana au mzee, mvulana au msichana, nyara au kitu kingine chochote walichokuwa wamechukua. Daudi akarudisha kila kitu.
Liligi afae bu hame samogei da hamedafa ba: i. Da: ibidi da ea dunu ilia dunu mano, uda mano amola liligi A: malege dunu ilia lai, amo huluanedafa bu samogei.
20 Akachukua makundi yote ya kondoo, mbuzi na ngʼombe, nao watu wake wakawaswaga wanyama hao mbele ya wanyama wengine wa kufugwa, wakisema, “Hizi ni nyara za Daudi.”
E da lai ohe wa: i amola huluane bu samogei. Ea dunu da amo ohe wa: i bisilisili sesesela asi. Ilia da amane sia: i, “Amo liligi huluane da Da: ibidi ea: !”
21 Kisha Daudi akafika kwa wale watu 200 waliokuwa wamechoka sana kumfuata na ambao waliachwa nyuma kwenye Bonde la Besori. Wakatoka kwenda kumlaki Daudi na wale watu aliokuwa nao. Daudi na watu wake walipowakaribia, akawasalimu.
Amalalu, Da: ibidi da dunu 200 amo da helebeba: le, mae gegena asili, Biso Hano bega: esafulu, ilima buhagi. Ilia da Da: ibidi amola ea dunu gousa: musa: misi, amola Da: ibidi da ilima asili, hahawane yosia: i.
22 Lakini watu wote waovu na wakorofi miongoni mwa wafuasi wa Daudi wakasema, “Kwa sababu hawakwenda pamoja nasi, hatutagawana nao nyara tulizorudisha. Lakini, kila mtu aweza kuchukua mkewe na watoto wake na kuondoka.”
Be ea dunu mogili, hedolo mi hahanabe amola hamedei dunu, da Da: ibidima amane sia: i, “Amo dunu 200 da nini hame asiba: le, ninia da ilima liligi lai hame ima: mu. Ilia da ilia uda amola mano amo fawane lale masa: ne sia: ma.”
23 Daudi akajibu, “La hasha, ndugu zangu, kamwe hamwezi kufanya hivyo kwa kile ambacho Bwana ametupatia. Yeye ametulinda na kuweka mikononi mwetu majeshi yale yaliyokuja kupigana dhidi yetu.
Be Da: ibidi da bu adole i, “Nolalali dilia: ! Hina Gode da amo liligi ninima ia dagoiba: le, dilia sia: i defele hamomu da hamedei. E da nini gaga: i, amola ninia ha wa: i ahoabe dunu amo hasalasima: ne hamoi dagoi.
24 Ni nani atasikiliza yale mnayosema? Fungu la mtu aliyekaa na vyombo litakuwa sawa na la yule aliyekwenda vitani. Wote watashiriki sawa.”
Nowa da dilia sia: nabima: bela: ? Dunu huluane da liligi defele lamu. Nowa da ninia liligi ouligili esalu galea, ilia da gegena ahoasu dunu ilia labe defele lamu.”
25 Daudi akafanya hili liwe amri na agizo kwa Israeli kutoka siku ile hata leo.
Da: ibidi da amo hou Isala: ili soge ganodini sema dialoma: ne sia: i. Amola amogainini amo sema da Isala: ili sogega diala.
26 Daudi alipofika Siklagi, akatuma baadhi ya nyara kwa wazee wa Yuda, waliokuwa rafiki zake, akasema, “Tazama, hapa kuna zawadi kwa ajili yenu kutoka nyara za adui za Bwana.”
Da: ibidi da Sigela: ge amoga bu misini, e da ea lai liligi mogili amo ea sama Yuda ouligisu dunu ilima i. E da ilima amane sia: si, “Amo da dilima hahawane udigili iasu liligi. Ninia da amo Hina Gode Ea ha lai ilima lai.”
27 Akazituma kwa wale waliokuwa Betheli, Ramoth-Negebu na Yatiri;
E da amo liligi Bedele dunu amola La: ima (Yuda ga [south] sogega diala) amo dunu, amola Ya: da, Aloua, Sifemode, Esiedemoua, Lagale, Homa, Bolasia: ne, A:ida: ge amola Hibalone amo moilai dunuma i. Amola e da Yilamiele fi dunu amola Ginaide fi dunu amolalima i. E da sogebi amoga e amola ea dunu ilia afufulalusu, ilima I.
28 kwa wale walioko Aroeri, Sifmothi, Eshtemoa
29 na Rakali; kwa wale waliokuwa katika miji ya Wayerameeli na ya Wakeni;
30 na kwa wale walioko Horma, Bori-Ashani, Athaki,
31 na kwa wakazi wa Hebroni; na kwa wale waliokuwa mahali pengine pote ambako Daudi na watu wake walitembelea.

< 1 Samweli 30 >