< 1 Samweli 3 >

1 Kijana Samweli alihudumu mbele za Bwana chini ya Eli. Katika siku zile neno la Mungu lilikuwa adimu, hapakuwepo na maono mengi.
Amo eso galu, goihadi Sa: miuele da Ilai hi olelelaleamusu e da Hina Gode Ea hawa: hamosu. Amo esoha, Hina Gode da Ea fi dunuma bagade hame sia: i. Amola esala ba: su bagahamedafa ba: i.
2 Usiku mmoja Eli, ambaye macho yake yalikuwa yamefifia sana kiasi kwamba aliona kwa shida sana, alikuwa amelala mahali pake pa kawaida.
Ilai ea si da gadenenewane dofoi dagoi ba: i. Gasi afaega e da hina: seseiga golai dialu.
3 Taa ya Mungu bado ilikuwa haijazimika, na Samweli alikuwa amelala Hekaluni mwa Bwana, ambapo Sanduku la Mungu lilikuwako.
Sa: miuele da Gode Ea diasu (amo ganodini da Gode Ea Sema Gousa: su Gagili galu) amo ganodini golai dialu. Hehebolo mabe galu, gamali da nenanobawane,
4 Kisha Bwana akamwita Samweli. Samweli akajibu, “Mimi hapa.”
Hina Gode da Sa: miuelema wele sia: i. E da bu adole i, “Wae!”
5 Naye akakimbia kwa Eli na kumwambia, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.” Lakini Eli akasema, “Sikukuita; rudi ukalale.” Hivyo akaenda kulala.
Amalu, e da Ilaima hehenaiya asili, ema adole ba: i, “Dia na wele sia: i amo na da wea!” Be Ilai da bu adole i, “Na da di hame wele sia: i. Di bu golala masa.” Amane sia: beba: le, Sa: miuele da bu golala asi.
6 Bwana akaita tena, “Samweli!” Naye Samweli akaamka, kwenda kwa Eli na kusema, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.” Eli akasema, “Mwanangu, sikukuita, rudi ukalale.”
7 Wakati huu Samweli alikuwa bado hajamjua Bwana. Neno la Bwana lilikuwa bado halijafunuliwa kwake.
Hina Gode da Sa: miuelema bu eno wele sia: i. Be Sa: miuele da amo da Hina Gode Ea wele sia: sayale hame dawa: i. Bai Hina Gode da musa: ema afae hame sia: su. Amaiba: le, e da wa: legadole, Ilaima asili, amane sia: i, “Dia na wele sia: i amo na da wea.” Be Ilai da bu adole i, “Nagofe! Di na hame wele sia: i. Bu golala masa.”
8 Bwana akamwita Samweli mara ya tatu, naye Samweli akaamka kwenda kwa Eli na kusema, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.” Ndipo Eli akatambua kuwa Bwana alikuwa akimwita kijana.
Hina Gode da Sa: miuelema bu osoda wele sia: i. Amaiba: le, e da wa: legadole, Ilaima asili, amane sia: i, “Dia na wele sia: i amo na da wea.” Amalalu, Ilai da Hina Gode da Sa: miuelema wele sia: sa galebeya dawa: digi.
9 Hivyo Eli akamwambia Samweli, “Nenda ukalale, na kama akikuita, sema, ‘Nena Bwana, kwa kuwa mtumishi wako anasikiliza.’” Hivyo Samweli akaenda na kulala mahali pake.
Amaiba: le, e da Sa: miuelema amane sia: i, “Di bu golala masa. Be Hina Gode da dima bu wele sia: sea, amane sia: ma, “Hina Gode! Dia sia: ma! Dia hawa: hamosu dunu na da Dia sia: lalabolalebe wea.” Amalu Sa: miuele da bu golala asi.
10 Bwana akaja akasimama hapo, akiita kama mara zile nyingine, “Samweli! Samweli!” Kisha Samweli akasema, “Nena Bwana, kwa kuwa mtumishi wako anasikiliza.”
Hina Gode da bu misini, lelu. Hi musa: wele sia: i amanewane Sa: miuelema bu wele sia: i. “Sa: miuele! Sa: miuele!” Amalalu Sa: miuele da bu adole i, “Hina Gode! Dia sia: ma! Dia hawa: hamosu dunu da Dia sia: lalabolalebe wea.”
11 Naye Bwana akamwambia Samweli: “Tazama, nipo karibu kufanya kitu katika Israeli ambacho kitafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia yawashe.
Hina Gode da ema amane sia: i, “Eso afaega, Na da Isala: ili dunu fi ilima se dabe baligili imunu. Dunu huluane da amo hou nababeba: le, dogo giolasimu.
12 Wakati huo nitatimiza dhidi ya Eli kila kitu nilichonena dhidi ya jamaa yake, kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Amo esohaga, Na da Ilai ea sosogo fi ilima gagabusu aligima: ne sia: i, amo huluanedafa hamomu.
13 Kwa kuwa nilimwambia kwamba ningehukumu jamaa yake milele kwa sababu ya dhambi aliyoijua, wanawe kumkufuru Mungu, naye akashindwa kuwazuia.
Na da Ilaima adoi dagoi, Na da ea sosogo fi ilima mae yolele se dabe dafawane gebe ianumu. Bai ea mano da Nama lasogole sia: i. Ilai da amo wadela: i hou hamobe dawa: i galu, be logo hame hedofasu.
14 Kwa hiyo, nikaapa kuhusu nyumba ya Eli, ‘Hatia ya nyumba ya Eli kamwe haitaweza kufidiwa kwa dhabihu au sadaka.’”
Amaiba: le Na da Ilai ea sosogo fi ilima dafawanedafa amane sia: sa. Gobele salasu huluane amola udigili iasu huluane da amo wadela: idafa hou gogolema: ne olofomusa: defele hame ba: mu. Ilia da Na se dabe iasu fawane ba: mu.”
15 Samweli akalala mpaka asubuhi, kisha akafungua milango ya nyumba ya Bwana. Aliogopa kumwambia Eli yale maono,
Sa: miuele da golai dialobawane soge hadigi ba: i. Amalalu, e da wa: legadole, Hina Gode Ea diasu logo dui. E da ea ba: i liligi Ilaima adomu beda: i galu.
16 lakini Eli akamwita na kumwambia, “Samweli mwanangu.” Samweli akamjibu, “Mimi hapa.”
Ilai da Sa: miuelema wele sia: i, “Sa: miuele! Nagofe!” Sa: miuele da bu adole i, “Wae!”
17 Eli akamuuliza, “Ni nini alichokuambia? Usinifiche. Bwana na ashughulike nawe, tena kwa ukali, kama utanificha chochote alichokuambia.”
Ilai da ema amane adole ba: i, “Hina Gode da dima adi sia: bela: ? Liligi afae nama mae wamolegema. Dia sia: afae Gode Ea dima adoi amo afae hame adosea, E da dima gasa bagade se dabe imunu.”
18 Kwa hiyo Samweli akamwambia kila kitu, bila kumficha chochote. Ndipo Eli akasema, “Yeye ni Bwana; na afanye lile lililo jema machoni pake!”
Amaiba: le, Sa: miuele da Gode Ea sia: i afae mae wamolegele, e da Gode Ea sia: i liligi huluanedafa Ilaima adodole i. Amalalu, Ilai da amane sia: i, “E da Hina Gode. E da Ea adi hamomusa: dawa: sea, E da hamomu.”
19 Bwana alikuwa pamoja na Samweli alipokuwa akikua, na hakuacha hata moja ya maneno yake lianguke chini.
Sa: miuele da asigilaloba, Hina Gode da e amola gilisili lalusu. Hina Gode da hamobeba: le, Sa: miuele ea sia: be huluane da defele doaga: su.
20 Nao Israeli wote kuanzia Dani hadi Beer-Sheba wakatambua kuwa Samweli amethibitishwa kuwa nabii wa Bwana.
Amaiba: le Isala: ili fi la: idi bega: amola la: idi bega: fifilai, ilia da Sa: miuele da dafawane Hina Gode Ea balofede dunu galebeya dawa: digisu.
21 Bwana akaendelea kutokea huko Shilo, na huko kujidhihirisha kwa Samweli kwa njia ya neno lake.
Hina Gode da musa: Siailou moilaiga Sa: miuelema misini, ema sia: dasu. Amola E da amogai eso bagohame gebewane doaga: ga: su amola sia: olelelalusu. Amalalu, Sa: miuele da sia: beba: le, Isala: ili dunu huluane da ea sia: nabalusu.

< 1 Samweli 3 >