< 1 Samweli 26 >

1 Hao Wazifu wakamwendea Sauli huko Gibea na kusema, “Je, Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kinachotazamana na Yeshimoni?”
Zifğançenbı Giveayeeqa, Şaulne k'anyaqa abı eyhen: – Davud Yeşimonne şene aq'valyne Xakila eyhene tepal dyugul eyxhe.
2 Hivyo Sauli akashuka kwenda katika Jangwa la Zifu, akiwa na watu wake 3,000 wa Israeli waliochaguliwa, kumsaka Daudi huko.
Şaulee, Davud t'abal ha'asva xhebır aazır g'əyxı'na İzrailyğançena insan qort'ul, manbışika sacigee Zifne sahreeqa geç'e.
3 Sauli akapiga kambi yake kando ya barabara juu ya kilima cha Hakila kinachotazamana na Yeshimoni, lakini Daudi alikuwa anaishi huko jangwani. Alipoona kuwa Sauli amemfuata huko,
Mang'vee, Yeşimonne şene aq'valyne Xakila eyhene tepal yəqqı'ne mıglek zastava giviyxhe. Sahree axvane Davuduk'le, Şaul cuqar qihna qöö g'ecena.
4 Daudi akatuma wapelelezi na akapata habari kwa hakika kwamba Sauli alikuwa amewasili.
Davudee cun insanar dyugulenba g'axuvu, hək'erar Şaul arıy ats'axhxha.
5 Ndipo Daudi akaondoka, akaenda hadi mahali Sauli alikuwa amepiga kambi. Akaona mahali Sauli na Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi, walipokuwa wamelala. Sauli alikuwa amelala ndani ya kambi, jeshi likiwa limemzunguka.
Mana Şaulee zastava gyuvxiyne cigeeqa arayle. Maa'ar Davud, Şauliy g'oşunna xərna Nerna dix Avner g'alyabak'ane cigayqa ilyakka. Şaul vuc zastavayne yı'q'nee g'alirxhu eyxhe. Eskeraaşe cosun cigabı mang'une hiqiy-alla qa'a.
6 Basi Daudi akamuuliza Ahimeleki Mhiti, na Abishai mwana wa Seruya, nduguye Yoabu, akisema, “Ni nani atakayeshuka pamoja nami kambini kwa Sauli?” Abishai akajibu, “Nitakwenda pamoja nawe.”
Davudee Q'etbışda eyxhene Aximelekıkeyiy Yoavne çocuke Tseruya donane zəiyfayne duxayke Avişayke qiyghanan: – Vuşune zakasana Şaulne k'anyaqa, zastaveeqa ı'qqə? Avişayee «Zı vaka g'iç'esdava» eyhe.
7 Hivyo Daudi na Abishai wakaenda kwenye jeshi wakati wa usiku, tazama Sauli, alikuwa amelala ndani ya kambi na mkuki wake umekitwa ardhini karibu na kichwa chake. Abneri na askari walikuwa wamelala kumzunguka Sauli.
Davudıy Avişay zastavaysqa xəmde qabı hiviyxhar. Manbışik'le Şaul zastavayne ar g'alirxhu g'ece, cun nized cune vuk'lene k'anyaqacad k'exı eyxhe. Avneriy eskerar cune hiqiy-alla g'alyapk'ı vooxhe.
8 Abishai akamwambia Daudi, “Leo Mungu amemtia adui yako mikononi mwako. Sasa niruhusu nimchome mpaka ardhini kwa pigo moja la mkuki wangu; sitamchoma mara mbili.”
Avişayee Davuduk'le eyhen: – G'iyna Allahee yiğna duşman yiğne xılyaqa quvu. Həşde ğu zasqa hasre mana nizeyka ı'xı' ç'iyek at'iq'an ha'as. Q'öd'es ı'xəsıd ıkkiykanas deş.
9 Lakini Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize! Ni nani awezaye kutia mkono juu ya mpakwa mafuta wa Bwana na asiwe na hatia?”
Davudee Avişayk'le eyhen: – Mana gimek'a! Rəbbee g'əyxı'yng'ulqa xıl g'ot'uluyng'ukun Rəbbeecad ha'asın.
10 Daudi akasema, “Hakika kama vile Bwana aishivyo, Bwana mwenyewe atampiga; au wakati wake utafika, naye atakufa, au atakwenda vitani na kuangamia.
Davudeecad meed eyhen: – Vorne Rəbbilqa k'ın ixhen, Rəbbee mang'ukun hidyı'ı g'alerçes deş. Mana vuccarme qik'as, deşxhee, dəv'eeme gik'as.
11 Lakini Mungu na apishie mbali nisije nikainua mkono juu ya mpakwa mafuta wa Bwana. Sasa chukua huo mkuki na hilo gudulia la maji vilivyo karibu na kichwa chake, tuondoke.”
Rəbbee g'əyxı'ng'ulqa xıl g'ot'uluyle, Rəbbee Vucee zı havacecen. Hucoona ixhes, həşde ğu mang'une vuk'lene k'anedın nizeyiy parç aleet'e, əlyhəəs.
12 Hivyo Daudi akachukua huo mkuki na hilo gudulia la maji vilivyokuwa karibu na kichwa cha Sauli, nao wakaondoka. Hakuna yeyote aliyeona au kufahamu habari hii, wala hakuna hata mmoja aliyeamka usingizini. Wote walikuwa wamelala, kwa sababu Bwana alikuwa amewatia kwenye usingizi mzito.
Davudee Şaulne vuk'lene k'anedın nizeyiy parç alyaat'u, mançe avayk'ananbı. Manbı şavuk'lecab g'avcu deş. Manbışe ha'anıd şavuk'lecad ats'axhxhe deş, vuşucarır muğur qexhe deş. Rəbbee manbışilqa it'umun nyak' salat'ı'ıva, manbı g'alyapk'ı vooxhe.
13 Kisha Daudi akavuka upande mwingine na kusimama juu ya kilima mahali palipokuwa na nafasi pana kati yao.
Davud şene suralqa ılğeç'u, əq'ənane tepayne q'omaqa ılqeç'e. Manbışde yı'q'nee xılece yəq vuxha.
14 Daudi akalipigia kelele jeshi na Abneri mwana wa Neri, akisema, “Je, Abneri, hutanijibu?” Abneri akajibu, “Nani wewe umwitaye mfalme?”
Davudee, milletılqayiy Nerne duxalqa Avnerılqa ts'ir haa'a: – Avner, zas alidghıniy qele! Avneree alidghıniy qele: – Ğu vuşune eyxhe, paççah muğur qa'a?
15 Daudi akasema, “Wewe si ni mtu shujaa? Ni nani aliye kama wewe katika Israeli? Kwa nini basi hukumlinda mfalme bwana wako? Mtu mmoja alikuja kumwangamiza mfalme, bwana wako.
Davudee Avnerık'le eyhen: – Ğu adamiy dişde vor? İzrailee vak akarana vuşune vor? Nya'a ğu yiğne xərıng'uqa paççahıqa ilydyakka? Milletıkena sa insan yiğna xərna, paççah gik'asvayiy arı.
16 Ulichokifanya si kizuri. Kwa hakika kama aishivyo Bwana, wewe na watu wako mnastahili kufa, kwa sababu hamkumlinda bwana wenu, mpakwa mafuta wa Bwana. Tazameni hapo mlipo. Uko wapi mkuki wa mfalme na gudulia la maji ambavyo vilikuwa karibu na kichwa chake?”
Ğu valqa gyooxhana yugba haa'a deşub. Vorne Rəbbilqan k'ın ixhen, vuşun gırgınbı hapt'asın karbı vob, Rəbbee g'əyxı'ng'uqa ilyaaka deşub. İlekkende, paççahne vuk'lene k'anedın nizeyiy parç həşde nyaadiy?
17 Sauli akatambua sauti ya Daudi, na kusema, “Je, hiyo ni sauti yako, Daudi mwanangu?” Daudi akajibu, “Naam, hiyo ndiyo, bwana wangu mfalme.”
Şauluk'le Davudun ses qıvaats'ı, eyhen: – Yizda dix Davud, yuşan ha'ana ğune vor? Davudee eyhen: – Ho'o, zı vorna, yizda xərna paççah.
18 Pia akaongeza, “Kwa nini bwana wangu anamfuatia mtumishi wake? Nimefanya nini, nalo kosa langu ni lipi nililolifanya niwe na hatia?
Qiyğa vuceecad meed eyhen: – Nya'a, yizda xərna zaqar qihna girxhu? Nya'a, zı hucoone hı'ı? Yizda bınah hucoone?
19 Sasa mfalme bwana wangu na asikilize maneno ya mtumishi wake. Kama Bwana amekuchochea dhidi yangu, basi yeye na aipokee sadaka yangu. Lakini hata hivyo, kama ni wanadamu waliofanya hivyo, walaaniwe mbele za Bwana! Wao sasa wamenifukuza kutoka sehemu yangu katika urithi wa Bwana wangu wakisema, ‘Nenda ukatumikie miungu mingine.’
Hucoona ixhes, həşde zal, yiğne nukarıl k'ırı alixhxhe? Zalqa ğu g'elil qı'ına Rəbbxheene, zı Mang'us q'urban ablyaa'as. De'eş, man insanaaşe hı'ıxhee, hasre manbı Rəbbine ögil g'ulyootlecen! Manbışe Rəbbike gexhan zı ılymat'acenva zı g'e'eşşuna. Həşde zasse yizde Allahıs ı'bəədat ha'as əxə deş.
20 Basi usiache damu yangu imwagike kwenye ardhi mbali na uso wa Bwana. Mfalme wa Israeli ametoka kutafuta kiroboto, kama vile mtu awindavyo kware katika milima.”
Hımaasar yizda eb Rəbbike əq'ənane cigabışee k'yavaak'anas. Suvabışee nəxübiy g'ön üvxəsva alycaaxva, həşde İzrailyna paççahır həməxür zı gena xhinne ı'xəsva qığeç'u.
21 Ndipo Sauli akasema, “Nimetenda dhambi. Rudi, Daudi mwanangu. Kwa kuwa uliyahesabu maisha yangu kuwa ya thamani leo, sitajaribu kukudhuru tena. Hakika nimetenda kama mpumbavu na nimekosa sana.”
Şaulee eyhen: – Yizda dix Davud, zı bınah hav'u, sak'le. G'iyna yizda ı'mı'r yiğne ulesqa gıranba qabıynçil-alla, zı vas sayid pisın ha'as deş. Ək'elydeşiyvalla hav'u, zı xəbna bınah hav'u.
22 Daudi akajibu, “Mkuki wa mfalme uko hapa. Mmoja wa vijana wako na avuke kuuchukua.
Davudee eyhen: – Paççah, yiğın nize haane! Hasre yiğne nukaraaşina sa arı, man aleet'ecen.
23 Bwana humlipa kila mtu kwa ajili ya haki yake na uaminifu wake. Bwana alikutia katika mikono yangu leo, lakini sikuinua mkono wangu juu ya mpakwa mafuta wa Bwana.
Rəbbee, gırgıng'uscad cune qopkuvaliys sik'ı hele. G'iyna Rəbbee ğu yizde xılyaqa quvuyng'ar, zı Rəbbee g'əyxı'ng'ulqa xıl g'ot'ul deş.
24 Kwa hakika kama vile maisha yako yalivyokuwa ya thamani kwangu leo, vivyo hivyo maisha yangu na yawe na thamani kwa Bwana na kuniokoa kutoka taabu zote.”
G'iyna nəxübiy yiğna ı'mı'r yizde ulesqa gıranba qabı, havaasre yizda ı'mı'rıb Rəbbine ulesqa həməxüb gıranba quvooracen. Mang'vee zı gırgıne dağamiyvalybışike g'attixhan he'ecen.
25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi, “Mwanangu Daudi na ubarikiwe; utafanya mambo makubwa na hakika utashinda.” Basi Daudi akaenda zake, naye Sauli akarudi nyumbani.
Şaulee Davuduk'le eyhen: – Yizda dix Davud, ğu yugvalybışeecar ixhena! Ğu ç'ak'ın işbı g'aces, gırgın işbıd ha'as həsilyxhesda. Mançile qiyğa Davud cune yəqqı'n ayk'an, Şaulur xaaqa siyk'al.

< 1 Samweli 26 >