< 1 Samweli 22 >
1 Daudi akaondoka Gathi na kukimbilia kwenye pango la Adulamu. Ndugu zake na watu wa nyumba ya baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko.
Davud mançe qığeç'u, Adullamne mağaree dyugul eyxhe. Mang'une çocaaşik'leyiy dekkıne xizaneene mansabışik'le man g'ayxhımee, gırgınbı sabı, mang'usqa abayle.
2 Wale wote waliokuwa katika dhiki au waliokuwa na madeni au wale ambao hawakuridhika wakamkusanyikia Daudi, naye akawa kiongozi wao. Watu wapatao 400 walikuwa pamoja naye.
I'mı'r yı'q'bananbı, borcbınanbı, hooç'an-g'ooç'ananbı, gırgınbı Davudusqa savayle. Mana manbışda xərna eyxhe. Mang'une k'ane yoq'ud vəşilqa ələəna insan eyxhe.
3 Kutoka huko Daudi akaenda Mispa huko Moabu na kumwambia mfalme wa Moabu, “Naomba uwaruhusu baba yangu na mama yangu waje kukaa nawe mpaka nijue nini Mungu atakachonifanyia.”
Davud mançe Moavne Mitspa şahareeqa arı, Moavne paççahık'le eyhen: – Hucoona ixhes, Allahee zak ha'asın ats'axhxhesmee, dekkiy yed abı, vuşde k'ane aaxvecen.
4 Hivyo akawaacha wazazi wake wakae na mfalme wa Moabu, nao wakakaa naye muda wote ambao Daudi alikuwa ngomeni.
Davudee manbı Moavne paççahne k'ane g'alyaa'a. Manbı maa'ab, Davud dyugulyxhayne xıl hidixharasde cigeençe qığeç'esmee, aaxva.
5 Ndipo nabii Gadi akamwambia Daudi, “Usikae ngomeni. Nenda katika nchi ya Yuda.” Hivyo Daudi akaondoka na kwenda katika msitu wa Herethi.
Qad peyğambaree Davuduk'le eyhen: – Ğu ine dyugulyxhayne cigee ımaxva, Yahudayne cigabışeeqa hoora. Davud mançe ark'ın Xeretne ç'alageeqa ikkeç'e.
6 Basi Sauli akasikia kwamba Daudi na watu wake wameonekana. Sauli akiwa na mkuki mkononi, alikuwa ameketi chini ya mti wa mkwaju kwenye kilima huko Gibea, maafisa wake wote wakiwa wamesimama kumzunguka.
Şauluk'le g'iyxhen, Davudıy cukan insanar aveekiynbı. Mang'una çadır Giveayeene sa tepal, tamarisk eyhene yivek avub güvxü. Şaul maa xılead nize aqqı, gyu'ur ıxha. Mang'un gırgın insanarıb cune hiqiy-alla sabı vooxhe.
7 Sauli akawaambia, “Sikilizeni enyi watu wa Benyamini! Je, mwana wa Yese atawapa ninyi nyote mashamba na mashamba ya mizabibu? Je, atawafanya ninyi nyote majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia?
Şaulee cune hiqiy-alla sabıyne insanaaşik'le eyhen: – Benyaminaaşenbı, həşde zal k'ırı alixhxhe. Nya'a, Yesseyne dixee, Davudee, vuşde gırgıng'us çolbıyiy t'ımıllığbı helesınbıne? Nya'a, mang'vee vuşun gırgınbı – vəşı'ng'un, aazırıng'un k'omandirar haa'asınbıne?
8 Je, ndiyo sababu ninyi mkapanga hila mbaya dhidi yangu? Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameniambia ni lini mwanangu alifanya agano na mwana wa Yese. Hapana hata mmoja wenu anayejishughulisha nami wala anayeniambia kwamba mwanangu amechochea mtumishi wangu kunivizia, kama afanyavyo leo.”
Dişene, vuşun gırgınbı zalqa dyugulenba g'elil qeepxha? Yizde duxee Yesseyne duxayka cuvab g'ats'ayk'vanmee, şavaacad zalqa hixhar hı'ı deş. Vuşde neg'veecab yizda hav'u deş. G'iyniyn xhinne yizde duxee, yizde nukarıs dyugulxhayne cigeençe zalqa g'ok'alas xər qa'a. Man şu zalqa hixhar hı'iynne?
9 Lakini Doegi Mwedomu, ambaye alikuwa akisimama na maafisa wa Sauli, akasema, “Nilimwona mwana wa Yese akija kwa Ahimeleki mwana wa Ahitubu huko Nobu.
Şaulne insanaaşine k'ane ulyorzulyne Edomğançene Doegee Şauluk'le eyhen: – Zak'le Yesseyna dix, Nov eyhene şaharee, Axituvne duxayne, Aximelekne, k'anyaqa arıyng'a g'acu.
10 Ahimeleki akamuuliza Bwana kwa ajili yake; pia akampa vyakula na ule upanga wa Goliathi Mfilisti.”
Aximelekee mang'unemee Rəbbike qiyghın. Sayid mang'vee Davudus otxhuniyiy Filiştinğançene Golyatın g'ılınc huvu.
11 Kisha mfalme akatuma watu wamwite kuhani Ahimeleki mwana wa Ahitubu, na jamaa yote ya baba yake, waliokuwa makuhani huko Nobu, nao wote wakaja kwa mfalme.
Paççahee Axituvne duxayne, kaahin Aximelekneyiy mang'une xizanne, Novee vooxhene avxuyne kaahinaaşine qihna insan g'ıxele. Manbışin gırgınbı paççahısqa abaylenbı.
12 Sauli akasema, “Sikiliza sasa, mwana wa Ahitubu.” Akajibu, “Naam, bwana wangu.”
Şaulee eyhen: – Axituvna dix, həşde zal k'ırı alixhxhe. Aximelekee eyhen: – Yizda xərna, k'ırı iliyxhe vod.
13 Sauli akamwambia, “Kwa nini umepanga shauri baya dhidi yangu, wewe na mwana wa Yese, ukampa vyakula na upanga, tena hukumuuliza Mungu kwa ajili yake, na kwa sababu hiyo ameasi dhidi yangu na kunivizia, kama afanyavyo leo?”
Şaulee mang'uk'le eyhen: – Nya'a ğunayiy Yesseyna dix zalqa g'elil qeepxha? Ğu Allahıke mang'unemee qiyghın. G'iyniyn xhinne zalqa g'elil qa'asdemee, Yesseyne duxayne xılyaqa gıneyiy g'ılınc huvu, nya'a zas gugu hav'u?
14 Ahimeleki akamjibu mfalme, “Ni nani miongoni mwa watumishi wako wote aliye mwaminifu kama Daudi, mkwewe mfalme, kiongozi wa walinzi wako na anayeheshimika sana katika watu wa nyumbani mwako?
Aximelekee paççahık'le eyhen: – Yiğne gırgıne insanaaşee Davud xhineena yı'q' qizarasda vornane? Mana paççahna yezne eyxhe, yiğne g'aravulyçeeşinar xərna, yiğne xaayir mana geer hı'rmatnana insan vor.
15 Je, siku hiyo ilikuwa ndiyo ya kwanza kumwomba Mungu kwa ajili yake? La hasha! Mfalme na usiwashutumu watumishi wako wala yeyote wa jamaa ya baba yake, kwa kuwa mtumishi wako hafahamu lolote kabisa kuhusu jambo hili lote.”
Zı ts'ette deş mang'unemee Allahıke qiyghan. Hasre paççahee zalqa, cune nukarılqa, cune nukarne xizanılqa bınah givmiyxhecen. Mançike zas k'ınna vuxheeyib xabar vuxha deş.
16 Lakini mfalme akasema, “Ahimeleki, hakika utakufa, wewe na jamaa yote ya baba yako.”
Paççahee eyhen: – Aximelek, ğunar, yiğne xizanın gırgınbı hapt'as vukkan.
17 Ndipo mfalme akawaamuru walinzi wake waliokuwa kando yake: “Geukeni na kuwaua makuhani wa Bwana, kwa sababu nao pia wamejiunga na Daudi. Walijua kuwa alikuwa anakimbia, wala hawakuniambia.” Lakini maafisa wa mfalme hawakuwa radhi kuinua mkono kuwaua makuhani wa Bwana.
Paççahee cune hiqiy-alla ulyobzurne g'aravulyçeeşik'le eyhen: – Hapk'ın Rəbbin kaahinar gyapt'e. Manbı Davuduka sapçı. Manbışik'le Davudun hixuy g'ayxhı, zalqa hixhar hı'ı deş. Paççahne g'aravulyçeeşis Rəbbine kaahinaaşilqa xıl g'ot'alas, manbı gyapt'as vukkiykan deş.
18 Kisha mfalme akamwagiza Doegi, “Wewe geuka ukawaue makuhani.” Hivyo basi Doegi Mwedomu, akageuka na kuwaua. Siku ile aliwaua watu themanini na watano wavaao visibau vya kitani.
Paççahee Edomğançene Doegık'le eyhen: – Hoora, man kaahinar gyapt'e. Edomğançena Doegır hark'ın, man kaahinar gyabat'anbı. Mane yiğıl mang'vee, katanıke ileylığ ali'ına molyts'ale xhoyre kaahin gek'a.
19 Pia akaupiga Nobu kwa upanga, mji wa makuhani, wakiwemo wanaume na wanawake, watoto wadogo na wale wanyonyao, ngʼombe wake, punda na kondoo.
Qiyğa mang'vee kaahinaaşina şaharıb, Novıb, g'ılıncıke alğaahana. Mang'vee maabın gırgın adamer, yedar, uşaxar, gyooqanbı, yatsbı, əməler, vəq'əbı g'ılıncıke alğaa'a.
20 Lakini Abiathari, mwana wa Ahimeleki, mwana wa Ahitubu, akatoroka, akakimbia na kujiunga na Daudi.
Axituvna neva, Aximelekna dix Evyatar hixu, Davudusqa qarayle.
21 Akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa Bwana.
Evyataree, Şaulee Rəbbin kaahinar gyapt'ıva Davudus xabar abayle.
22 Kisha Daudi akamwambia Abiathari: “Siku ile, wakati Doegi Mwedomu alipokuwa pale, nilijua atahakikisha amemwambia Sauli. Mimi ninawajibika kwa vifo vya jamaa ya baba yako yote.
Davudee Evyatarık'le eyhen: – Şene ögil Edomğançena Doeg zak'le şaa'ar g'acumee, ats'anniy mang'vee gırgın Şaululqa hixhar ha'as ıxhay. Yiğne dekkına xizan gyapt'ıyna bınah zal vobna.
23 Kaa pamoja nami; usiogope. Mtu anayeutafuta uhai wako anautafuta uhai wangu pia. Ukiwa pamoja nami utakuwa salama.”
Yizde k'ane axve, qı'məyq'ən, yizın can alişşes ıkkanang'us yiğınıd can alişşes ıkkan. Yizde k'ane axvee, vak vuççud ixhes deş.