< 1 Samweli 2 >
1 Kisha Hana akaomba na kusema: “Moyo wangu wamshangilia Bwana, katika Bwana pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya adui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
Tad Anna pielūdza un sacīja: “Mana sirds lec no prieka iekš Tā Kunga, mans rags ir paaugstināts iekš Tā Kunga; mana mute ir atvērta pret maniem ienaidniekiem, jo es priecājos par Tavu pestīšanu.
2 “Hakuna yeyote aliye mtakatifu kama Bwana, hakuna mwingine zaidi yako; hakuna Mwamba kama Mungu wetu.
Neviens nav svēts, kā Tas Kungs, neviens, kā Tu vien, un nekāds patvērums nav, kā mūsu Dievs.
3 “Msiendelee kusema kwa kiburi hivyo wala msiache vinywa vyenu kunena kwa kiburi, kwa kuwa Bwana ndiye Mungu ajuaye, na kwa yeye matendo hupimwa.
Nedaudzinājiet runu augsti jo augsti, blēņas lai paliek nost no jūsu mutes; jo Tas Kungs ir Dievs, tas visu zinātājs, Viņš sver tos darbus.
4 “Pinde za mashujaa zimevunjika, lakini wale wanaojikwaa wamevikwa nguvu.
Vareniem stops ir salauzts, un vājie ir apjozti ar stiprumu;
5 Wale waliokuwa na chakula tele wamejikodisha wenyewe ili kupata chakula, lakini wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Mwanamke yule aliyekuwa tasa amezaa watoto saba, lakini yule ambaye alikuwa na wana wengi amedhoofika.
Paēdušie sader par maizi, un izsalkušie vairs nav izsalkuši. Pati neauglīgā dzemdē septiņus, kam bija daudz bērnu, tā savīst.
6 “Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol )
Tas Kungs nokauj un dara dzīvu, Viņš noved ellē un atkal uzved augšā. (Sheol )
7 Bwana humfanya mtu maskini naye hutajirisha, hushusha na hukweza.
Tas Kungs dara nabagu un dara bagātu, Viņš pazemo un paaugstina.
8 Humwinua maskini kutoka mavumbini na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu; huwaketisha pamoja na wakuu na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima. “Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana; juu yake ameuweka ulimwengu.
Viņš uzceļ nabagu no pīšļiem, un bēdīgo Viņš paaugstina no dubļiem, ka Viņš tos sēdina starp lieliem kungiem un tiem liek iemantot goda krēslu; jo zemes pamati pieder Tam Kungam, un Viņš uz tiem pasauli licis.
9 Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake, lakini waovu watanyamazishwa kwenye giza. “Si kwa nguvu mtu hushinda;
Savu svēto kājas Viņš pasargā; bet tie bezdievīgie tumsībā iet bojā: jo neviens nav varens caur (savu) spēku.
10 wale wampingao Bwana wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni; Bwana ataihukumu miisho ya dunia. “Atampa nguvu mfalme wake, na kuitukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.”
Tas Kungs - Viņa pretinieki top iztrūcināti, debesīs pār tiem Viņš liek pērkoniem rūkt. Tas Kungs tiesās zemes galus un dos Savam ķēniņam spēku un paaugstinās Sava svaidītā ragu.”
11 Kisha Elikana akaenda nyumbani Rama, lakini mtoto akahudumu mbele za Bwana chini ya kuhani Eli.
Un Elkanus nogāja uz Rāmatu savā namā, bet tas zēns kalpoja Tam Kungam priestera Elus priekšā.
12 Wana wa Eli walikuwa watu wabaya kabisa, hawakumheshimu Bwana.
Bet Elus dēli bija netikli, tie neatzina To Kungu.
13 Basi ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu kwamba kila mara yeyote anapotoa dhabihu na huku nyama ikiwa inachemshwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake.
Un priesteru ieradums ar ļaudīm bija: kad kāds upuri upurēja, tad priestera puisis nāca, kamēr tā gaļa vārījās, - un tam dakšas ar trim zariem bija rokā, -
14 Angeutumbukiza huo uma kwenye sufuria au birika au sufuria kubwa au chungu, naye kuhani angalijichukulia mwenyewe chochote ambacho uma ungekileta. Hivi ndivyo walivyowatendea Waisraeli wote waliokuja Shilo.
Un bakstīja grāpī vai katlā vai pannā vai podā. Ko nu tās dakšas uzvilka, to priesteris ņēma priekš sevis. Tā tie darīja visiem Israēla ļaudīm, kas tur nāca uz Šīlo.
15 Lakini hata kabla mafuta ya mnyama hayajachomwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na kusema kwa mtu ambaye alikuwa akitoa dhabihu, “Mpe kuhani nyama akaoke, kwani hatapokea nyama iliyochemshwa kutoka kwako, ila iliyo mbichi tu.”
Un pirms tie tos taukus iededzināja, priestera puisis nāca un sacīja uz to vīru, kas upurēja: dod gaļas priesterim priekš cepeša, jo viņš no tevis negrib vārītu gaļu, bet jēlu.
16 Kama mtu akimwambia, “Mafuta ya mnyama na yachomwe kwanza, ndipo uchukue chochote unachotaka,” mtumishi angalijibu, “Hapana, nipe sasa, kama huwezi nitaichukua kwa nguvu.”
Ja kas uz to sacīja: pašu laiku(vispirms) tos taukus iededzinās, tad ņem priekš sevis, kā tava sirds kāro, - tad šis uz to sacīja: nupat tev būs dot, un ja ne, tad es ņemšu ar varu.
17 Hii Dhambi ya hawa vijana ilikuwa kubwa sana machoni pa Bwana, kwa kuwa waliitendea dhabihu ya Bwana kwa dharau.
Tā šo puišu grēki bija ļoti lieli Tā Kunga priekšā, jo šie vīri nicināja Tā Kunga ēdamo upuri. -
18 Lakini Samweli alikuwa akihudumu mbele za Bwana, kijana akivaa kisibau cha kitani.
Bet Samuēls kalpoja Tā Kunga priekšā, puisis būdams, apjozts ar nātnu efodu.
19 Kila mwaka mama yake alimshonea joho dogo na kumchukulia wakati alipokwea pamoja na mumewe kutoa dhabihu ya mwaka.
Un māte viņam taisīja mazus svārciņus un tos viņam nesa ik gadus, kad ar savu vīru nāca, gadskārtējo upuri upurēt.
20 Eli alikuwa akiwabariki Elikana na mkewe, akisema, “Bwana na akupe watoto kwa mwanamke huyu ili kuchukua nafasi ya yule aliyekuwa amemwomba na akamtoa kwa Bwana.” Kisha wakawa wanakwenda nyumbani.
Un Elus svētīja Elkanu un viņa sievu un sacīja: lai Tas Kungs tev dod dzimumu no šās sievas, par to izlūgto, ko viņa no Tā Kunga ir izlūgusi. Un tie gāja uz savu māju.
21 Bwana akawa mwenye neema kwa Hana, naye akapata mimba akazaa wana watatu na binti wawili. Wakati huo, kijana Samweli akaendelea kukua mbele za Bwana.
Un Tas Kungs piemeklēja Annu un tā tapa grūta un dzemdēja trīs dēlus un divas meitas. Bet tas puisītis Samuēls uzauga pie Tā Kunga.
22 Basi Eli, ambaye alikuwa mzee sana, alisikia kuhusu kila kitu ambacho wanawe walikuwa wakiwafanyia Israeli wote na jinsi walivyokutana kimwili na wanawake waliohudumu kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
Un Elus bija ļoti vecs un dzirdēja visu, ko viņa dēli visam Israēlim darīja, un ka tie gulēja pie tām sievām, kas sapulcējās priekš saiešanas telts durvīm.
23 Hivyo akawaambia, “Kwa nini mmefanya mambo kama haya? Nimesikia kutoka kwa watu wote juu ya haya matendo yenu maovu.
Un viņš uz tiem sacīja: kāpēc jūs darāt tādas lietas? Kā es par jums tādu neslavu dzirdu no visiem šiem ļaudīm?
24 Sivyo, wanangu, hii si habari nzuri ambayo ninasikia ikienea miongoni mwa watu wa Bwana.
Nē, mani bērni, tā nav laba slava, ko es dzirdu, jo jūs darāt Tā Kunga ļaudis pārkāpjam.
25 Kama mtu akifanya dhambi dhidi ya mtu mwenzake, mtu mwingine aweza kumwombea kwa Mungu, lakini kama mtu akimfanyia Mungu dhambi, ni nani atakayemwombea?” Hata hivyo wanawe hawakusikia maonyo ya baba yao, kwa sababu Bwana alitaka kuwaua.
Kad cilvēks pret cilvēku grēko, tad tiesas kungi to izlīdzina, bet kad cilvēks pret To Kungu grēko, kas priekš tāda var aizlūgt? Bet tie neklausīja sava tēva balsi, jo Tas Kungs tos gribēja nokaut.
26 Naye kijana Samweli akaendelea kukua katika kimo, akimpendeza Bwana na wanadamu.
Un tas puisis Samuēls augdams auga un patika gan Tam Kungam, gan tiem ļaudīm.
27 Basi mtu wa Mungu akaja kwa Eli na kumwambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa huko Misri chini ya Farao?
Un viens Dieva vīrs nāca pie Elus un uz to sacīja: tā saka Tas Kungs: vai Es neesmu skaidri parādījies tava tēva namam, kad tie bija Ēģiptes zemē Faraona namā,
28 Nilimchagua baba yako kati ya makabila yote ya Israeli kuwa kuhani wangu, kukwea kwenye madhabahu yangu, kufukiza uvumba na kuvaa kisibau mbele yangu. Pia niliwapa nyumba ya baba yako sadaka zote zilizotolewa kwa moto na Waisraeli.
Un to no visām Israēla ciltīm Sev esmu licis par priesteri, upurēt uz Mana altāra, kvēpināmās zāles iededzināt un to plecu apsegu nest Manā priekšā, un Es tava tēva namam esmu devis visus Israēla bērnu uguns upurus.
29 Kwa nini unadharau dhabihu zangu na sadaka zile nilizoziamuru kwa ajili ya makao yangu? Kwa nini unawaheshimu wanao kuliko mimi kwa kujinenepesha wenyewe kwa kula sehemu zilizo bora za kila sadaka zinazotolewa na watu wangu wa Israeli?’
Kāpēc tad jūs kājām minat Manu upuri un Manu ēdamo upuri, ko Es esmu pavēlējis (nest Manā) dzīvoklī? Un tu godā savus dēlus vairāk nekā Mani, ka jūs barojaties no visu Manu Israēla ļaužu upuru pirmajiem.
30 “Kwa hiyo, Bwana, Mungu wa Israeli asema: ‘Niliahidi kuwa nyumba yako na nyumba ya baba yako wangehudumu mbele zangu milele.’ Lakini sasa Bwana anasema: ‘Jambo hili na liwe mbali nami! Wale wanaoniheshimu nitawaheshimu, wale wanaonidharau mimi watadharauliwa.
Tādēļ Tas Kungs, Israēla Dievs, saka: gan Es biju skaidri sacījis: tavam namam un tava tēva namam bija Manā priekšā staigāt mūžīgi. Bet nu Tas Kungs saka: nemūžam nē, bet kas Mani godā, tos Es godāju, un kas Mani nicina, tie paliek kaunā.
31 Wakati unakuja nitakapozipunguza nguvu zenu na nguvu ya nyumba ya baba yenu, ili pasiwepo mtu katika mbari yenu atakayeishi kuuona uzee
Redzi, nāk dienas, tad Es nocirtīšu tavu elkoni un tava tēva nama elkoni, tā ka neviena veca vairs nebūs tavā namā.
32 nanyi mtaona huzuni katika makao yangu. Ingawa Israeli watafanyiwa mema, katika mbari yenu kamwe hapatakuwepo mtu atakayeishi hadi kuwa mzee.
Un tu redzēsi (Dieva) dzīvokļa bēdas pie visa, ko Viņš Israēlim labu darīs, un veca nebūs tavā namā nemūžam.
33 Kila mmoja wenu ambaye sitamkatilia mbali kutoka madhabahuni pangu atabakizwa tu kupofusha macho yenu kwa machozi na kuihuzunisha mioyo yenu, nao wazao wenu wote watakufa watakapokuwa wamefikia umri wa kustawi.
Tomēr visus Es tev neizdeldēšu no Mana altāra, ka tavām acīm būs īgt un tavai dvēselei iztvīkt, bet viss tava nama dzimums mirs vīra gados.
34 “‘Kile kitakachotokea kwa wanao wawili, Hofni na Finehasi, kitakuwa ishara kwako. Wote wawili watakufa katika siku moja.
Šī nu būs tā zīme, kas nāks pār taviem abiem dēliem, par Hofnu un Pinehasu: vienā dienā abi mirs.
35 Mimi mwenyewe nitajiinulia kuhani mwaminifu, ambaye atafanya sawasawa na kile kilichoko moyoni mwangu na akilini mwangu. Nitaifanya nyumba yake kuwa imara, naye atahudumu mbele ya mpakwa mafuta wangu daima.
Un Es Sev celšu uzticīgu priesteri; tas darīs pēc Manas sirds un dvēseles, tam Es uztaisīšu pastāvīgu namu, un tas staigās priekš Mana svaidītā vienmēr.
36 Kisha kila mmoja aliyeachwa katika mbari yenu atakuja na kusujudu mbele yake kwa ajili ya kipande cha fedha na ganda la mkate akisema, “Niteue katika baadhi ya ofisi ya ukuhani ili niweze kupata chakula.”’”
Un kas vēl atliks no tava nama, nāks un klanīsies priekš viņa par naudas artavu un par maizes riecienu un sacīs: pieņem mani lūdzams kādā priestera amatā, ka dabūju maizes kumosu, ko ēst.