< 1 Samweli 18 >

1 Baada ya Daudi kumaliza kuongea na Sauli, roho ya Yonathani ikaambatana na roho ya Daudi, naye akampenda kama nafsi yake mwenyewe.
Solo amola Da: ibidi ela da sia: sa: i dagoi. Amalalu fa: no, Solo egefe Yonada: ne da Da: ibidima bagade oso dogone asigimusa: hanaiba: le, e da hina: da: i hodo amoma asigi amo defele Da: ibidima dogolegei.
2 Kuanzia siku ile Sauli akamchukua Daudi naye hakumruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.
Amogala, Solo da Da: ibidi hi diasua mae masa: ne gagulaligi.
3 Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.
Yonada: ne da Da: ibidima dogolegebeba: le, e da eso huluane mae yolesili, Da: ibidi ea dogolegei sama esaloma: ne, sia: ga ilegei dagoi.
4 Yonathani akavua joho alilokuwa amevaa na kumpa Daudi, pamoja na koti lake, silaha zake, hata pamoja na upanga wake, upinde wake na mshipi wake.
E da abula hi ga: i amo gisa: le amola hina: da: igene ga: ne, gegesu gobihei sedade, oulali, amola bulu huluane gigisa: le, Da: ibidima i.
5 Lolote Sauli alilomtuma Daudi kufanya, alitenda kwa hekima, hata Sauli akampa cheo cha juu katika jeshi. Jambo hili likawapendeza watu wote, hata maafisa wa Sauli pia.
Solo da Da: ibidima hawa: hamosu i. Da: ibidi da amo hawa: hamosu noga: le hamobeba: le, Solo da Da: ibidi ea dadi gagui ouligisu dunu hamoma: ne ilegei. Amo ba: beba: le, Solo ea dadi gagui dunu amola ilia ouligisu dunu huluane da bagade nodoi.
6 Watu walipokuwa wanarudi nyumbani baada ya Daudi kumuua yule Mfilisti, wanawake wakaja kutoka pande zote za miji ya Israeli kumlaki Mfalme Sauli kwa kuimba na kucheza, kwa nyimbo za furaha na kwa matari na zeze.
Da: ibidi da Goulaia: de fane legelalu, e amola dadi gagui dunu da ilia sogega buhagilaloba, Isala: ili moilaia fi uda huluane da Solo gousa: musa: misi. Ilia da nodosu gesami hea: su amola sisiogola amola ilibu amola sani baidama dududu sa: i.
7 Walipokuwa wanacheza, wakaimba: “Sauli amewaua elfu zake, naye Daudi makumi elfu yake.”
Uda ilia da nodone amane gesami hea: i, “Solo da ha lai dunu 1,000 baligili gale fane legei dagoi. Be Da: ibidi da ha lai dunu 10,000 baligili gale fane legei.”
8 Sauli akakasirika sana; sehemu hii ya kurudia rudia ya wimbo huu ilimkasirisha sana. Akafikiri kuwa, “Wamempa Daudi makumi elfu, lakini mimi wamenipa elfu tu. Apate nini zaidi isipokuwa ufalme?”
Solo da amane hea: be nabimu hihi galu. E da bagadewane ougi galu. E amane sia: i, “Ilia da Da: ibidi da 10,000 baligili gale fane legei be na da 1,000 baligili gale fawane fane legei sia: sa. Agoane hamosea, ilia na fadegale, Da: ibidi hina bagade hamoma: bela: ?”
9 Kuanzia wakati ule na kuendelea Sauli akawa na jicho la wivu juu ya Daudi.
Amaiba: le, Solo da amo esoha amogainini Da: ibidima mudasu, amola Da: ibidi ea hou hamobe higale dawa: i.
10 Kesho yake roho mbaya iliyoachiwa nafasi na Mungu ikaja kwa nguvu juu ya Sauli. Alikuwa akitabiri nyumbani mwake, wakati Daudi alikuwa akipiga kinubi, kama alivyozoea. Sauli alikuwa na mkuki mkononi mwake;
Golale hahabe, wadela: i a: silibu Gode Ea asunasi, amo da hedolowane Solo ea da: iga aligila sa: i. Amalu, e da elabusu dunu agoane hi diasua esala gagaba: gilalu. Da: ibidi da hi eso hulu amasu amane sani baidama dusa: esalu. Solo da goge agei gagui dialu.
11 akautupa kwa nguvu, akijiambia mwenyewe, “Nitamchoma kwa mkuki abaki hapo ukutani.” Lakini Daudi akamkwepa mara mbili.
Solo da hisu amane sia: i, “Na da Da: ibidi dobeala bobodole gala: le danoma: nesimu.” Amalu, e da aduna agoane gala: i. Be Da: ibidi da ele galu giadofai dagoi.
12 Sauli akamwogopa Daudi, kwa sababu Bwana alikuwa pamoja na Daudi, lakini alikuwa amemwacha yeye.
Solo da Da: ibidiba: le beda: i. Bai Hina Gode da e yolesiagale, Da: ibidima galu.
13 Kwa hiyo Sauli akamwondoa Daudi mbele yake na kumpa kuwa kiongozi wa watu elfu moja, naye Daudi akatoka na kuingia akiongoza vikosi katika vita.
Amaiba: le, Solo da Da: ibidi dadi gagui dunu 1,000 ouligila masa: ne ga asunasiagai. Da: ibidi da ea dadi gagui dunu oule, gegena asi.
14 Katika kila kitu alichofanya, Daudi alipata mafanikio makubwa, kwa sababu Bwana alikuwa pamoja naye.
E da hi musa: hamoi amanewane ha lai dunuma hasalasi. Bai Hina Gode da ela galuba: le.
15 Sauli alipoona jinsi alivyokuwa akifanikiwa, akamwogopa.
Solo da Da: ibidi ea didili hasalasu hamobe hou dawa: digili, bu bagadewane beda: i.
16 Lakini Israeli wote na Yuda walimpenda Daudi, kwa sababu ndiye alikuwa akiwaongoza katika vita vyao.
Be Isala: ili amola Yuda dunu huluane da Da: ibidima bagadewane dogolegesu. Bai ea ouligisu hou e da noga: le didili hamoi.
17 Sauli akamwambia Daudi, “Huyu hapa binti yangu mkubwa Merabu. Nitakupa umwoe, endapo tu utanitumikia kwa ushujaa na kupigana vita vya Bwana.” Kwa maana Sauli alisema moyoni mwake, “Sitainua mkono wangu dhidi yake. Acha mkono wa Wafilisti uwe juu yake.”
Amalu, Solo da Da: ibidima amane sia: i, “Na magobo uda mano Mila: be da goea. Dia da na hawa: hamosu noga: le hamosea amola di da dadi gagui noga: idafa agoane Hina Gode Ea gegesu hamosea, na da e digili lama: mu. (Solo da amane dawa: lu, amane hamosea, e da Da: ibidima ea mae fane legele, Filisidini dunu da Da: ibidi fane legema: bela: le dawa: i.)
18 Lakini Daudi akamwambia Sauli, “Mimi ni nani, nayo jamaa yangu ni nini au ukoo wa baba yangu katika Israeli, kwamba mimi niwe mkwewe mfalme?”
Da: ibidi da dabe adole i, “Na da nowala: , amoga na da hina bagade ea esoa: hamoma: bela: ?”
19 Basi ulipofika wakati wa Daudi kupewa Merabu, binti Sauli, huyo binti aliozwa kwa Adrieli, Mmeholathi.
Be Mila: be da Da: ibidima asulimu eso da doaga: loba, ilia da Da: ibidima mae asunawene bu dunu eno ea dio A: idalia: le (Mihoula moilai dunu) amogili i.
20 Basi Mikali binti Sauli alimpenda Daudi, nao walipomwambia Sauli juu ya jambo hili, likampendeza.
Be Solo ea uda mano eno Maiga: le da Da: ibidima mageseiba: le ema fimusa: hanai galu. Solo da amo nababeba: le, nodoi.
21 Sauli akawaza, “Nitampa Daudi binti yangu, ili apate kuwa mtego kwake, ili kwamba mkono wa Wafilisti upate kuwa juu yake.” Hivyo Sauli akamwambia Daudi, “Sasa unayo nafasi ya pili ya kuwa mkwe wangu.”
Solo da hisu amane sia: i, “Na da Da: ibidi saniga sa: ima: ne, Maiga: le amo ema imunu. Amasea, Da: ibidi da Filisidini dunu ilia fane legei dagoi ba: mu.” Amalalu, Solo da bu Da: ibidima amane sia: i, “Ani da nasoa: hamomu.”
22 Ndipo Sauli akawaagiza watumishi wake, akisema, “Zungumzeni na Daudi kwa siri na kumwambia, ‘Tazama, mfalme amependezwa nawe, nao watumishi wake wote wanakupenda. Basi na uwe mkwewe mfalme.’”
Solo da ea ouligisu dunu ilima ilia wamowane Da: ibidima amane sia: ma: ne sia: i, “Hina amola ea ouligisu dunu huluane da dima hahawane gala. Di da waha ea idiwi lamu da defea.”
23 Watumishi wa Sauli wakarudia hayo maneno kwa Daudi. Lakini Daudi akasema, “Je, mnafikiri ni jambo dogo kuwa mkwewe mfalme? Mimi ni mtu maskini tu, na nisiyejulikana sana.”
Amaiba: le, ilia amo sia: Da: ibidima sia: i. E bu adole i, “Na da hina bagadema esoa: hamomu da defele hame galebe. Bai na da hame gagui dunu amola hamedei dunu agoai galebe.”
24 Watumishi wa Sauli walipomweleza yale Daudi aliyoyasema,
Ouligisu dunu da Da: ibidi ea sia: i amo Soloma alofele i.
25 Sauli akajibu, “Mwambieni Daudi, ‘Mfalme hataki zawadi nyingine kuwa mahari isipokuwa magovi 100 ya Wafilisti, ili kulipiza kisasi juu ya adui zake.’” Mawazo ya Sauli yalikuwa Daudi akaanguke mikononi mwa Wafilisti.
Amalalu, Solo da ilima bu eno ema amane sia: ma: ne olelei, “Hina bagade da ea uda mano dabe ima: ne amo fawane lamu. Ea ha lai ilima dabe ima: ne, Filisidini dunu 100 ilia ewa gadofo damuni fasili, ema ima.” (Solo da amanewane Filisidini dunu da Da: ibidi medole legema: ne ilegei).
26 Watumishi walipomwambia Daudi mambo haya, ikampendeza kuwa mkwewe mfalme. Basi kabla siku iliyopangwa haijafika,
Solo ea ouligisu dunu da Da: ibidi ea sia: i Soloma alofele i. Da: ibidi da Solo esoa: hamomu dawa: beba: le, hahawane bagade galu. Uda lamu eso ilegei amo hidadea,
27 Daudi na watu wake walitoka na kuwaua Wafilisti mia mbili. Akayaleta magovi yao na kupeleka hesabu kamilifu kwa mfalme, ili kwamba apate kuwa mkwewe mfalme. Ndipo Sauli akamwoza Daudi Mikali binti yake.
Da: ibidi amola ea dunu da asili, Filisidini dunu 200 amo fane legei. E da ilia ewa gadofo damuni fasili, hina bagadema gaguli asili, hina bagade ea esoa: hamoma: ne ema idili i. Amaiba: le, Solo da ea uda mano Maiga: le lama: ne Da: ibidigili i.
28 Sauli alipotambua kuwa Bwana alikuwa pamoja na Daudi na kwamba Mikali binti yake anampenda Daudi,
Solo da molole dawa: digili amola Hina Gode da Da: ibidi ela esala. Amola ea mano Maiga: le da Da: ibidima magesei ba: i.
29 Sauli akazidi kumwogopa Daudi, naye Sauli akabaki kuwa adui yake siku zote za maisha yake.
Amaiba: le, Solo da Da: ibidiba: le bu baligili beda: i. E da amo esoha amogainini, Da: ibidima ha laiwane esalu.
30 Majemadari wa jeshi la Wafilisti waliendelea kupigana vita na kadiri walivyoendelea kupigana, Daudi akazidi kutenda kwa hekima kuliko maafisa wengine wa Sauli, nalo jina lake likajulikana sana.
Filisidini dunu da misini, Isala: ili dunuma gegesu. Be gegesu huluane amo ganodini, Da: ibidi ea hasalasisu hou da Solo ea dadi gagui ouligisu dunu eno ilia hou baligisu. Amabeba: le, dunu huluane da Da: ibidima nodone dawa: digi.

< 1 Samweli 18 >