< 1 Samweli 17 >

1 Wakati huu Wafilisti wakakusanya majeshi yao kwa ajili ya vita, nao wakakusanyika huko Soko katika Yuda. Wakapiga kambi huko Efes-Damimu, kati ya Soko na Azeka.
Filisidini dunu da Isala: ili dunuma gegemusa: , Sougou moilai, Yuda soge ganodini, amoga gilisi. Ilia da Sougou moilaigale Asiga moilai bai bagadegale, sogebi dio Ifesida: mine amogai awalia wa: i fi.
2 Sauli na Waisraeli wakakusanyika na kupiga kambi katika Bonde la Ela na kupanga jeshi ili kupigana vita na Wafilisti.
Solo amola Isala: ili dunu da mogodigili asili, Ila fago amogai awalia asi wa: i fi. Amogai ilia da Filisidini dunuma gegemusa: momagei.
3 Wafilisti wakawa katika kilima kimoja na Waisraeli katika kilima kingine, hilo bonde likiwa kati yao.
Filisidini dunu ilia da na: iyado goaga dadalele aliligi amola Isala: ili dunu ilia da la: idi goa amoga dadalei. Ili dogoa amogai da hano fago dialu.
4 Shujaa aliyeitwa Goliathi, aliyetoka Gathi, akajitokeza kutoka kambi ya Wafilisti. Alikuwa na urefu dhiraa sita na shibiri moja.
Dunu ea dio amo Goulaia: de (Ga: de moilai bai bagade fi dunu), e da Filisidini awalia wa: i amogainini misini, Isala: ili dunuma gegemusa: manebe ba: i. E da dunu sedadedafa, 3 mida defei gadenene ba: i.
5 Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani mwake, na alivaa dirii ya shaba kifuani mwake yenye uzito wa shekeli elfu tano.
Amola e da balasega hamoi da: igene ga: su ea dioi defei 57 gilougala: me agoane ga: i, amola balasega hamoi habuga figisi.
6 Miguuni mwake alivaa mabamba ya shaba, na alikuwa na mkuki wa shaba mgongoni mwake.
Ea emo gia: ni da balasega hamoi liligi amoga ga: i amola e da balasega hamoi goge agei gisawane ahoanebe ba: i.
7 Mpini wa huo mkuki ulikuwa kama mti wa mfumaji, na ncha ya chuma yake ilikuwa na uzito wa shekeli mia sita. Mbeba ngao wake alitangulia mbele yake.
Ea goge agei ea gadugagi defei da abula amunasu masini fanu ea defei amo defele galu, amola goge agei si da gulaga hamoi amo ea dioi defei da7gilogala: me agoane ba: i. Dadi gagui dunu afae da ea da: igene ga: su hamoi gisawane hina midududi ahoanebe ba: i.
8 Goliathi alisimama na kuwapigia kelele majeshi ya Israeli, akisema, “Kwa nini mmetoka kupanga vita? Je, mimi si Mfilisti, na ninyi ni watumishi wa Sauli? Chagueni mtu na anishukie mimi.
Goulaia: de da amoi aligili, Isala: ili dunuma wele sia: i, “Dilia da gogai adi hamonanebela: ? Abuli ludumusa: dadalebela: ? Na da Filisidini dunu, be dilia da Solo ea udigili hawa: hamosu dunu fawane. Dilia dunu afae nama gegena misa: ne ilegema.”
9 Kama anaweza kupigana nami na kuniua, tutakuwa chini yenu; lakini kama nikimshinda na kumuua, ninyi mtakuwa chini yetu na mtatutumikia.”
E da na hasalawene medole legesea, ninia da dilia udigili hawa: hamosu dunu esalumu. Be na da e hasalawene medole legesea, dilia da ninia udigili hawa: hamosu dunu esalumu.
10 Kisha yule Mfilisti akasema, “Siku hii ya leo nayatukana majeshi ya Israeli! Nipeni mtu tupigane.”
Waha na da Isala: ili dadi gagui dunuma gegemusa: lelebe wea. Dilia dunu afae ani dabemusa: misa: ne ilegema.”
11 Kwa kusikia maneno ya Wafilisti, Sauli na Waisraeli wote wakafadhaika na kuogopa.
Solo amola ea dunu ilia da amo sia: nababeba: le, bagadewane beda: gia: i.
12 Basi Daudi alikuwa mwana wa Mwefrathi jina lake Yese aliyekuwa ametoka Bethlehemu ya Yuda. Yese alikuwa na wana wanane, naye wakati wa Sauli alikuwa mzee tena wa umri mkubwa.
Da: ibidi da Yesi ea mano galu. Amola Yesi da Efala: de fi dunu. Ea moilai da Bedeleheme, amo da Yuda soge ganodini. Yesi egefelali da godoane galu. Amola Solo ea Isala: ili ouligibi galu, Yesi da da: i hamoi ba: i.
13 Wana wakubwa watatu wa Yese walikuwa wamefuatana na Sauli vitani: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Eliabu, wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama.
Ea magobo mano udiana da Solo ili galu gegena asi. Ea magobo mano da Ilaia: be. Amo baligia da Abinada: be amola amo baligia da Siama.
14 Daudi ndiye alikuwa mdogo wa wote. Hao wakubwa watatu wakamfuata Sauli,
Da: ibidi da ufidafa mano galu, be yolalali udiana da Sololali esalu.
15 lakini Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili kuchunga kondoo wa baba yake huko Bethlehemu.
Da: ibidi da ili yolesili, Bedelehemega eda ea sibi mano fofoia ouligila afufulalusu.
16 Kwa siku arobaini huyo Mfilisti alikuwa akija mbele kila siku asubuhi na jioni na kujionyesha.
Goulaia: de da Isala: ili dunuma eso huluane hahabe amola daeya gebewane gegena afufulala eso 40 agoane baligi.
17 Wakati huo Yese akamwambia mwanawe Daudi, “Chukua hii efa ya bisi na hii mikate kumi kwa ajili ya ndugu zako uwapelekee upesi kambini mwao.
Ha afaega Yesi da Da: ibidima amane sia: i, “Di da widi ha: i manu egegele gobei dabaga sali ea dioi defei10 gilougala: me amola agi ga: gi gobei nabuane agoane, go gaguli hedolo diolalalima awalia fi diasua masa.
18 Chukua pamoja na hizi jibini kumi kwa jemadari wa kikosi chao. Ujue hali ya ndugu zako na uniletee taarifa za uhakika kutoka kwao.
Amola dodo maga: mega hamoi gou nabuane gala, amo dadi gagui ouligisu dunuma ima: ne gaguli masa. Diolalali ilia hamonanebe hou ba: lu, ilia hamonanebe hou na dawa: digima: ne, liligi nama gaguli misa.
19 Wao wako pamoja na Sauli na watu wote wa Israeli huko kwenye Bonde la Ela, wakipigana na Wafilisti.”
Isala: ili hina bagade Solo, yolalali amola eno Isala: ili dunu huluane ilia da Ila fago amo gudu Filisidini dunu bisili gegenana.”
20 Asubuhi na mapema Daudi akaondoka, akaliacha kundi la kondoo pamoja na mchungaji, akapakia vitu vile na kuondoka, kama vile Yese alivyokuwa amemwagiza. Akafika kambini wakati jeshi lilikuwa likitoka kwenda kwenye sehemu yake ya kupigania, huku wakipiga kelele za vita.
Da: ibidi da golale, hahabedafa wa: legadole, sibi enoga ouligima: ne yolesilalu, Yesi ea sia: i defele, ha: i manu adoi amo gaguli asi. E da Isala: ili awali fia amogai doaga: loba, Isala: ili dadi gagui hulududusa gegena ahoanebe ba: i.
21 Israeli na Wafilisti walikuwa wakipanga safu zao wakitazamana.
Isala: ili dadi gagui dunu amola Filisidini dadi gagui dunu ilia da gegemusa: , soge lale gagale, sisima: sodole lelefulubi ba: i.
22 Daudi akaacha vile vitu vyake kwa mtunza vifaa, akakimbilia katika safu za vita na kuwasalimu ndugu zake.
Da: ibidi da ha: i manu gagui, amo ha: i manu ouligisu ilima iasilalu, gegesu alalo da: iya gusu hehenane asili, yolalali defea esalabela: le naba ba: i.
23 Alipokuwa akisema nao, Goliathi, yule Mfilisti shujaa kutoka Gathi, akajitokeza mbele ya safu zake na kupiga ile kelele yake ya kawaida ya matukano, naye Daudi akayasikia.
E da ilima sia: nanoba, Goulaia: de da hi musa: amasu amane misini, Isala: ili dunu ema dabemusa: , dunu afae ilegema: ne sia: i. Amola, amo sia: Da: ibidi da nabi.
24 Waisraeli walipomwona yule mtu, wote wakamkimbia kwa woga mkuu.
Isala: ili dunu da Goulaia: de ba: beba: le, beda: ga hobeale afia: i.
25 Basi Waisraeli walikuwa wakisema, “Je, mnaona jinsi mtu huyu anavyoendelea kujitokeza. Hujitokeza ili kutukana Israeli. Mfalme atatoa utajiri mwingi kwa yule mtu atakayemuua. Pia atamwoza binti yake na atasamehe jamaa ya baba yake kulipa kodi katika Israeli.”
Ilia da ilisu amane adosa: i, “Ema ba: ma! Ea dabemusa: sia: amo nabima! Hina Solo da nowa dunu Goulaia: de goma medole legesea, amogili bidi bagade imunusa: ilegei diala. Amola e da amo dunuma idiwi imunu, amola ea eda ea fi dunuma su (‘da: gisi’) hame edegemu.”
26 Daudi akauliza watu waliokuwa wamesimama karibu naye, “Je, atafanyiwa nini mtu atakayemuua huyu Mfilisti na kuondoa aibu hii katika Israeli? Ni nani huyu Mfilisti asiyetahiriwa hata atukane majeshi ya Mungu aliye hai?”
Da: ibidi da dunu e gadenene lelu ilima adole ba: i, “Nowa dunu da amo Filisidini dunu fane legele, Isala: ili dunu ilia gogosiasu we fadegalesisia, adi bidi lama: bela: ? Amo Filisidini dunu da Gode Ea hou hamedafa dawa: E da abuliba: le Esalebe Gode Ea dadi gagui wa: i ilima hasalimusa: sia: sala: ?”
27 Wakarudia yale yaliyokuwa yamesemwa na kumwambia kuwa, “Hili ndilo atakalotendewa mtu yule atakayemuua.”
Amalalu, ilia da ema nowa dunu da Goulaia: de fane legesea, bidi lamu amo adodole i.
28 Eliabu nduguye mkubwa Daudi alipomsikia akizungumza na watu hasira ikawaka juu yake akamuuliza, “Kwa nini umeteremka kuja hapa? Nao wale kondoo wachache kule nyikani umewaacha na nani? Ninajua jinsi ulivyo na kiburi na jinsi moyo wako ulivyo mwovu; umekuja hapa kutazama vita tu.”
Ilaia: be, Da: ibidi eaola magobo da Da: ibidi eno dunuma sia: dalebe nabi. E da Da: ibidima ougili amane sia: i, “Di da goega: i adi hamonanebela: ? Dia sibi hisu wadela: ia lelefulubi amo nowa da ouligisala: ? Di da sia: lelesu mano agoai! Di da gegebe ba: musa: fawane misi!”
29 Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi hata kuongea.”
Da: ibidi da amane sia: i, “Na da waha adi hamobela: ? Na da adole ba: su hame adole ba: mu galula: ?”
30 Daudi akamgeukia mtu mwingine na kumuuliza jambo lilo hilo, nao watu wakamjibu vilevile kama mwanzo.
E da dunu enoma ba: leganone, ea musa: sia: i defele adole ba: i. Amola dunu huluane e da ilima adole ba: loba, ilia da musa: nabi sia: i amo defele ema bu adole i.
31 Lile Daudi alilosema likasikiwa na kuelezwa kwa Sauli, naye Sauli akatuma aitwe.
Dunu oda ilia da Da: ibidi ea sia: i nabalu, Soloma adoi. Solo da Da: ibidi ema misa: ne sia: si.
32 Daudi akamwambia Sauli, “Mtu yeyote asife moyo kwa habari ya huyu Mfilisti; mtumishi wako atakwenda kupigana naye.”
Da: ibidi da Soloma amane sia: i, “Hina noga: i bagade! Dunu da amo Filisidini dunuba: le beda: mu da defea hame. Na da ema gegena masunu.”
33 Sauli akamjibu Daudi, “Wewe hutaweza kwenda kupigana dhidi ya huyu Mfilisti; wewe ni kijana tu, naye amekuwa mtu wa vita tangu ujana wake.”
Solo bu adole i, “Hame amamu! Dia da ema habodane gegema: bela: ? Di da goi fonobahadidafa. Be e da musa: ganini dadi gagui dunu esalusu.”
34 Lakini Daudi akamwambia Sauli, “Mtumishi wako amekuwa akichunga kondoo wa baba yake. Wakati simba au dubu alikuja na kuchukua kondoo kutoka kundi,
Da: ibidi da amane sia: i, “Hina noga: i bagade! Na da nada ea sibi ouligilala. Laione wa: me o bea wa: me da na sibi mano mini ahoa,
35 nilifuatia, nikampiga na nikampokonya kondoo kwenye kinywa chake. Aliponigeukia, nilimkamata nywele zake, nikampiga na kumuua.
na da fa: no bobogele asili, doagala: le, amola sibi mano amo samogesa. Amola laione wa: me o bea da na doagala: sea, na da ea galogoa gaguli fane legesa.
36 Mtumishi wako ameshaua simba na dubu pia; huyu Mfilisti asiyetahiriwa atakuwa kama mmoja wa hao, kwa sababu ameyatukana majeshi ya Mungu aliye hai.
Na da laione wa: me amola bea wa: me fane legesu dawa: Amola na da amanewane amo Gode Ea hou higa: i Filisidini dunu (e da Esalebe Godedafa Ea dadi gagui wa: i amo hasalimusa: halale sia: sa) amo defele fane legemu.
37 Bwana ambaye aliniokoa toka katika makucha ya simba na makucha ya dubu ataniokoa kutoka mikono ya huyu Mfilisti.” Sauli akamwambia Daudi, “Nenda, naye Bwana na awe pamoja nawe.”
Hina Gode da na laione wa: me amola bea wa: me amo na fasa: besa: le noga: le gaga: i. Amaiba: le, e da na Filisidini dunu amo ea fasa: besa: le amanewane gaga: mu.” Solo da amane sia: i, “Amai galea defea! Masa! Hina Gode ali masunu da defea.”
38 Ndipo Sauli akamvika Daudi silaha zake mwenyewe za vita. Akamvika dirii na chapeo ya shaba kichwani mwake.
Solo da hina da: igene ga: su salasu amo gigisa: le, Da: ibidi ea ga: ma: ne i. E da balasega hamoi habuga Da: ibidi ea dialuma da: iya figisi.
39 Daudi akajifunga upanga juu ya hayo mavazi na kujaribu kutembea kwa sababu alikuwa hana uzoefu navyo. Daudi akamwambia Sauli, “Siwezi kwenda nikiwa nimevaa hivi, kwa sababu sina uzoefu navyo.” Hivyo akavivua.
Da: ibidi da Solo ea gegesu gobihei sedade amo lale, sogoha: bisini adoba: le, ahoa ba: i. Be hamedeiba: le, bu gigisa: le fasi. Bai e da afae amai hame gaga: suba: le. E da Soloma amane sia: i, “Na da welawane gegemu hame wea. Na da goai hame dawa: digi.” Amaiba: le, e da hulu gigisa: le fasi.
40 Kisha akachukua fimbo yake mkononi, akachagua mawe laini matano kutoka kwenye kijito, akayaweka kwenye kifuko ndani ya mfuko wake wa kichungaji, akiwa na kombeo yake mkononi mwake, akamkaribia yule Mfilisti.
E da hi sibi ouligisu galiamo lale gadole, amo gele fofoloi biyale hanoa dialebe lalegadole, hina esaga sali. E da ea ga: muga: dadi gaguli, Goulaia: dema gagadenena heda: i.
41 Wakati ule ule, yule Mfilisti, akiwa na mbeba ngao wake mbele yake, akaendelea kujongea karibu na Daudi.
Filisidini dunu da muni Da: ibidima gagadenena manebe ba: i, amola ea da: igene ga: su gagusu dunu da bisili ahoanebe ba: i. E da gebewane gagadenena manu.
42 Mfilisti akamwangalia Daudi kote na kumwona kuwa ni kijana tu, mwekundu na mzuri wa kupendeza, naye akamdharau.
Goulaia: de da Da: ibidi noga: le ba: loba, e da Da: ibidi higale ba: i. Bai e da goi ayeligi noga: idafa ba: i.
43 Akamwambia Daudi, “Je, mimi ni mbwa, hata unanijia na fimbo?” Yule Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake.
E Da: ibidima amane sia: i, “Ifa agoega da abulimusa: la: ? Di adi dawa: bela: ? Na da wa: mela: ?” Amola e da Da: ibidima ea ogogosu ‘gode’ ea dioba: le gogosele gagabuli sia: i.
44 Tena Mfilisti akamwambia, “Njoo hapa, nami nitawapa ndege wa angani na wanyama wa mwituni nyama yako.”
E da Da: ibidima amane sia: i, “Misa! Na da dia da: i hodo sio amola ohe ilia moma: ne imunu.”
45 Daudi akamwambia yule Mfilisti. “Wewe unanijia na upanga, mkuki na fumo, lakini mimi ninakujia kwa jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa majeshi ya Israeli, ambaye wewe umemtukana.
Da: ibidi da bu adole i, “Di da nama gegesu gobihei sedade, goge agei bagade amola goge agei fonobahadi gagaguli gegena maha. Be na da Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili dadi gagui wa: i amo di da hidale hasalimusa: sia: i, amo Ea Dioba: le dima gegena maha.
46 Siku hii leo Bwana atakutia mkononi mwangu, nami nitakupiga na kukukata kichwa chako. Leo nitawapa ndege wa angani na wanyama wa nchi mizoga ya jeshi la Wafilisti, nayo dunia yote itajua kuwa yuko Mungu katika Israeli.
Wali esogawane, Hina Gode da Ea gasaga di na lobo da: iya legela heda: mu. Na da di hasalasimu amola dia dialuma damuni fasimu. Amola na da Filisidini dadi gagui dunu ilia da: i hodo sio fi amola ohe fi ilia moma: ne imunu. Amalalu, osobo bagade fifi asi gala huluane da Isala: ili dunu da Gode galebeya dawa: mu.
47 Wale wote waliokusanyika hapa watajua kuwa Bwana haokoi kwa upanga wala kwa mkuki; kwa kuwa vita ni vya Bwana, naye atawatia wote mikononi mwetu.”
Amola dunu huluane goeguda: esalebe da Hina Gode da Ea fi gaga: musa: gegesea, gegesu gobihei sedade amola goge agei amoga hame gegesa. E da gegesea, Ea fawane da hasalasa. Amola E da dili huluane ninia lobo da: iya legela heda: mu.”
48 Yule Mfilisti aliposogea karibu ili kumshambulia, Daudi akaenda mbio kuelekea safu ya vita kukutana naye.
Goulaia: de da bu Da: ibidima gadenena heda: i, amola Da: ibidi da hedolowane Filisidini gegesu alalo da: iya gusu hehenane ema gegemusa: heda: i.
49 Daudi akatia mkono wake mfukoni na kuchukua jiwe, akalirusha kwa kombeo, nalo likampiga yule Mfilisti kwenye paji la uso. Lile jiwe likaingia kipajini mwa uso, akaanguka chini kifudifudi.
E da hina: esa gelaba lobo sa: ili, gele lale gadole, amoga ga: muga: dadi dili Goulaia: dema fisia gusui. Gele da heda: le, Goulaia: de ea odagia ludawene, gasa fili, e da mi guduli gala: la sa: i.
50 Basi Daudi akamshinda huyo Mfilisti kwa kombeo na jiwe; bila kuwa na upanga mikononi mwake akampiga huyo Mfilisti na kumuua.
Amaimo, gegesu gobihei amoga mae gegene, Da: ibidi da hasalawene ga: muga: dadiga gala: le legei.
51 Daudi akakimbia na kusimama juu yake. Akaushika upanga wa huyo Mfilisti na kuuvuta toka kwenye ala yake. Baada ya kumuua, akakata kichwa chake kwa ule upanga. Wafilisti walipoona kuwa shujaa wao amekufa, wakageuka na kukimbia.
Da: ibidi da ema hehenane gusuli, e da: iya aligila heda: le, Goulaia: de ea gegesu gobihei ea salasu amoga duga: le gadole, Goulaia: de ea dialuma damuni fasili, medole legei. Filisidini dunu da ilia bisilua da bogoi dagoi ba: beba: le, ilia da hobeale afia: i.
52 Ndipo watu wa Israeli na Yuda wakainuka kwenda mbele wakipiga kelele na kufuatia Wafilisti mpaka kwenye ingilio la Gathi kwenye malango ya Ekroni. Maiti zao zilitawanyika kando ya barabara ya Shaaraimu hadi Gathi na Ekroni.
Isala: ili amola Yuda dunu da halale ili se bobogei. Ilia da Filisidini dunu da faiga amola helega logoba: le sidigia: i. Gegesu da misini Sia: iala: ime moilai doaga: mu logoga ahoana, Ga: de moilai bai bagade amola Egelone moilai bai bagadega doaga: i.
53 Waisraeli waliporudi kutoka kuwafukuza Wafilisti, waliteka nyara kutoka kambi yao.
Isala: ili dunu da Filisidini dunu se bobogelalu misini, Filisidini ilia ha wa: i fisisu liligi huluane halale lidi.
54 Daudi akachukua kichwa cha yule Mfilisti na kukileta Yerusalemu, naye akaweka silaha za huyo Mfilisti katika hema lake mwenyewe.
Da: ibidi da Goulaia: de ea dialuma lale gadole, Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asi. Be Goulaia: de ea gegesu liligi, e da ea abula diasu amo ganodini ligisi.
55 Sauli alipomwona Daudi anakwenda kukabiliana na huyo Mfilisti, alimwambia Abneri, jemadari wa jeshi, “Abneri, yule kijana ni mwana wa nani?” Abneri akajibu, “Hakika kama uishivyo, ee mfalme, mimi sifahamu.”
Solo da Da: ibidi amo Goulaia: dema gegemusa: ahoanebe ba: loba, e da ea dadi gagui ouligisu dunu A: benama amane adole ba: i, “A: bena! Amo da nowa ea manola: ?” A: bena da bu adole i, “Hina noga: idafa! Na da hame dawa: !”
56 Mfalme akasema, “Uliza huyu kijana ni mwana wa nani.”
Solo da amane sia: i, “Amai galea, naba masa!”
57 Mara Daudi aliporudi kutoka kumuua huyo Mfilisti, Abneri akamchukua na kumleta mbele ya Sauli. Daudi alikuwa bado anakishikilia kichwa cha yule Mfilisti.
Amaiba: le, Da: ibidi da Goulaia: de medole legelalu, fisisu amoga buhagisia, A:bena da e Soloma oule asi. Da: ibidi da Goulaia: de ea dialuma gaguli ahoanebe ba: i.
58 Sauli akamuuliza, “Kijana, wewe ni mwana wa nani?” Daudi akasema, “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese wa Bethlehemu.”
Solo da ema adole ba: i, “Goi ayeligi dunu! Di da nowa ea manola: ? Da: ibidi da bu adole i, “Na da dia hawa: hamosu dunu, Bedeleheme dunu Yesi amo ea mano wea!”

< 1 Samweli 17 >