< 1 Samweli 11 >

1 Nahashi yule Mwamoni, akakwea kuuzunguka kwa jeshi mji wa Yabeshi-Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia, “Fanya mkataba na sisi, na tutakuwa chini yako.”
Wtedy nadciągnął Nachasz Ammonita i rozbił obóz przeciwko Jabesz-Gilead. I wszyscy mieszkańcy Jabesz powiedzieli do Nachasza: Zawrzyj z nami przymierze, a będziemy ci służyć.
2 Lakini Nahashi yule Mwamoni akajibu, “Nitafanya mkataba na ninyi tu kwa sharti kwamba nitangʼoa jicho la kulia la kila mmoja wenu, na hivyo kuleta aibu juu ya Israeli yote.”
Odpowiedział im Nachasz Ammonita: Zawrę z wami [przymierze], pod warunkiem że każdemu z was wyłupię prawe oko i będzie to hańba dla całego Izraela.
3 Viongozi wa Yabeshi wakamwambia, “Tupe siku saba ili tuweze kutuma wajumbe katika Israeli yote, kama hakuna hata mmoja anayekuja kutuokoa, tutajisalimisha kwako.”
Starsi z Jabesz odpowiedzieli mu: Daj nam siedem dni na rozesłanie posłańców po wszystkich granicach Izraela. A jeśli nie będzie nikogo, kto by nas uratował, wtedy wyjdziemy do ciebie.
4 Wajumbe walipofika Gibea ya Sauli na kutoa taarifa juu ya masharti haya kwa watu, wote walilia kwa sauti kubwa.
Przyszli więc posłańcy do Gibea, [miasta] Saula, i powtórzyli te słowa do uszu ludu. Cały lud zaś podniósł donośny lament i płakał.
5 Wakati huo huo Sauli alikuwa anarudi kutoka mashambani, akiwa nyuma ya maksai wake, naye akauliza, “Watu wana nini? Mbona wanalia?” Ndipo wakamweleza jinsi watu wa Yabeshi walivyokuwa wamesema.
A oto Saul wracał za wołami z pola i pytał się: Co [się stało] ludowi, że płacze? I opowiedzieli mu wszystkie słowa mieszkańców Jabesz.
6 Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akawaka hasira.
Gdy Saul usłyszał te słowa, zstąpił na niego Duch Boży i [Saul] zapałał wielkim gniewem.
7 Akachukua jozi ya maksai na kuwakata vipande vipande, naye kuvituma hivyo vipande kupitia wajumbe katika Israeli yote, wakitangaza, “Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa maksai wa kila mmoja ambaye hatamfuata Sauli na Samweli.” Kisha hofu ya Bwana ikawaangukia watu, nao wakatoka kama mtu mmoja.
I wziął parę wołów, rozrąbał je na części i rozesłał je przez posłańców po wszystkich granicach Izraela, mówiąc: Tak się stanie z wołami każdego, kto nie wyruszy za Saulem i Samuelem. I padł strach PANA na lud, i wyruszyli jak jeden mąż.
8 Sauli alipowakusanya huko Bezeki, watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa Yuda 30,000.
Potem dokonał ich przeglądu w Bezek – było trzysta tysięcy synów Izraela, a mężczyzn Judy trzydzieści tysięcy.
9 Wakawaambia wale wajumbe waliokuwa wamekuja, “Waambieni watu wa Yabeshi-Gileadi, ‘Kesho kabla jua halijawa kali, mtaokolewa.’” Wajumbe walipokwenda na kutoa taarifa hii kwa watu wa Yabeshi, wakafurahi.
I powiedzieli posłańcom, którzy przyszli: Tak powiedzcie mieszkańcom Jabesz-Gilead: Jutro, gdy przygrzeje słońce, zostaniecie wybawieni. Posłańcy wrócili więc i oznajmili to mieszkańcom Jabesz, a oni ucieszyli się.
10 Wakawaambia Waamoni, “Kesho tutajisalimisha kwenu, nanyi mtaweza kututendea chochote mnachoona chema kwenu.”
Wtedy mieszkańcy Jabesz powiedzieli: Jutro wyjdziemy do was i uczynicie z nami wszystko, co się wam podoba.
11 Kesho yake Sauli alitenganisha watu wake katika vikosi vitatu; wakati wa zamu ya mwisho ya usiku wakaingia katika kambi ya Waamoni na kuwachinja mpaka mchana. Wale walionusurika wakasambaa, kiasi kwamba hawakusalia watu wawili pamoja.
Nazajutrz Saul podzielił lud na trzy oddziały. One wtargnęły do środka obozu podczas straży porannej i biły Ammonitów aż do dziennej spiekoty. Ci, którzy pozostali, rozpierzchli się tak, że dwóch razem nie zostało.
12 Kisha watu wakamwambia Samweli, “Ni nani yule aliyeuliza, ‘Je, Sauli atatawala juu yetu?’ Tuletee hawa watu, nasi tutawaua.”
Wtedy lud powiedział do Samuela: Kto to mówił: Czy Saul będzie królować nad nami? Wydajcie [tych] ludzi, abyśmy ich zabili.
13 Lakini Sauli akasema, “Hakuna hata mmoja atakayeuawa leo, kwa kuwa siku hii Bwana ameokoa Israeli.”
I Saul odpowiedział: Nikt nie zostanie zabity w tym dniu, gdyż dzisiaj PAN dokonał wybawienia w Izraelu.
14 Ndipo Samweli akawaambia watu, “Njooni, twendeni Gilgali na huko tuthibitishe ufalme.”
Potem Samuel odezwał się do ludu: Chodźcie, pójdziemy do Gilgal i tam odnowimy królestwo.
15 Kwa hiyo watu wote wakaenda Gilgali na kumthibitisha Sauli kuwa mfalme mbele za Bwana. Huko wakatoa dhabihu za sadaka za amani mbele za Bwana, naye Sauli na Waisraeli wote wakafanya karamu kubwa.
Cały lud wyruszył więc do Gilgal i tam ustanowili Saula królem przed PANEM w Gilgal. Tam też składali ofiary pojednawcze przed PANEM i bardzo się radowali, Saul i wszyscy Izraelici.

< 1 Samweli 11 >