< 1 Samweli 10 >
1 Ndipo Samweli akachukua chupa ndogo ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa cha Sauli, akambusu, akisema, “Je, Bwana hakukutia mafuta uwe kiongozi juu ya watu wake Israeli?
Amalu Sa: miuele da olife susuligi di, amo lale Solo ea dialuma da: iya soga: sili, Solo nonogolalu, amane sia: i, “Hina Gode da Ea fi dunu Isala: ili amo ouligima: ne, di mogili gagale ilegei dagoi. Di da Ea dunu fi ouligili amola ha lai dunuga gegenana hasalasisa: besa: le, noga: le gaga: mu. Amola dia da dafawaneyale dawa: ma: ne, Gode da Ea fi dunu gaga: ma: ne dima ilegei dagoi, amo dawa: digisu olelesu ba: ma.
2 Utakapoondoka kwangu leo, utakutana na watu wawili karibu na kaburi la Raheli, huko Selsa kwenye mpaka wa Benyamini. Watakuambia, ‘Punda wale uliotoka kwenda kuwatafuta, wamekwisha kupatikana. Sasa baba yako ameacha kufikiri kuhusu punda na sasa ana hofu kukuhusu wewe. Anauliza, “Nitafanyaje kuhusu mwanangu?”’
Dia da na wali yolesisia, Bediamini soge ganodini, Selesa moilaiga amoi La: isele uli dogoia goi dunu aduna gousa: mu. Elea da dima adomu, dougi dia hogolalu amo da ba: i. Be dia ada da dougi yolei amoga bu hame da: i diosa, be diha fawane da: i diosa, amola e da gebewane di abulibaiyale adole ba: la, ‘Na da na manoma adi hamoma: bela: ?’
3 “Kisha utakwenda mbele kutoka hapa mpaka uufikie mwaloni wa Tabori. Watu watatu wanaopanda kwa Mungu huko Betheli watakutana nawe hapo. Mmoja atakuwa amechukua wana-mbuzi watatu, mwingine mikate mitatu, na mwingine kiriba cha divai.
Di da amoinini ahoana Dabe sogebia sema ifa baia doaga: mu. Amogai dunu udiana da Bedele moilaiga Godema gobele sala afia: lebe ba: mu. Dunu afae e da goudi mano udiana oule manebe ba: mu. Eno amoea da agi gobei udiana agui ba: mu. Amola osoda da gadofo nodomei esa waini hano di nabane aguni manebe ba: mu.
4 Watakusalimu na kukupa mikate miwili, ambayo utaipokea kutoka kwao.
Ilia da dima hahawane yosia: mu amo ilia agi gobei higagale, digili aduna imunu, amasea amo da dia lama.
5 “Baada ya hayo utakwenda Gibea ya Mungu, ambapo hapo kuna kambi ya Wafilisti. Unapokaribia mji utakutana na kundi la manabii wakiteremka kutoka mahali pa juu wakiwa na vinubi, matari, filimbi na zeze vikipigwa mbele yao, nao watakuwa wakitoa unabii.
Amalu di da Gode Ea agolo Gibia moilai gadenene amoga asili, Filisidini ilia ha wa: i diasu dialoba amoga doaga: mu. Gibia moilai logo holeiga di da balofede dunu gadigiwane, agoloa gadenene Godema oloda da: iya gobele salalu manebe ba: mu. Ilia da sani baidama, ilibu amola buni fulabosa dusa manebe ba: mu. Ilia da gafosa amola gesami hea: dudalebe ba: mu.
6 Roho wa Bwana atakuja juu yako kwa nguvu, nawe utatoa unabii pamoja nao; nawe utageuzwa kuwa mtu wa tofauti.
Hedolole asili, Gode Ea A: silibu Hadigidafa da dia da: i ganodini aligila sa: ili, Ea di ouligimu, amalu di da ilia gafobe amoga madelale gafomu amola dia da: i da afadenei ba: mu.
7 Mara ishara hizi zitakapotimizwa, fanya lolote mkono wako upasao kufanya, kwa kuwa Mungu yu pamoja nawe.
Amo liligi dima doaga: sea, Gode Ea dima olelebe ba: sea amanewane hamoma.
8 “Tangulia kushuka mbele yangu mpaka Gilgali. Hakika nami nitateremka nikujie ili kutoa dhabihu za sadaka za kuteketezwa na dhabihu za amani, lakini lazima ungoje kwa siku saba hata nitakapokujia na kukuambia likupasalo kufanya.”
Di da na bisili Giliga: lega masunu. Amoga na da di gousa: le amola gobele salawane sia: ne gadosu hamomu, amola gilisili sia: ne gadosu hamomu. Amogai eso fesuale ouesalu, amasea na misini dima amane hamoma: ne sia: mu.”
9 Ikawa Sauli alipogeuka kumwacha Samweli, Mungu aliubadilisha moyo wa Sauli, na ishara hizi zote zikatimizwa siku ile.
Solo da Sa: miuele yolesili masunusa: deligi galoba, Gode da Soloma hou eno i. Amola hou huluane Sa: miuele ea Soloma adoi huluane eso amogala doaga: i.
10 Walipofika Gibea, akakutana na kundi la manabii. Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akajiunga nao katika kutoa unabii kwao.
Solo amola ea hawa: hamosu dunu ela da Gibiaga doaga: loba, balofede dunu gilisili dialu da e yosia: i. Be Gode Ea A: silibu da ema aliligila sa: iba: le, e da hedolole fasili balofede dunu oda amola bubuiya gamofogolalebe ba: i.
11 Ikawa wale wote waliomfahamu hapo mwanzo walipomwona akitoa unabii pamoja na manabii, wakaulizana, “Ni nini hiki kilichomtokea mwana wa Kishi? Je, Sauli naye pia yumo miongoni mwa manabii?”
Dunu amo da musa: Solo dawa: i, ilia da Solo ea hamobe ba: le amola ilisu adole ba: i, “Gisa ea mano goe da abuli hamobela: ? Solo da balofede dunu hamobela: ?”
12 Mtu mmoja ambaye aliishi huko akajibu, “Je, naye baba yao ni nani?” Basi ikawa mithali, kusema, “Je, Sauli pia yumo miongoni mwa manabii?”
Dunu amoi fifilasu da amane adole ba: i, “Ma! Balofede dunu oda goe da nowala: ? Dia dawa: loba da ilia eda da nowala: ?” Amaiba: le, sia: ilia da wali sia: da, “Solo amola da dafawane balofede dunu hamobela: ?” amo sia: da amoga mui.
13 Baada ya Sauli kumaliza kutoa unabii, alikwenda mahali pa juu.
Solo da bubuluba gagaousa: lai dagoloba, e da agologa, gobele salasu oloda da: iya amoga gado heda: i.
14 Basi babaye mdogo akamuuliza Sauli na mtumishi wake, “Je, mlikuwa wapi?” Akajibu, “Tulikuwa tukiwatafuta punda. Lakini tulipoona hawapatikani, tulikwenda kwa Samweli.”
Solo ea aeyama da Solo amola ea hawa: hamosu dunu ba: beba: le, elama adole ba: i, “Alia da habi lalu?” Solo da dabe adole i, “Ania da dougi hohogola lalu. Ania da dougi hame ba: beba: le, ania da Sa: miuelema ba: la asi.”
15 Babaye mdogo Sauli akasema, “Niambie Samweli amekuambia nini.”
Solo ea aeyama da ema adole ba: i, “Amola e da alima adi sia: be?”
16 Sauli akajibu, “Alituhakikishia kwamba punda wamepatikana.” Lakini hakumwambia babaye mdogo kila kitu Samweli alichomwambia kuhusu ufalme.
Solo da bu adole i, “E da anima amane sia: i. Ohe da ba: i dagoi.” Be e da ea aeyamama, Sa: miuele ea Solo da hina bagade dunu hamoma: ma sia: i, amo da ema hame adoi.
17 Samweli akawaita watu wa Israeli kuja kwa Bwana huko Mispa,
Sa: miuele da dunu huluane Misiba moilaiga Hina Godema gilisima: ne sia: i.
18 naye akawaambia, “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Niliwatoa Israeli kutoka Misri, nami niliwaokoa toka nguvu za Misri na falme zote zilizowaonea.’
Amalu e da ilima amane sia: i, “Isala: ili ilia Hina Gode da dilima amane sia: sa, ‘Na da dili Idibidi soge ganodini esalu fadegalesi, amola Idibidi dunu ilia dili wadela: lesisa: besa: le, Na da gaga: i dagoi, amola dunu eno fi ilia dili banenesima: ne hamonanu, Na da gaga: i dagoi.
19 Lakini sasa mmemkataa Mungu wenu, ambaye anawaokoa toka katika maafa yenu yote na taabu zenu zote. Nanyi mmesema, ‘Hapana, tuteulie mfalme atutawale.’ Sasa basi, jihudhurisheni wenyewe mbele za Bwana kwa kabila zenu na kwa koo zenu.”
Na da dia Gode, Na fawane dilima se nabasu amola gasa bagade hou mabe amoga gaga: su, be wali dili da Na higale amola dilia dilisu hina bagade eno lamusa: Nama adole ba: i. Defeawane, amaiba: le dilia fisili dilia fi afae afae amola sosogo fi afae afae ladili Hina Gode midadi gegedoma.’”
20 Samweli alipoyasogeza makabila yote ya Israeli, kabila la Benyamini likachaguliwa.
Amalu, Sa: miuele da sosogo fi huluane gegedola misa: ne sia: i, amalu Hina Gode da Bediamini ea sosogo fi ilegei.
21 Kisha akalisogeza mbele kabila la Benyamini, ukoo kwa ukoo, nao ukoo wa Matri ukachaguliwa. Mwishoni Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa. Lakini walipomtafuta, hakuonekana.
Amalu, Sa: miuele da Bediamini egaga fi dunu amo fawane ema gasiguda: ma: ne sia: i, amalu Ma: dili ea sosogo fi amo gadili aliagalesi ba: i. Amalu Ma: dili ea sosogo fi dunu ilia bu gasiguda: i, amola Solo, Gisa ea mano da bu gadili aliagai ba: i. Ilia da Solo hohogola lai, be e hame ba: beba: le,
22 Wakazidi kuuliza kwa Bwana, “Je, huyo mtu amekwisha kufika hapa?” Naye Bwana akasema, “Ndiyo, amejificha katikati ya mizigo.”
ilia da Hina Godema adole ba: i, “Dunu eno da ganabela: ?” Hina Gode da adole i, “Solo da liligi sagomusa: lidili gala: su diasuha gadili wamoaligisa.”
23 Wakakimbia na kumleta kutoka huko, naye aliposimama katikati ya watu, alikuwa mrefu kuliko watu wengine wote.
Amalalu, ilia da hehenaia asili, dunu aligi dogoa Solo lelu amo oule misi. Amo ilia ba: loba, e da dunu sedadedafa, ela defele da afae hame ba: i.
24 Samweli akawaambia watu wote, “Je, mnamwona mtu ambaye Bwana amemchagua? Hayupo aliye kama yeye miongoni mwa watu wote.” Ndipo watu wakapiga kelele, wakasema, “Mfalme na aishi maisha marefu.”
Sa: miuele da dunu ilima amane sia: i, “Hina Gode Ea lama: ne ilegei dunu amo da goea! Wegai da dunu niniga da e agoai afae hame.” Dunu huluane da wele sia: i, “Hina bagade da mae bogole, sedagawane fifi ahoanumu da defea!”
25 Samweli akawaeleza watu madaraka ya ufalme. Akayaandika kwenye kitabu na kuweka mbele za Bwana. Kisha Samweli akawaruhusu watu, kila mmoja aende nyumbani kwake.
Sa: miuele da hina bagade ea hawa: hamosu amola eno ouligisu hou bai amo meloa da: iya dedene, sogebi hadigidafa amoga ligisi. Amalu dunu huluane afia: ma: ne sia: i.
26 Sauli pia akaenda nyumbani kwake huko Gibea, akisindikizwa na watu hodari ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao.
Solo amolawane bu Gibiaga, buhagi. Gasa bagade dunu oda Gode ili dogoga digilisili gasa i dunu amolawane Solo fisili asi.
27 Lakini baadhi ya watu wakorofi walisema, “Huyu mtu atawezaje kutuokoa?” Wakamdharau na wala hawakumletea zawadi. Lakini Sauli akanyamaza kimya.
Be dunu oda noga: le hame dadawa: su dunu ilia da amane sia: i, “Dunu goea da ninima adi liligi ida: iwane gala hamoma: bela: ?” Ilia da Soloma higale, igili hahawane udigili iasu liligi afae ema hame gaguli misi.