< 1 Petro 1 >

1 Petro, mtume wa Yesu Kristo: Kwa wateule wa Mungu, wageni katika ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.
Untumwa u Peteri wa Yesu Kiristi, abhajenu bhaulugabhanyo, hwa asalulwa abha Ponto yonti, Galatia, Kapadokia, Asia, ni Bithinia,
2 Ni ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba kulingana na alivyotangulia kuwajua, kupitia kwa kazi ya utakaso wa Roho, katika utiifu kwa Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake: Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi.
afumilane mu umanye wa Ngolobhe, u Dada, hwa zehufye nu umpepo umfinjile hwa hwogope hwa Yesu Kilisti hwa hwitilizye idanda lyakwe. Weeneibhe lumwinyu nu tenganu winyu wonjele.
3 Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametuzaa sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kupitia kwa kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,
Ungulubhi uDada Ugosi witu Yesu Kilisti asa wi yiwaje. Hugosi wi nkumbu yakwe ahatipela apapwe winza hwa udandamazu wi mpyano izya zyushe hwa Yesu Kilisti afume hubhafwe,
4 ili tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule usionyauka: uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu,
hwi puano lyesagalimaliha sebhubhabhe ni ntavu sebhubhatapushe. Tibhishilevea mwanya nu Nguluvi.
5 ninyi ambao mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani, hadi uje ule wokovu ulio tayari kufunuliwa nyakati za mwisho.
Hu ngovu zya Unguluvi tidimwa ashilile mlwitiho ulwilohele wewuliho wigulilwe hunsiku zya humpelela.
6 Katika hili mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo kidogo mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna nyingi.
Mushanje hwili poshe ihwanziwa huyumvwe insibho hwajelo zyontizila.
7 Haya yamewajia ili kwamba imani yenu, iliyo ya thamani kuliko dhahabu ipoteayo, ingawa hujaribiwa kwa moto, ionekane kuwa halisi na imalizie katika sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atadhihirishwa.
Izi huhuje ulwitiho lwinyu lujelwa ulwitiho lwe gosi ashile impiya zyezitaga mumwoto, winjelo zyilwitiho lwetu injelo zifumila huje ulwitiho lubhe nu mpopo uwinza ni nshinshi muzyusyo wa Yesu Kilisiti.
8 Ingawa hamjamwona, mnampenda; tena ingawa sasa hammwoni, mnamwamini na kujawa na furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka.
Semhunola lakini mungine. Semhunola isalizi lakini mhwitiha hwa mwene aje usungwo wewumemile utumtumu.
9 Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.
Eshi muposhela mwinimwi imbombo zyilwitiho lwinyu, ulokole uwa mhati.
10 Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii waliosema kuhusu neema ambayo ingewajia ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu mkubwa,
Akuwa bhahanzile abhuzye hai aje ulokole ubhu uwiwene handi winyu.
11 wakijaribu kujua ni wakati upi na katika mazingira gani ambayo Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alionyesha, alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao ungefuata.
Bhahanzile amanye ajeulokole bhuliwe handi winzile. Nantele bhanzile amanye huje ahabhalilizyo bhuli umpepo Kilisti yali mhati yabho ayanjile henu nabho ili lyafumie lula lwe abhabhuzyaga nzila aje amayimba ga Kilisti nu tuntumwe wunginza.
12 Walidhihirishiwa kwamba walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali waliwahudumia ninyi, waliponena kuhusu mambo hayo, ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale waliowahubiria ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanatamani kuyafahamu mambo haya.
Yakunkwilwe hwa kuwa aje bhabhombelaga imbombo izi natwi hwabhibho twali namwi injango zyi imbombi izi ashilile bhala bhebhahwanza ni zwi humwinya hwidala ilya mpepo umfinjile ya tumwilwe afume humwanya imbombo zye antumi bhayigana agubulilwe hwakwe.
13 Kwa hiyo, tayarisheni nia zenu kwa kazi; mwe na kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa Yesu Kristo atakapodhihirishwa.
Ishi mpinye unsana winjele zyinyu mubhemyee munsibho zyinyu mubhe ni khone ugolosu mu wene wewahayiyinza humwinyulwe ayigubulwa uYesu Kilisti.
14 Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.
Ndeshe abhana bhebhahwiha msahapinywe mwimimwi nu pafu we mwalondole lula le mwali se mwali semwaminye.
15 Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.
Lelo ndeshe shabhakwizizye shahali ngolosu namwi mubhe bhagolosu injendo zyinyu.
16 Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
Ishi lisimbilwe aje mubhe bhagolosu hunongwa yani indi ngolosu.
17 Kwa sababu mnamwita Baba ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama wageni.
Nke mwankwizya “uDaada” yalonga hwi lyoli alingane ni mbombo zya muntu wowonti jendaga na masala ushulo na huyisye.
18 Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,
Mumunye aje saga yali huhela - ivintu vyevinanjiha vyebinanjiha vye mulokoshe afume hu njendo zyinyu izyilema zyemwahamanyie afume hwaso bhinyu.
19 bali kwa damu ya thamani ya Kristo, yule Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa.
Lelo mlokoshe huidanda lyinshishi ya Kilisiti ndeshe lyingole inyiza yesili namadenaje.
20 Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
Lelo uYesu ahali afume huwando wi insi lelo insiku izi izyahumpelela agubulilwe humwinyu.
21 Kupitia kwake mmemwamini Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu na akampa utukufu, ili imani yenu na tumaini lenu ziwe kwa Mungu.
Mumwitishe Ungulubhi ashilile nuva mwene, yu Ngulubhi anzyusizye afume hubhafwe ye ahampiye utuntumu aje ulitiho lwitu lubhe dandamazu hwa Nguluvhi.
22 Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.
Mubhombile mmyoyo ginyu abhe mazelu ahwitishile ilyoli hwa huje ulugano lwa holo nu golosu muganane hani afume mmoyo.
23 Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
Mupapilwe ulwa bhili siga humbeyu yinanjicha imbeya yasihanjiha ashilile huwumi wizwi lya Nguluvhi lyelisagiye. (aiōn g165)
24 Maana, “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni; majani hunyauka na maua huanguka,
Huje amabili gonti galije masole nu tuntumu wakwe wonti ndeshe iua lyitundu itundu lyesalihwuma nagwe.
25 lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)
Lelo izwi lya Ngulubhi lisyalawila.” Ili lizwi lyelumbililwe hulitwe. (aiōn g165)

< 1 Petro 1 >