< 1 Petro 1 >

1 Petro, mtume wa Yesu Kristo: Kwa wateule wa Mungu, wageni katika ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.
Petorosi, mwapositola wa Jesu Kirisite, kuva yedi ve nako, vava kwetwa, mukati kose ka Potiasi, Magalatia, Cappadocia, Asia, ni Bathiania.
2 Ni ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba kulingana na alivyotangulia kuwajua, kupitia kwa kazi ya utakaso wa Roho, katika utiifu kwa Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake: Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi.
Cho kutenda kezivo yokuvusu ye Ireenza Ishetu. Ivali cho kuchenisa ni Luhuwo lo kuzumina ni kwi tilela malaha a Jesu Krisite. Linu chisemo chive ni we, ni kozo yako iyekeze.
3 Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametuzaa sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kupitia kwa kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,
Ke Ireenza ni Esi wa Jesu Krisite a fulyolwe. Muvukando bwe chishemo chakwe, cha tuha ku zwala cihya ke sepo yo kuyola. Ichi chiyolo chi keza kezila yo kuvuka kwa Jesu Krisite kuva fwile.
4 ili tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule usionyauka: uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu,
Kono ichi ciyolo chisa maani, kese chive ni vuvi, kete ni chi mane. chivi kilwe inwe kwiwulu.
5 ninyi ambao mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani, hadi uje ule wokovu ulio tayari kufunuliwa nyakati za mwisho.
Mu silelezitwe cha maata a Ireenza che tumero, cho kuhazwa kulivelelwe kuvoneka kumani mani enako.
6 Katika hili mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo kidogo mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna nyingi.
Mi usangite kuamana nezi, ni kuvavulyo kuswanela kuti nova lizuwi vuvi mu bukabo vushutana shutana.
7 Haya yamewajia ili kwamba imani yenu, iliyo ya thamani kuliko dhahabu ipoteayo, ingawa hujaribiwa kwa moto, ionekane kuwa halisi na imalizie katika sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atadhihirishwa.
Uko kulika itumelo yenu, mi kwina vutokwa ahulu kuhita gaunda isinyeha, ni hailikwa mumulilo. Izi zitendehala kuti itumelo iwanike mwi tumbo, ikanya, ni kute kuku bonahaza Jesus Christe.
8 Ingawa hamjamwona, mnampenda; tena ingawa sasa hammwoni, mnamwamini na kujawa na furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka.
Kena muvamuvoni, kono mumusaka. Kamumu voni hanu, kono muzumina kwali ni mutavite ni tavo isawambiwa, inkanya ye tavo.
9 Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.
Kono hanu mutambula kwenu bulyo mupuzo we tumelo yenu, kuhazwa kwo luhuwo lwenu.
10 Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii waliosema kuhusu neema ambayo ingewajia ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu mkubwa,
Vafolofita vava sakisisi ni kwiza ahulu kuamana zo kuhazwa, kuamaana ni chisemo chese chibe cenu.
11 wakijaribu kujua ni wakati upi na katika mazingira gani ambayo Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alionyesha, alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao ungefuata.
Chiva sakisisa kwi ziva uzo ni lili ni Luhuwo lwa Krisite haluvali kuwamba kuvali. Inzi ziva pangahali ziva wambirwa havusu kuamaana ni kunyadiswa kwa Christe zitu ze kanya kuzwa aho.
12 Walidhihirishiwa kwamba walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali waliwahudumia ninyi, waliponena kuhusu mambo hayo, ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale waliowahubiria ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanatamani kuyafahamu mambo haya.
Zive zinveki kuva vopolofita kuti hati vavali kulitusa avo vene, kono enwe. Ichi chi vavali kutenda kuamaana ni zitu zi muva wambilwi kamukwa wo Luhuwo Lujolola, uvatumwa kuzwa kwi wulu. Izi zitu nanga magiloyi alakazwa kuvoniswa.
13 Kwa hiyo, tayarisheni nia zenu kwa kazi; mwe na kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa Yesu Kristo atakapodhihirishwa.
Cwale mutende muzezo yenu hande. Musiye kukolwa. Muvike isepo yose muchisemo chileta kwi ziveka kwa Jesu Krisite.
14 Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.
Ha tuli tuvana ve chilila, musiye ku swana itakazo nezina zimuvali kwichilile ni musezi niti.
15 Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.
Kono iye avamisupi u jolola, inwe, nanwe, mujolole mumaikuto enu wonse.
16 Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
Kakuli kuñoletwe, “Mu jolole, kakuli ime ni jolola.”
17 Kwa sababu mnamwita Baba ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama wageni.
Mi hamusupa “Ishetu” iye yenke uyatula zwimwi ni ku sena isovozi kuamana ni mutendo wo mutu, muhinde inako mumusipili ni sabo.
18 Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,
Mwizi kuti hati kavali ke silivera ni gauda efwa iva muhanzi kuvu holo ye mimitedo imuva lituti kuve ishenu.
19 bali kwa damu ya thamani ya Kristo, yule Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa.
Hakuli vulyo, u va hazwa ni malaha avutokwa a Krisite, avali kuswana ni imbelele isena chivata.
20 Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
Krisite ava saliwa pili ni misumo ye kanda, kono hanu chali zivahalisa kwenu mwinako ya manimani.
21 Kupitia kwake mmemwamini Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu na akampa utukufu, ili imani yenu na tumaini lenu ziwe kwa Mungu.
Chakwe muzumina kwe Ireenza, ava muvusi kuvafu mi kuvamwi chavaha ikanya kuti itumero yavo ni sepo ive kwe Ireenza.
22 Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.
Muvatendi luhuwo lwenu kujolola choku zumina kwi niti. Ichi chivalikutenda mulelo wo vulikani mwi rato, cwale mulisake ahulu mwi kulo.
23 Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
Linu mu vanzalwa chihya, isini ketanga ivola, kono che tanga isavoli, muvuhalo ni lizwi lye Ireenza likalilila. (aiōn g165)
24 Maana, “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni; majani hunyauka na maua huanguka,
Ke “nyama yonse iswana sina lyani, ni ikanya yateni yonse iswana nipalisa ya lyani. Lyani lizuma, ni palisa ziwila hasi,
25 lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)
Kono lizwi ye Ireenza likalilila kuya kwile. “Ichi makande malotu ave zibiswa kwenu. (aiōn g165)

< 1 Petro 1 >