< 1 Petro 5 >

1 Kwa wazee waliomo miongoni mwenu, nawasihi mimi nikiwa mzee mwenzenu, shahidi wa mateso ya Kristo, na mshiriki katika utukufu utakaofunuliwa:
Тож благаю між вами пресві́терів, співпресві́тер та свідок Христових стражда́нь, співучасник слави, що повинна з'явитись:
2 lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.
пасіть стадо Боже, що у вас, наглядайте не з примусу, але добровільно по-Божому, не для брудної наживи, а ревно,
3 Msijifanye mabwana juu ya wale walio chini ya uangalizi wenu, bali kuweni vielelezo kwa hilo kundi.
не пануйте над спа́дком Божим, але будьте для стада за взір.
4 Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.
А коли Архипа́стир з'я́виться, то одержите ви нев'яну́чого вінка́ слави.
5 Vivyo hivyo, ninyi mlio vijana watiini wazee. Nanyi nyote imewapasa kujivika unyenyekevu kila mtu kwa mwenzake, kwa kuwa, “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”
Також молоді, — коріться ста́ршим! А всі майте покору один до о́дного, бо „Бог проти́виться гордим, а смиренним дає благода́ть!“
6 Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake.
Тож покоріться під міцну́ Божу руку, щоб Він вас Свого ча́су пови́щив.
7 Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu.
Покладіть на Нього всю вашу журбу́, бо Він опікується вами!
8 Mwe na kiasi na kukesha, maana adui yenu ibilisi huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mtu ili apate kummeza.
Будьте твере́зі, пильнуйте! Ваш супроти́вник — диявол — ходить, ричучи́, як лев, що шукає пожерти кого́.
9 Mpingeni, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kwamba mateso kama hayo yanawapata ndugu zenu pote duniani.
Противтесь йому́, тверді в вірі, знавши, що ті самі му́ки трапляються й вашому братству по світу.
10 Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios g166)
А Бог усякої благодаті, що покликав вас до вічної слави Своєї в Христі, нехай Сам удоскона́лить вас, хто трохи поте́рпів, хай упе́внить, зміцни́ть, уґрунтує. (aiōnios g166)
11 Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Йому слава та вла́да на вічні віки, амі́нь. (aiōn g165)
12 Kwa msaada wa Silvano, ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.
Я коротко вам написав через Силуя́на, як гада́ю — вірного брата. Закликаю та свідчу, що це Божа благода́ть правдива, що ви в ній стоїте́.
13 Kanisa lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.
Вітає вас ра́зом ви́брана Церква в Вавилоні, і Ма́рко, мій син.
14 Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo.
Вітайте один о́дного поцілунком любови. Мир вам усім у Христі! Амінь.

< 1 Petro 5 >