< 1 Petro 5 >

1 Kwa wazee waliomo miongoni mwenu, nawasihi mimi nikiwa mzee mwenzenu, shahidi wa mateso ya Kristo, na mshiriki katika utukufu utakaofunuliwa:
Seepärast ma julgustan kogudusevanemaid teie seas, olles ise kaasvanem ja Kristuse kannatuste tunnistaja ning osaline tulevasest kirkusest:
2 lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.
hoidke teile usaldatud Jumala karja ja vaadake selle järele mitte kohustuse pärast, vaid vabatahtlikult Jumalaga kooskõlas, mitte kasuahnelt, vaid innukalt!
3 Msijifanye mabwana juu ya wale walio chini ya uangalizi wenu, bali kuweni vielelezo kwa hilo kundi.
Ärge võimutsege teile antud osa üle, vaid olge karjale eeskujuks!
4 Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.
Ja kui Ülemkarjane ilmub, saate kirkuse närtsimatu pärja.
5 Vivyo hivyo, ninyi mlio vijana watiini wazee. Nanyi nyote imewapasa kujivika unyenyekevu kila mtu kwa mwenzake, kwa kuwa, “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”
Samuti nooremad, alistuge vanematele! Ja riietuge kõik alandlikkusega üksteise vastu, sest „Jumal paneb vastu kõrkidele, aga alandlikele annab ta armu“.
6 Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake.
Seepärast alanduge Jumala vägeva käe alla, et tema teid omal ajal ülendaks!
7 Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu.
Heitke kogu oma ärevus tema peale, sest tema hoolib teist!
8 Mwe na kiasi na kukesha, maana adui yenu ibilisi huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mtu ili apate kummeza.
Olge kained, valvake! Teie süüdistaja kurat käib ringi nagu möirgav lõvi ja otsib, keda neelata.
9 Mpingeni, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kwamba mateso kama hayo yanawapata ndugu zenu pote duniani.
Seiske talle vastu kindlalt usus, teades, et samasuguseid kannatusi peavad kandma kõik teie vennad ja õed kogu maailmas.
10 Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios g166)
Aga kogu armu Jumal, kes teid on kutsunud oma igavesse kirkusesse Kristuses Jeesuses, taastab, kinnitab, teeb tugevaks ja toetab teid, kui te üürikest aega olete kannatanud. (aiōnios g166)
11 Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Tema päralt olgu võim igavesest ajast igavesti! Aamen. (aiōn g165)
12 Kwa msaada wa Silvano, ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.
Siilase, minu arvates usaldusväärse venna abil olen ma teile kirjutanud mõne sõna julgustuseks ja kinnituseks, et see on tõeline Jumala arm, milles peaksite püsima!
13 Kanisa lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.
Teid tervitab kogudus Paabelis, kes on valitud nagu teiegi, ja minu poeg Markus.
14 Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo.
Tervitage üksteist armastuse suudlusega! Rahu teile kõikidele, kes olete Kristuses!

< 1 Petro 5 >