< 1 Petro 5 >

1 Kwa wazee waliomo miongoni mwenu, nawasihi mimi nikiwa mzee mwenzenu, shahidi wa mateso ya Kristo, na mshiriki katika utukufu utakaofunuliwa:
De Ældste iblandt eder formaner jeg som Medældste og Vidne til Kristi Lidelser, som den, der også har Del i Herligheden, der skal åbenbares:
2 lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.
Vogter Guds Hjord hos eder, og fører Tilsyn med den, ikke tvungne, men frivilligt, ikke for slet Vindings Skyld, men med Redebonhed;
3 Msijifanye mabwana juu ya wale walio chini ya uangalizi wenu, bali kuweni vielelezo kwa hilo kundi.
ikke heller som de, der ville herske over Menighederne, men som Mønstre for Hjorden;
4 Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.
og når da Overhyrden åbenbares, skulle I få Herlighedens uvisnelige Krans.
5 Vivyo hivyo, ninyi mlio vijana watiini wazee. Nanyi nyote imewapasa kujivika unyenyekevu kila mtu kwa mwenzake, kwa kuwa, “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”
Ligeså, I unge! underordner eder under de ældre; og ifører eder alle Ydmyghed imod hverandre; thi "Gud står de hoffærdige imod, men de ydmyge giver han Nåde."
6 Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake.
Derfor ydmyger eder under Guds vældige Hånd, for at han i sin Tid må ophøje eder.
7 Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu.
Kaster al eders Sørg på ham, thi han har Omsorg for eder.
8 Mwe na kiasi na kukesha, maana adui yenu ibilisi huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mtu ili apate kummeza.
Vær ædru, våger; eders Modstander, Djævelen, går omkring som en brølende Løve, søgende, hvem han kan opsluge.
9 Mpingeni, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kwamba mateso kama hayo yanawapata ndugu zenu pote duniani.
Står ham imod, faste i Troen, vidende, at de samme Lidelser fuldbyrdes på eders Brødre i Verden.
10 Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios g166)
Men al Nådes Gud, som kaldte eder til sin evige Herlighed i Kristus Jesus efter en kort Tids Lidelse, han vil selv fuldelig berede eder, styrke, bekræfte, grundfæste eder! (aiōnios g166)
11 Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Ham tilhører Magten i Evighedernes Evigheder! Amen. (aiōn g165)
12 Kwa msaada wa Silvano, ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.
Med Silvanus, den trofaste Broder (thi det holder jeg ham for), har jeg i Korthed skrevet eder til for at formane og bevidne, at dette er Guds sande Nåde, hvori I stå.
13 Kanisa lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.
Den medudvalgte i Babylon og min Søn, Markus, hilser eder.
14 Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo.
Hilser hverandre med Kærligheds Kys! Fred være med eder alle, som ere i Kristus!

< 1 Petro 5 >