< 1 Petro 4 >
1 Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni nia iyo hiyo kwa maana mtu aliyekwisha kuteswa katika mwili ameachana na dhambi.
Lino pakwinga Klistu walanyumfwa byeshikubaba, nenjamwe kamuliyuminishani ne miyeyo ilico, pakwinga uliyense lanyumfunga byeshikubaba lalekana ne bwipishi.
2 Kwa hivyo, haishi maisha yake yaliyobaki ya kuishi hapa duniani kwa tamaa mbaya za wanadamu, bali anaishi kwa mapenzi ya Mungu.
Neco pacindi ncoti mwikale panshi pano, konkelani kuyanda kwa Lesa, muleke kukonkela lunkumbwa lwa bantu.
3 Maana wakati uliopita mmekwisha kutumia muda wa kutosha katika maisha yenu mkifanya yale ambayo wapagani hupenda kutenda: wakiishi katika uasherati, tamaa mbaya, ulevi, karamu za ulafi, vileo, ngoma mbaya, na ibada chukizo za sanamu.
Mwalikutayowa cindi kwinsa bintu mbyebasuni bakunsa. Mwalikwinsa bintu byasafwana, lunkumbwa lwaipa, ne kukolewa, nebukuma ne kulondola pakunwa kayi ne kukambilila tumbwanga kwasesemya.
4 Wao hushangaa kwamba ninyi hamjiingizi pamoja nao katika huo wingi wa maisha ya ufisadi, nao huwatukana ninyi.
Nomba lino bantu bakunsa balakankamananga pakuboneti mulaleke kwinshila pamo byaipa mbyebalenshika mwakutalikanisha, ecebo cakendi lino balamutukananga.
5 Lakini itawapasa wao kutoa hesabu mbele zake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.
Nomba nibakayandiketi balyambilile bene mulandu wabo kuli Lesa uyo walibambila kombolosha bayumi ne bafwa.
6 Kwa kuwa hii ndiyo sababu Injili ilihubiriwa hata kwa wale waliokufa, ili wahukumiwe sawasawa na wanadamu wengine katika mwili, lakini katika roho waishi kulingana na Mungu aishivyo.
Ecebo cakendi Mulumbe Waina walakambaukwa kubafu, kuli bantu balomboloshewa kabacili mumubili, nsombi mumushimu babe nebuyumi eti Lesa.
7 Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.
Lino, mapwililisho a bintu byonse alaba pepi. Kamubani bacetuka kayi beshikulikanisha, kwambeti mucikonshe kupaila.
8 Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
Cilayandikinga nicakwambeti kamusunana, pakwinga lusuno lukute kufukila bwipishi bwingi.
9 Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
Mufwakashilanenga mwakubula kutongauka.
10 Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
Cipo uliyense ncalatambula kuli Lesa, acisebenseshe ku munendi. Mubeti mukulene wa ncito lasebenseshenga bipo byapusana pusana mbyalatambula kuli Lesa.
11 Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Uliyense akambaukanga, akambauke maswi a Lesa. Uliyense lasebensenga, asebense mwangofu nshalapewa ne Lesa, kwambeti mubintu byonse, bulemu bupewe kuli Lesa kupitila muli Yesu Klistu. Bulemu ne ngofu nibyakendi cindi conse. Amen. (aiōn )
12 Wapenzi, msione ajabu kwa yale mateso yanayotukia miongoni mwenu, kana kwamba ni kitu kigeni kinachowapata.
Mobansebame, kamutakankamana ne mapensho ngomulelekeshewanga, kamutayeyeti alanyanyishi sobwe.
13 Bali furahini kuwa mnashiriki katika mateso ya Kristo, ili mpate kufurahi zaidi wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
Nomba kamukondwani mwanyumfwanga byeshikubaba pamo ne Klistu, kwambeti akesa mubulemu mukakondwe.
14 Kama mkitukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu Roho wa utukufu na wa Mungu anakaa juu yenu.
Bantu bamutukana cebo ca lina lya Klistu mukute colwe pakwinga e Mushimu wabulemu, Mushimu wa Lesa ngwalabiki palinjamwe.
15 Lakini asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu anayeteswa kwa kuwa ni muuaji, au mwizi, au mhalifu wa aina yoyote, au anayejishughulisha na mambo ya watu wengine.
Kapataba naba umo pakati penu eshacanike mumapensho pacebo cakushina muntu, nambi cebo ca kwiba, nambi cebo cakwinsa cintu caipa ciliconse, kayi nambi shikwingila mumakani abantu bambi.
16 Lakini kama ukiteseka kwa kuwa Mkristo, usihesabu jambo hilo kuwa ni aibu, bali mtukuze Mungu kwa sababu umeitwa kwa jina hilo.
Nomba na mulanyumfunga byeshikubaba pacebo cakuba baklistu, kamutanyumfwa nsoni sobwe, lemekeshani Lesa cebo ca lina lya Klistu.
17 Kwa maana wakati umewadia wa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Basi kama ikianzia kwetu sisi, mwisho wa hao wasiotii Injili ya Mungu utakuwaje?
Cindi cilaba pepi kwambeti Lesa atatike kombolosha bantu bakendi, lino na lombolosho lutatikila pali njafwe, inga nikukabeconi ku bantu batanyumfu Mulumbe Waina ulafumunga kuli Lesa?
18 Basi, “Ikiwa ni vigumu kwa mwenye haki kuokoka, itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?”
Mbuli Mabala ncalambangeti, “Na bantu balulama nibakapuluke mwakupenga, inga nicikabeconi kuli bantu baipa beshikunyansha Lesa?”
19 Kwa hiyo, wale wanaoteswa kulingana na mapenzi ya Mungu, wajikabidhi kwa Muumba wao aliye mwaminifu, huku wakizidi kutenda mema.
Ecebo cakendi abo balanyumfunga byeshikubaba cebo cakwambeti encalayandanga Lesa, balitwale mumakasa a Lesa wabo washomwa ukute kusunga cipangano cakendi.