< 1 Petro 4 >

1 Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni nia iyo hiyo kwa maana mtu aliyekwisha kuteswa katika mwili ameachana na dhambi.
Henu, kwa kuj'ha Kristu atesibhu mu m'mb'ele, mwikifwekai silaha sya nia j'helaj'hela. Muene j'ha atesiki mu m'mbele abhaokhene ni dhambi.
2 Kwa hivyo, haishi maisha yake yaliyobaki ya kuishi hapa duniani kwa tamaa mbaya za wanadamu, bali anaishi kwa mapenzi ya Mungu.
Munu ojhu ij'hendilila lepi kabhele kutama ni tamaa sya m'mb'ele, bali kwa mapenzi gha k'yara, kwa maisha ghake gha ghasiele.
3 Maana wakati uliopita mmekwisha kutumia muda wa kutosha katika maisha yenu mkifanya yale ambayo wapagani hupenda kutenda: wakiishi katika uasherati, tamaa mbaya, ulevi, karamu za ulafi, vileo, ngoma mbaya, na ibada chukizo za sanamu.
Kwa kuj'ha muda ghwaghulotili ghufuene kubhomba mambo ambagho bhamataifa bhilonda kubhomba- ufisadi, nia j'hibhibhi, bhulevi, bhulafi, sherehe sya kipagani ni ibada sya sanamu syasijhele ni machukizo.
4 Wao hushangaa kwamba ninyi hamjiingizi pamoja nao katika huo wingi wa maisha ya ufisadi, nao huwatukana ninyi.
Bhifikiri ndo ajabu pamwikibhsya kubhomba mambo agha pamonga nabhu, hivyo bhinene maovu juu j'hinu.
5 Lakini itawapasa wao kutoa hesabu mbele zake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.
Bhibeta kuhomesya hesabu kwa j'ha aj'he tayari kuhukumu bhabhaj'hale hai ni bhafu.
6 Kwa kuwa hii ndiyo sababu Injili ilihubiriwa hata kwa wale waliokufa, ili wahukumiwe sawasawa na wanadamu wengine katika mwili, lakini katika roho waishi kulingana na Mungu aishivyo.
Kwa kusudi ele injili j'hahubiribhu kwa bhene bhabhamali kufwa, kuj'ha japokuwa bhamali kuhukumibhwa mu mibhele ghiabho kama bhanadamu, itibhabhwesiaghe kutama kul'engana ni k'yara mu roho.
7 Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.
Mwisho ghwa mambo agha ghoha ghwihida. Henu muj'hiagheni bhufahamu bhwabhuj'hele sahihi ne j'hij'hiaghe ni nia j'hinofu kwa ndabha j'ha maombi ghinu.
8 Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
Kabla gha mambo ghoha, mujh'iaghe ni bidii mu luganu kwa kila mmonga, kwa kuj'ha lugano bhwilonda lepi kufunula dhambi sya bhangi.
9 Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
Mulasiayi bhukarimu kwa kila mmonga bila kudada.
10 Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
Kama ambavyo kila mmonga ghwinu kyaapokili katama, mujhitumilajhi kuhudumilana, kama bhasimamizi bhanofu bha karama lihemele syasiho mesibhu mebhu ni k'yara.
11 Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Kama munu alongilili, j'hij'hiaghe kama mausia gha k'yara, na kama munu akahudumuayi, na j'hij'hiaghe kama bhuwezo bhwa ap'helibhu ni k'yara, ila kwa kila lijambo lya k'yara akabhai kutukusibhwa kup'hetela Yesu Kristu. Bhutukufu ni bhuweza fijhele nu muene milele na milele. Amina. (aiōn g165)
12 Wapenzi, msione ajabu kwa yale mateso yanayotukia miongoni mwenu, kana kwamba ni kitu kigeni kinachowapata.
Bhaganwa, msibhalangi janbu ambalyo lihida kubhaharibu kama khenu kihesya, ingawa kuj'ha k'henu kihesya kyakika j'hela kih'omela kwa muenga.
13 Bali furahini kuwa mnashiriki katika mateso ya Kristo, ili mpate kufurahi zaidi wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
Lakini kwa kadri kyamwizidi kukabha bhuzoefu bhwa malombosi gha Kristu, muhobhokai, ili kuj'ha muhobhokai pia ni kushangilila mu bhufunuo bhwa bhutukufu bhwake.
14 Kama mkitukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu Roho wa utukufu na wa Mungu anakaa juu yenu.
Iwapo mulighibhu kwa ndabha j'ha lihina lya Kristu, mbarikibhu, kwa ndabha j'ha roho mtakatifu ni roho ghwa k'yara itama panani p'hinu.
15 Lakini asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu anayeteswa kwa kuwa ni muuaji, au mwizi, au mhalifu wa aina yoyote, au anayejishughulisha na mambo ya watu wengine.
Lakini asiwi munu ghwa kul'ombosi ghwa kama nkomi, m'meji, m'mbomba maovu, au j'ha ikishughulisya ni mambo ghangi.
16 Lakini kama ukiteseka kwa kuwa Mkristo, usihesabu jambo hilo kuwa ni aibu, bali mtukuze Mungu kwa sababu umeitwa kwa jina hilo.
Lakini ikaj'hiayi munu itesibhwa kama mkristu, asibhoni soni, bali antukusiaghe k'yara mu lihina e'lu.
17 Kwa maana wakati umewadia wa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Basi kama ikianzia kwetu sisi, mwisho wa hao wasiotii Injili ya Mungu utakuwaje?
Kwa kuj'ha bhwakati bhufikiri kwa hukumu kubhwandila mu nyumba j'ha k'yara. Na kama j'hij'handila kwa tete, jhibeta kujha bhuli kwa bhala bhabhabelili kuntii injili j'ha k'yara?
18 Basi, “Ikiwa ni vigumu kwa mwenye haki kuokoka, itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?”
Ni kama “j'haaj'he ni haki ijhokolibhwa kup'hetela manonono, j'hibetakujhabhuli kwa munu j'haaj'helepi ni haki na j'haaj'he ni dhambi?”
19 Kwa hiyo, wale wanaoteswa kulingana na mapenzi ya Mungu, wajikabidhi kwa Muumba wao aliye mwaminifu, huku wakizidi kutenda mema.
Kwa hiyo bhoha bhabhil'ombosibhwa kutokana ni mapenzi gha k'yara bhakabisyaghe nafsi syabho kwa muumba mwaminifu ili hali bhakabhombayi manofu.

< 1 Petro 4 >