< 1 Petro 4 >
1 Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni nia iyo hiyo kwa maana mtu aliyekwisha kuteswa katika mwili ameachana na dhambi.
Christ therefore/then to suffer (above/for me *K*) flesh and you the/this/who it/s/he thought/purpose to arm that/since: since the/this/who to suffer (in/on/among *k*) flesh to cease (sin *NK(o)*)
2 Kwa hivyo, haishi maisha yake yaliyobaki ya kuishi hapa duniani kwa tamaa mbaya za wanadamu, bali anaishi kwa mapenzi ya Mungu.
toward the/this/who never again a human desire but will/desire God the/this/who remaining in/on/among flesh to live time
3 Maana wakati uliopita mmekwisha kutumia muda wa kutosha katika maisha yenu mkifanya yale ambayo wapagani hupenda kutenda: wakiishi katika uasherati, tamaa mbaya, ulevi, karamu za ulafi, vileo, ngoma mbaya, na ibada chukizo za sanamu.
sufficient for (me *K*) the/this/who to pass by time (the/this/who life *K*) the/this/who (plan *N(k)O*) the/this/who Gentiles (to workout/produce *N(k)O*) to travel in/on/among debauchery desire drunkenness orgy carousing and unlawful idolatry
4 Wao hushangaa kwamba ninyi hamjiingizi pamoja nao katika huo wingi wa maisha ya ufisadi, nao huwatukana ninyi.
in/on/among which to host not to flock you toward the/this/who it/s/he the/this/who debauchery outpouring to blaspheme
5 Lakini itawapasa wao kutoa hesabu mbele zake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.
which to pay word the/this/who readily to have/be (to judge *NK(o)*) to live and dead
6 Kwa kuwa hii ndiyo sababu Injili ilihubiriwa hata kwa wale waliokufa, ili wahukumiwe sawasawa na wanadamu wengine katika mwili, lakini katika roho waishi kulingana na Mungu aishivyo.
toward this/he/she/it for and dead to speak good news in order that/to to judge on the other hand according to a human flesh to live then according to God spirit/breath: spirit
7 Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.
all then the/this/who goal/tax to come near be of sound mind therefore/then and be sober toward (the/this/who *k*) prayer
8 Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
before all (then *k*) the/this/who toward themself love fervent to have/be that/since: since love (to cover *N(k)O*) multitude sin
9 Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
hospitable toward one another without (murmuring *N(k)O*)
10 Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
each as/just as to take gift toward themself it/s/he to serve as/when good manager various grace God
11 Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
if one to speak as/when oracles God if one to serve as/when out from strength (which *NK(o)*) to provide the/this/who God in order that/to in/on/among all to glorify the/this/who God through/because of Jesus Christ which to be the/this/who glory and the/this/who power toward the/this/who an age: eternity the/this/who an age: eternity amen (aiōn )
12 Wapenzi, msione ajabu kwa yale mateso yanayotukia miongoni mwenu, kana kwamba ni kitu kigeni kinachowapata.
beloved not to host the/this/who in/on/among you burning to/with temptation/testing: testing you to be as/when foreign you to happen
13 Bali furahini kuwa mnashiriki katika mateso ya Kristo, ili mpate kufurahi zaidi wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
but insofar as to participate the/this/who the/this/who Christ suffering to rejoice in order that/to and in/on/among the/this/who revelation the/this/who glory it/s/he to rejoice to rejoice
14 Kama mkitukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu Roho wa utukufu na wa Mungu anakaa juu yenu.
if to revile in/on/among name Christ blessed that/since: since the/this/who the/this/who glory and the/this/who the/this/who God spirit/breath: spirit upon/to/against you to give rest (according to on the other hand it/s/he to blaspheme according to then you to glorify *K*)
15 Lakini asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu anayeteswa kwa kuwa ni muuaji, au mwizi, au mhalifu wa aina yoyote, au anayejishughulisha na mambo ya watu wengine.
not for one you to suffer as/when murderer or thief or wrongdoing or as/when meddler
16 Lakini kama ukiteseka kwa kuwa Mkristo, usihesabu jambo hilo kuwa ni aibu, bali mtukuze Mungu kwa sababu umeitwa kwa jina hilo.
if then as/when Christian not be ashamed to glorify then the/this/who God in/on/among the/this/who (name *N(K)O*) this/he/she/it
17 Kwa maana wakati umewadia wa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Basi kama ikianzia kwetu sisi, mwisho wa hao wasiotii Injili ya Mungu utakuwaje?
that/since: since the/this/who time/right time the/this/who be first the/this/who judgment away from the/this/who house: household the/this/who God if then first away from me which? the/this/who goal/tax the/this/who to disobey the/this/who the/this/who God gospel
18 Basi, “Ikiwa ni vigumu kwa mwenye haki kuokoka, itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?”
and if the/this/who just hardly to save the/this/who (then *o*) ungodly and sinful where? to shine/appear
19 Kwa hiyo, wale wanaoteswa kulingana na mapenzi ya Mungu, wajikabidhi kwa Muumba wao aliye mwaminifu, huku wakizidi kutenda mema.
so and the/this/who to suffer according to the/this/who will/desire the/this/who God (as/when *K*) faithful creator to set before the/this/who soul (it/s/he *N(k)O*) in/on/among doing good