< 1 Petro 4 >

1 Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni nia iyo hiyo kwa maana mtu aliyekwisha kuteswa katika mwili ameachana na dhambi.
Nawori kiritti nuwa dotange mor nage kom koywellum bwikume nacokken niwo nuwa dotan-nge mor bwiye ceri cerum mor bwiran kerer.
2 Kwa hivyo, haishi maisha yake yaliyobaki ya kuishi hapa duniani kwa tamaa mbaya za wanadamu, bali anaishi kwa mapenzi ya Mungu.
Na wori niwo yi yimbiroti wu yak kala cewoninneu mani fiya ciyaka fiye nubo wiyeu kifiya ciyaka kwama wuyeu.
3 Maana wakati uliopita mmekwisha kutumia muda wa kutosha katika maisha yenu mkifanya yale ambayo wapagani hupenda kutenda: wakiishi katika uasherati, tamaa mbaya, ulevi, karamu za ulafi, vileo, ngoma mbaya, na ibada chukizo za sanamu.
Kadim yimkumembo kaleweu kwarub nawo nubo ywombo kwama cwi makatiyeu yim cwikaduwek, noramkatini noka diker bilantumer, meranka cika ko bwir, kan-nge meranka diker dilangtumer.
4 Wao hushangaa kwamba ninyi hamjiingizi pamoja nao katika huo wingi wa maisha ya ufisadi, nao huwatukana ninyi.
citotiri lomcinenbo kambo mumwereu. Kangbo dor kan'nge ci mordikero yuran'nge maci kwadiker ciya fiyati dor dikerowo. Nyori ciyantok ker dor mwer.
5 Lakini itawapasa wao kutoa hesabu mbele zake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.
Ciyati kiye diker cimaneu kabum niwo a ma dumenen kan'nge bwar bolang tiyeu.
6 Kwa kuwa hii ndiyo sababu Injili ilihubiriwa hata kwa wale waliokufa, ili wahukumiwe sawasawa na wanadamu wengine katika mwili, lakini katika roho waishi kulingana na Mungu aishivyo.
Woncoo dikebwi ker kwamaro ya lam nubomanki dume, dila cin macimen bolang ko mor biye naci fiya cerka kwama nen.
7 Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.
Dikerogwam wi bouti bidom, nawori kom mwerum dorkumero nakom kwob dillotinim.
8 Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
Dor diker gwam, kom yilamki cwika bwitikikumek, wori cwika cumwom bweranketi ducce.
9 Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
Kom ci bwini bwitikumero, manki kwanere.
10 Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
Komma bwitikumenen naniwo wab ker kwamarti kibilenkereu. No nii atintok kerdi ayilam ciki tok ker kwamar, tano nii atin wabwabkari, ayilam dong-dong bikwan nero rowo kwama netiyeu.
11 Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Mawuro gwam na kwama fiya caklanka mor denbiwecr yecu caklanka na yecuce diri atiyo. (aiōn g165)
12 Wapenzi, msione ajabu kwa yale mateso yanayotukia miongoni mwenu, kana kwamba ni kitu kigeni kinachowapata.
Kum kebmibo, komkware komk dotan'ngewo kan'nge cwarumbowo fiya komeu nan dikero fwir fiya komwiyeu.
13 Bali furahini kuwa mnashiriki katika mateso ya Kristo, ili mpate kufurahi zaidi wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
Tano dila kom mwerkan dorti kan'nge meciya mor nuwaka dotan'ngecekri, kom yilam kibilangtum morece, cano duktankaceko bouri.
14 Kama mkitukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu Roho wa utukufu na wa Mungu anakaa juu yenu.
Bibwiyer kikuom cano nubo tokomti kiden kirittiddi wori yuwa duktankak kwama ko kange yuwa tangbe kwama noti dor kumer.
15 Lakini asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu anayeteswa kwa kuwa ni muuaji, au mwizi, au mhalifu wa aina yoyote, au anayejishughulisha na mambo ya watu wengine.
Nuwaka dotan'nge kumekowe, kan'nge more kume ceu ayilare amwerum twalka dorekocue, kan'nge kwiito ceu, kange na'ngendo bwirkoceu, kan-nge ni mwerka dorekoceu.
16 Lakini kama ukiteseka kwa kuwa Mkristo, usihesabu jambo hilo kuwa ni aibu, bali mtukuze Mungu kwa sababu umeitwa kwa jina hilo.
Tano ninuwa dotan-nge ti wori cin kiritari ciya nuware kwenduwe ciya duktang kwma kidendo curo.
17 Kwa maana wakati umewadia wa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Basi kama ikianzia kwetu sisi, mwisho wa hao wasiotii Injili ya Mungu utakuwaje?
kwamalam nawuro bolango biyaterti dor nob kwamabeb cano aterdorberri, ayila nyi kange nubowo bwangtenbo kerr kwamareu?
18 Basi, “Ikiwa ni vigumu kwa mwenye haki kuokoka, itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?”
Tano atin bwai naniwo caccakeu fiya certakri, ayilayi kan-nge niwo manki kwama kan-nge ni bwiran kerer?
19 Kwa hiyo, wale wanaoteswa kulingana na mapenzi ya Mungu, wajikabidhi kwa Muumba wao aliye mwaminifu, huku wakizidi kutenda mema.
Nawori n ubowo nuwa dotan-nge ker kwamareu ciya yoken dumeceu nii fuleenin ciyama diker dong dong ngeti.

< 1 Petro 4 >