< 1 Petro 2 >
1 Kwa hiyo, wekeni mbali nanyi uovu wote na udanganyifu wote, unafiki, wivu na masingizio ya kila namna.
Barki anime kinini iriba ibit nan iriba ibur, ni ero, nan tize tizenzen.
2 Kama watoto wachanga, waliozaliwa sasa, yatamanini maziwa ya kiroho yasiyochanganywa na kitu kingine chochote, ili kwa hayo mpate kukua katika wokovu,
Kasi vana, uneze, unu nyo uso, iwuzi u inko iriba ama hene mu goma Asere mage sa ma kadure, barki ahira uri ikan i uzi uhana ubura unice.
3 ikiwa kweli mmeonja ya kwamba Bwana ni mwema.
Inka ya dunkino Ugomo Asere me unu imumu iriri ahira Asere.
4 Mnapokuja kwake, yeye aliye Jiwe lililo hai, lililokataliwa na wanadamu bali kwa Mungu ni teule na la thamani kwake,
Aye ahira ati po ni vai nigre sa anu wa ga nini, barki ani me azauka nini imumu iririahira Asere.
5 ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho, ili mpate kuwa ukuhani mtakatifu, mkitoa dhabihu za kiroho zinazokubaliwa na Mungu kwa njia ya Yesu Kristo.
Shi kasi apoo ivai abara shi akura ariri, barki icukuno lau ahira a hana ka tuma, barki inyizi uwito ace Asere imumu kaba ahira Asere ta hira Yeso vana Asere.
6 Kwa maana imeandikwa katika Maandiko: “Tazama, naweka katika Sayuni, jiwe la pembeni teule lenye thamani, na yeyote atakayemwamini hataaibika kamwe.”
Baki uni itike wa guna, “Mi be ma nata nipo num anibura, nuzawa, ni riri anyimo sihiyona. Vat desa ma nya kadura ahira ameme made se mu ē ba.”
7 Kwenu ninyi mnaoamini, jiwe hili ni la thamani. Lakini kwao wasioamini, “Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni,”
Imumu iriri ahira ashe ani, shi sa ya nya kadure. Barki andesa wa gawe unya iriba, “Nipoosa ana so wa nyari manini ni neni a inki ane bura nu denge.”
8 tena, “Jiwe lenye kuwafanya watu wajikwae, na mwamba wa kuwaangusha.” Wanajikwaa kwa sababu hawakulitii lile neno, kama walivyowekewa tangu zamani.
Anime, “Nipoo ni wuza ipillizo nan nu pillizo.” Wa pilliko ni barki sa wa gawe utarsa utize tumeme, a gunawa iri anime.”
9 Lakini ninyi ni taifa teule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu walio milki ya Mungu, mlioitwa ili kutangaza sifa zake yeye aliyewaita kutoka gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu.
Barki anime azauka usuro iwaye memani, u ora ace wana dandang ukatuma ka Asere, ugomo anu alau, anu kaba Asere barki iboo imumu wuza ige sa atita shi anyimo a reu, uhana amasaa. Mati timumu tiriri.
10 Mwanzo ninyi mlikuwa si taifa, lakini sasa ninyi ni taifa la Mungu. Mwanzo mlikuwa hamjapata rehema, lakini sasa mmepata rehema.
Shi ya zi anu ba, ana meshi anu Asere wani, da makem usuraba, ana me ya kem ubura.
11 Wapenzi, ninawasihi, mkiwa kama wageni na wapitaji hapa ulimwenguni, epukeni tamaa mbaya za mwili ambazo hupigana vita na roho zenu.
Anu henu um izinu igizo ushi, sumani timumun tini pum.
12 Kuweni na mwenendo mzuri mbele ya watu wasiomjua Mungu, ili kama wanawasingizia kuwa watenda mabaya, wayaone matendo yenu mema nao wamtukuze Mungu siku atakapokuja kwetu.
Cukuno anu wuza imumu riri anyimo anabu, barki uganiya sa wa gane uira ushi kasi anu wuza imum izenzen, wadi hiri timumu tiriri tishi me kasi uhana uwui u aye Ugomo Asere.
13 Kwa ajili ya Bwana, tiini kila mamlaka iliyowekwa na wanadamu: Kwa mfalme kwani ndiye aliye na mamlaka ya juu zaidi,
Uza ni imumu iriri nan kodi ti tigomo ta anabu barki Ugomo Asere.
14 au kwa maafisa aliowaweka, kwa kuwa mfalme amewatuma ili kuwaadhibu wale wanaokosa, na kuwapongeza wale watendao mema.
Nani shi anu akatuma kame kani barki iyomko anu wuza ukatuma ka riri.
15 Kwa maana ni mapenzi ya Mungu kwamba kwa kutenda mema mnyamazishe maneno ya kijinga ya watu wapumbavu.
A geno me u ira Asere ani, ahira akatuma ka huma ka shi me, kara ni rere nanu uzatu urasa.
16 Ishini kama watu huru, lakini msitumie uhuru wenu kama kisingizio cha kutenda uovu, bali ishini kama watumishi wa Mungu.
Kasi ande sa akabawe kati. I wuzi katuma unu bura ushi me kasi ugudu uwuza ukatuma ka zenzen, barki anime cukuno ni kas arere Asere.
17 Mheshimuni kila mtu ipasavyo: Wapendeni jamaa ya ndugu waumini, mcheni Mungu, mpeni heshima mfalme.
Nonzo ni anu vat, sumani 'anu henu, ikunna biyau ba Asere. inonzo ugomo.
18 Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wema na wapole peke yao, bali pia wale walio wakali.
Shi arere, nonzo aka co akura ashime anyimo u vat ni nonzo. Azo anu imumu iriri nan anu tuzo ace ba, barki ani nan anu imumu iburu.
19 Kwa maana ni jambo la sifa kama mtu akivumilia anapoteswa kwa uonevu kwa ajili ya Mungu.
Barki anime imumu iri nunzo nini barki inka ubezi iriba uhan ahira Asere inka uye ma tira iriba ina sa uyomo.
20 Kwani ni faida gani kwa mtu kustahimili anapopigwa kwa sababu ya makosa yake? Lakini kama mkiteswa kwa sababu ya kutenda mema, nanyi mkastahimili, hili ni jambo la kusifiwa mbele za Mungu.
Barki ani me nyani ni ya kem inka ya wuza imumu imadi. Ni azunu yomo ishi ya tira iriba unu yomo me? Barki ani me inka ya wuza katuma ka riri ya sa ni rere ahira ini ya wuza iriba ihuu, agino me imumu ikaba ini ahira Asere
21 Ninyi mliitwa kwa ajili ya haya, kwa sababu Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachia kielelezo, ili mzifuate nyayo zake.
Barki ane ani atita shi, baeki Asere asi nirere barki shi, ma ceki shi imumu iwuza ati buna tumeme.
22 “Yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake.”
Da ma wuna imumu imadini ba, da amu kunna urangaarani ame ba.
23 Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutishia, bali alijikabidhi kwa yeye ahukumuye kwa haki.
Adi zogi me mada garza tizogo me ba. Ma si uyomo, sarki ubina ni, ma witi nice nume me ahira anu inko utiza ti ka dure.
24 Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, ili tufe kwa mambo ya dhambi, bali tupate kuishi katika haki. Kwa kupigwa kwake, ninyi mmeponywa.
Me ini cenume me maziki madini maru ma hani asesere utiti, barki kati akem duru anyimo amadini, barki ani me tiwuzi ticumkum ti kadure, ahira tanu tume tini ya huma ni.
25 Kwa maana mlikuwa mmepotea kama kondoo, lakini sasa mmerudi kwa Mchungaji na Mwangalizi wa roho zenu.
Vat ushi sa ya hunne shi izinu kese kasi itam sa ya hunne me, ana me ya ze ahira unu utar san shi nan unu ahira ibe shi me.