< 1 Petro 1 >

1 Petro, mtume wa Yesu Kristo: Kwa wateule wa Mungu, wageni katika ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.
Piotr, apostoł Jezusa Chrystusa, do wychodźców rozproszonych w Poncie, Galacji, Kapadocji, Azji i Bitynii;
2 Ni ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba kulingana na alivyotangulia kuwajua, kupitia kwa kazi ya utakaso wa Roho, katika utiifu kwa Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake: Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi.
Wybranych według uprzedniej wiedzy Boga Ojca, przez uświęcenie Ducha dla posłuszeństwa i pokropienia krwią Jezusa Chrystusa. Łaska i pokój niech się wam pomnożą.
3 Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametuzaa sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kupitia kwa kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,
Błogosławiony [niech będzie] Bóg i Ojciec naszego Pana Jezusa Chrystusa, który według swego wielkiego miłosierdzia zrodził nas na nowo do żywej nadziei przez wskrzeszenie Jezusa Chrystusa z martwych;
4 ili tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule usionyauka: uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu,
Do dziedzictwa niezniszczalnego i nieskalanego, i niewiędnącego, zachowanego w niebie dla was;
5 ninyi ambao mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani, hadi uje ule wokovu ulio tayari kufunuliwa nyakati za mwisho.
Którzy jesteście strzeżeni mocą Boga przez wiarę ku zbawieniu, przygotowanemu do objawienia się w czasie ostatecznym.
6 Katika hili mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo kidogo mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna nyingi.
Z tego się radujecie, choć teraz na krótko, jeśli trzeba, zasmuceni [jesteście] z powodu rozmaitych prób;
7 Haya yamewajia ili kwamba imani yenu, iliyo ya thamani kuliko dhahabu ipoteayo, ingawa hujaribiwa kwa moto, ionekane kuwa halisi na imalizie katika sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atadhihirishwa.
Aby doświadczenie waszej wiary, o wiele cenniejszej od zniszczalnego złota, które jednak próbuje się w ogniu, okazało się ku chwale, czci i sławie przy objawieniu Jezusa Chrystusa;
8 Ingawa hamjamwona, mnampenda; tena ingawa sasa hammwoni, mnamwamini na kujawa na furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka.
A choć go nie widzieliście, miłujecie; i w niego, choć teraz go nie widzicie, wierzycie; i cieszycie się radością niewysłowioną i pełną chwały;
9 Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.
Otrzymując koniec waszej wiary – zbawienie dusz.
10 Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii waliosema kuhusu neema ambayo ingewajia ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu mkubwa,
O to zbawienie wywiadywali się i badali je prorocy, którzy prorokowali o przeznaczonej dla was łasce.
11 wakijaribu kujua ni wakati upi na katika mazingira gani ambayo Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alionyesha, alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao ungefuata.
Badali oni, na jaką i jakiego [rodzaju] porę wskazywał Duch Chrystusa, który [był] w nich, przepowiadając cierpienia, które [miały przyjść] na Chrystusa i mającą potem nastąpić chwałę.
12 Walidhihirishiwa kwamba walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali waliwahudumia ninyi, waliponena kuhusu mambo hayo, ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale waliowahubiria ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanatamani kuyafahamu mambo haya.
Zostało im objawione, że nie im samym, lecz nam służyły sprawy wam teraz zwiastowane przez tych, którzy wam głosili ewangelię przez Ducha Świętego zesłanego z nieba. W te sprawy pragną wejrzeć aniołowie.
13 Kwa hiyo, tayarisheni nia zenu kwa kazi; mwe na kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa Yesu Kristo atakapodhihirishwa.
Dlatego przepaszcie biodra waszego umysłu i bądźcie trzeźwi, pokładając doskonałą nadzieję w łasce, która będzie wam dana przy objawieniu Jezusa Chrystusa.
14 Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.
Jak posłuszne dzieci nie ulegajcie pożądliwościom, jakie władały wami wcześniej, w czasie waszej nieświadomości;
15 Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.
Lecz jak ten, który was powołał, jest święty, tak i wy bądźcie świętymi we wszelkim [waszym] postępowaniu;
16 Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
Gdyż jest napisane: Świętymi bądźcie, bo ja jestem święty.
17 Kwa sababu mnamwita Baba ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama wageni.
A jeżeli Ojcem nazywacie tego, który bez względu na osobę sądzi każdego według uczynków, spędzajcie czas waszego pielgrzymowania w bojaźni;
18 Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,
Wiedząc, że nie [tym, co] zniszczalne, srebrem lub złotem, zostaliście wykupieni z waszego marnego postępowania przekazanego przez ojców;
19 bali kwa damu ya thamani ya Kristo, yule Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa.
Lecz drogą krwią Chrystusa jako baranka niewinnego i nieskalanego;
20 Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
Przeznaczonego do tego przed założeniem świata, a objawionego w czasach ostatecznych ze względu na was.
21 Kupitia kwake mmemwamini Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu na akampa utukufu, ili imani yenu na tumaini lenu ziwe kwa Mungu.
Wy przez niego uwierzyliście w Boga, który go wskrzesił z martwych i dał mu chwałę, aby wasza wiara i nadzieja były w Bogu.
22 Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.
Skoro oczyściliście swoje dusze, będąc posłuszni prawdzie przez Ducha ku nieobłudnej braterskiej miłości, czystym sercem jedni drugich gorąco miłujcie;
23 Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
Będąc odrodzeni nie z nasienia zniszczalnego, ale z niezniszczalnego, przez słowo Boże, które jest żywe i trwa na wieki. (aiōn g165)
24 Maana, “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni; majani hunyauka na maua huanguka,
Gdyż wszelkie ciało jest jak trawa, a wszelka chwała człowieka jak kwiat trawy. Trawa uschła, a jej kwiat opadł;
25 lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)
Lecz słowo Pana trwa na wieki. A jest to słowo, które zostało wam zwiastowane. (aiōn g165)

< 1 Petro 1 >