< 1 Petro 1 >
1 Petro, mtume wa Yesu Kristo: Kwa wateule wa Mungu, wageni katika ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.
Petro ntume ghwa Yesu Kristu, kwa bhahesya bha bhutawanyiko, kwa bhateule, mu ponto j'hioha, Galatia, kapadokia, Asia ni Bithinia.
2 Ni ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba kulingana na alivyotangulia kuwajua, kupitia kwa kazi ya utakaso wa Roho, katika utiifu kwa Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake: Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi.
Kutokana ni bhufahamu bhwa K'yara, Tata kwa kutakasibhwa ni Roho Mtakatifu, kwa bhutiifu bhwa Yesu Kristu, ni kwa kunyunyusibhwa muasi bhwake. Neema ij'hieghe kwa j'homu, ni amani j'hinu j'hij'honge sikaghe.
3 Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametuzaa sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kupitia kwa kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,
K'yara Tata ghwa Bhwana ghwitu Yesu Kristu abarikibhuaghe. Mubhubhaha bhwa rehema j'hiake, atupelili kuhogoleka kabhale kwa bhujasiri bhwa urithi kup'etela bhufufuo bhwa Yesu Kristu mu bhafu,
4 ili tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule usionyauka: uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu,
kwa bhurithi bhwa bhubeli kuj'hangamila, bhwibeta kuj'halepi nibhuchafu bhwala kup'hangika. Bhuhifadhibhu kumbinguni kwa ndabha j'hinu.
5 ninyi ambao mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani, hadi uje ule wokovu ulio tayari kufunuliwa nyakati za mwisho.
Kwa bhuweza bhwa K'yara mwilendibhwa kup'hetela imani kwa bhwokovu ambabho bhuj'hele tayari kufunulibhwa munyakati sya mwisho.
6 Katika hili mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo kidogo mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna nyingi.
Muhobholelai e'le ingawaje henu ni lazima kwa muenga kwipeleka huzuni mu majaribu gha Aina mbalimbali.
7 Haya yamewajia ili kwamba imani yenu, iliyo ya thamani kuliko dhahabu ipoteayo, ingawa hujaribiwa kwa moto, ionekane kuwa halisi na imalizie katika sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atadhihirishwa.
Ej'he, kwa ndabha imani j'hinu j'hbhwesiaghe kujaribibhwa imani ambaj'ha j'ha thamani kuliko dhahabu, ambaj'ho j'hij'hagha mu muoto ambhabho ta j'hijaribu imani j'hinu. Ej'he j'hitokela ili imani j'hinu j'hibhwesiaghe kuhogola sifa bhutukufu ni heshima mubhufunuo bhwa Yesu. Kristu.
8 Ingawa hamjamwona, mnampenda; tena ingawa sasa hammwoni, mnamwamini na kujawa na furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka.
Mumbuene dumu muene, lakini mun'ganili. Mukambona lepi henu, lakini mwikiera lwa muene na muhobhwiki muni kwa furaha ambaj'ho 'himemili bhutukufu.
9 Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.
Henu mwij'hambelela mwibhene matokeo gha imani j'hinu bhokovu bhwa nafsi syinu.
10 Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii waliosema kuhusu neema ambayo ingewajia ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu mkubwa,
Manabii bhalondili ni kuk'hota kwa makini kuhusu bhwokovu obho, kuhusu neema ambaj'ho ngaj'hij'he j'ha muenga.
11 wakijaribu kujua ni wakati upi na katika mazingira gani ambayo Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alionyesha, alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao ungefuata.
Bhalondili kumanya ndo aina gani j'ha bhwokovu ngabhubudili. Bhalondili pia kumanya ni muda gani roho ghwa Kristu j'ha aj'hele mugati mwabhene aj'hele ilongela kiki nabhu. E'j'he j'haj'hele jbiomela wakati ikabhajobhela mapema kuhusu malombosi gha Kristu ni bhutukufu ambabho ngaumfwatili.
12 Walidhihirishiwa kwamba walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali waliwahudumia ninyi, waliponena kuhusu mambo hayo, ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale waliowahubiria ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanatamani kuyafahamu mambo haya.
J'hafunulibhu kwa manabii kuj'ha bhaj'hele bhakaghatumikila mambo agha na sio kwa ndabha j'ha bhene, bali kwa ndabha j'hinu- masimulizi gha mambo agha kup'hetela bhala bhabhileta injili kwa muenga kwa nj'hela j'ha Roho N'takatifu j'heatumibhu kuh'omela kumbinguni, mambo ambagho hata malaika bhinyonywa kufunulibhwa kuake.
13 Kwa hiyo, tayarisheni nia zenu kwa kazi; mwe na kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa Yesu Kristo atakapodhihirishwa.
Henu mfungai misana ghya akili syinu. Mujhiaghe bhatulivu mu fikra syinu. Muj'hieg`ae ni bhusisya nkamilifu mu neema ambaj'ho j'hibeta kuletibhwa kwa j'homu wakati bhwa kufunuliwa kwa Yesu Kristu.
14 Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.
Kama bhana bhatiifu msifungibhu mwibhene ni tamaa ambasyo mwasifwatili bhwakati mdutili bhufahamu.
15 Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.
Lakini kama vile j'haabhakutili kya aj'hele ntakatifu namu, pia muj'hiaghe bhatakatifu mu tabia j'hinu j'hioha maishani.
16 Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
Kwa kuj'ha j'hijhandikibhu, '“Mj'hiaghe bhatakatifu, kwa ndabha nene ne ntakatifu”.
17 Kwa sababu mnamwita Baba ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama wageni.
Na kama mwikuta “tata” j'hola j'hihukumu kwa haki kul'engana ni mbombo j'ha kila munu, kunyenyekela.
18 Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,
Mumanyili kuj'ha j'haj'hedumu, kwa fedha au dhahabu - fenu fyafijhonangika - ambafyo mkombolibhu kuh'omela mu tabia syinu sya bhujinga ambasyo mwamanyili kuh'omela kwa bha tata bhinu.
19 bali kwa damu ya thamani ya Kristo, yule Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa.
Lakini mkombolibhu kwa muasi j'ha litengo lya Kristu, kama j'ha likondoo lyalibelikuj'ha ni hila bhwala bhuifu.
20 Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
Kristu asalibhu kabla j'ha misingi ghya dunia, lakini magono agha gha mwisho, afunulibhu kwa muenga.
21 Kupitia kwake mmemwamini Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu na akampa utukufu, ili imani yenu na tumaini lenu ziwe kwa Mungu.
Mukankiera k'yara kup'helela muene, ambaj'he ampelili bhutukufu ili kuj'ha imani j'hinu ni bhusisya bhuj'hiaghe kwa k'yara.
22 Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.
Mmbombili nafsi syinu kuj'ha kinofu kwa bhutii bhwa bhukweli, kwa dhumuni lya luganu lwa kilongobhi lyalij'hele ni bhunyoofu, Henu mgananai kwa makaghoha kuh'omela mu miteema.
23 Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn )
Mmalili kuhogoleka mara gha bhubhele, si kwa mbeyu j'haj'hiharibika, lakini kuhoma mu mbeyu j'haj'hiyonangeka lepi, kup'helela bhusima bhwa litobhi lya k'yara lyalisiele. (aiōn )
24 Maana, “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni; majani hunyauka na maua huanguka,
Kwa maana “mibhele ghiogha ndo kama mat'ondo, ni bhutukufu bhwake bhouha ni kama liua lya lit'ondo. Lit'ondo linyauka ni liua libina.
25 lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn )
Lakini lilobhi lya Bwana libakila milele.” Obho ndo bhujumbe ambabho bhwatangasibhu kama injili kwa muenga. (aiōn )