< 1 Wafalme 9 >

1 Solomoni alipomaliza kujenga Hekalu la Bwana na jumba la kifalme, alipokwisha kufanya yote aliyotaka kufanya,
Hina bagade Soloumane da Debolo diasu amola hina bagade diasu amola ea gagumusa: dawa: i liligi huluane, amo gagui dagoloba,
2 Bwana akamtokea mara ya pili, kama alivyokuwa amemtokea huko Gibeoni.
Hina Gode da musa: Gibionega ema misi, amo defele ema bu misi.
3 Bwana akamwambia: “Nimesikia dua na maombi uliyofanya mbele zangu, nimeliweka wakfu Hekalu hili ambalo umelijenga, kwa kuweka Jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu utakuwa humo siku zote.
Hina Gode da ema amane sia: i, “Na da dia sia: ne gadosu nabi dagoi. Na da amo Debolo (amo di da dunu ilia amo ganodini Nama sia: ne gadomusa: gagui) amo Debolo da hadigiwane dialoma: ne Na ilegesa. Na da eso huluane, mae fisili, amo Debolo ouligimu amola gaga: mu.
4 “Kukuhusu wewe, kama ukienenda kwa unyofu wa moyo na uadilifu, kama baba yako Daudi alivyofanya na kutenda yote ninayoyaagiza kwa kutunza maagizo yangu na sheria,
Di da moloidafawane, dia ada Da: ibidi defele, Na hawa: hamosu noga: le hamosea, amola Na sema amola Na hamoma: ne sia: i amo nabawane hamosea,
5 nitakiimarisha kiti chako cha enzi juu ya Israeli milele kama nilivyomwahidi Daudi baba yako niliposema, ‘Hutakosa kamwe kuwa na mtu kwenye kiti cha enzi cha Israeli.’
Na da dia ada Da: ibidima sia: i ilegei (amo da ea fi da mae fisili, Isala: ili fi ouligibi ba: mu) amo huluane hamomu.
6 “Lakini kama ninyi au wana wenu mkigeukia mbali nami na kuziacha amri na maagizo yangu niliyowapa na kwenda kuitumikia miungu mingine na kuiabudu,
Be di, o digaga fi da Nama fa: no bobogelalu yolesisia, amola Na sema amola Na hamoma: ne sia: i dilima i, nabawane hame hamone, eno ogogosu ‘gode’ liligi ilima fa: no bobogesea,
7 basi nitakatilia mbali Israeli kutoka nchi niliyowapa, nami nitalikataa Hekalu hili nililolitakasa kwa ajili ya Jina langu. Ndipo Israeli itakuwa kitu cha kudharauliwa na watu na kuwa kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa watu wote.
Na da Na fi dunu Isala: ili, amo soge Na da ilima i, amoga fadegamu. Amolawane, Na da amo Debolo (amo Na da wali dili Nama nodone sia: ne gadomusa: eso huluane hahawane dialoma: ne ilegei) Na da amo Debolo fisidigimu. Amasea, fifi asi gala dunu huluane da Isala: ili dunuma gadele amola igabonesisimu.
8 Ingawa hekalu hili linavutia sasa, wote watakaolipita watashangaa na kudhihaki wakisema, ‘Kwa nini Bwana amefanya kitu kama hiki katika nchi hii na kwa Hekalu hili?’
Amo Debolo Diasu da mugululi, mebui dagoi ba: mu. Amola dunu huluane amodili baligili ahoasea, ilia da gilulasili, fofogadigimu. Ilia da amane adole ba: mu, ‘Abuliba: le, Hina Gode da amo soge amola Debolo Diasu amoma agoane hamobela: ?’
9 Watu watajibu, ‘Kwa sababu wamemwacha Bwana Mungu wao, aliyewatoa baba zao Misri, nao wamekumbatia miungu mingine, wakaiabudu na kuitumikia, ndiyo sababu Bwana ameyaleta maafa haya yote juu yao.’”
Amasea, eno dunu ilia da amane adole imunu, ‘Isala: ili dunu ilia Hina Gode da musa: ilia aowalali Idibidi sogega esalu amo fisili masa: ne, ilia hahawane ga masa: ne oule asi. Be ilia da amo mae dawa: le, ilia Hina Gode Ea hou yolesi dagoi. Ilia da ogogosu ‘gode’ma fa: no bobogei amola ilima nodone sia: ne gadosu. Hina Gode Ea ilima gugunufinisisu iabe ea bai da goea.’”
10 Miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Solomoni alijenga majengo haya mawili, yaani Hekalu la Bwana na jumba la kifalme,
Soloumane da ode 20 amoga Debolo Diasu amola hina bagade diasu gagulalu, gagui dagoi ba: i.
11 Mfalme Solomoni akampa Hiramu mfalme wa Tiro miji ishirini katika Galilaya, kwa sababu Hiramu alikuwa amempatia mierezi yote, misunobari na dhahabu yote aliyohitaji.
Daia soge hina bagade Haila: me da Soloumane ea hanai defele, dolo ifa amola ‘baine’ ifa amola gouli bagade ema iasi. Debolo Diasu da gagui dagobeba: le, hina bagade Soloumane da moilai 20 agoane Ga: lili soge ganodini, amo Haila: mema i.
12 Lakini Hiramu alipotoka Tiro kwenda kuiona ile miji ambayo Solomoni alikuwa amempa, hakupendezwa nayo.
Haila: me da amo moilai abedela asi. Be e da amo moilai huluane higa: i ba: i.
13 Hiramu akauliza, “Hii ni miji ya namna gani uliyonipa, ndugu yangu?” Naye akaiita nchi ya Kabul, jina lililoko hadi leo.
Amaiba: le, e da Soloumanema bobolele amane sia: i, “Naeya! Di da amo moilai nama i dagobela: ?” Amaiba: le, amo sogega ilia da Ga: ibale dio asuli. Ea dawa: loma: ne da “hamedei soge.”
14 Basi Hiramu alikuwa amempelekea mfalme talanta 120 za dhahabu.
Haila: me da Soloumanema gouli defei ‘dane’ biyaduyale gadenene iasi dagoi.
15 Haya ni maelezo kuhusu kazi za kulazimishwa ambazo Mfalme Solomoni, alivyowafanyiza watu ili kulijenga hekalu la Bwana, na jumba lake la kifalme, na Milo, ukuta wa Yerusalemu, Hazori, Megido na Gezeri.
Hina bagade Soloumane da Debolo diasu amola hina bagade diasu gaguma: ne, amola osobo amo moilai gusudili gala gasa: le lelegema: ne, amola moilai gagoi gaguma: ne, udigili hawa: hamosu dunu sesesu. Amola Ha: iso, Megidou amola Gise moilale bai bagade gagai amo ilia gaguma: ne, e da udigili hawa: hamosu sesei.
16 (Farao mfalme wa Misri alikuwa ameushambulia na kuuteka mji wa Gezeri. Alikuwa ameuchoma moto. Akawaua Wakanaani waliokuwa wakikaa humo na kisha kuutoa kwa binti yake, yaani mkewe Solomoni, kama zawadi ya arusi.
(Musa: Idibidi hina bagade da Gise moilai bai bagade doagala: le fefedei. E da amogai fi huluane medole lelegele, diasu huluane laluga ulagisi. Amalalu, ea uda mano da Soloumanema filiba, e da amo moilai, ea uda manoma i.
17 Solomoni akaujenga tena Gezeri.) Akajenga Beth-Horoni ya Chini,
Amola Soloumane da amo moilai bu buga: le gagui). Amola Soloumane da sia: beba: le, ea udigili hawa: hamosu dunu da Gudu Bede Houlone,
18 akajenga Baalathi na Tamari kwenye jangwa katika eneo la nchi yake,
Ba: ila: de amola Da: ima moilale bai bagade gagai hafoga: i soge ganodini, amo bu buga: le gagui.
19 vilevile miji ya ghala na miji kwa ajili ya magari yake na kwa ajili ya farasi wake: chochote alichotaka kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni, na katika eneo yote aliyotawala.
Amola ilia da moilai bai bagade (amo ganodini Soloumane da ea liligi ligisisu) amo gagui. Amola moilai bai bagade amo ganodini e da ea ‘sa: liode’ amola hosi ouligi, amola liligi huluane e da Yelusaleme moilai bai bagade amola Lebanone soge amola ea ouligibi soge huluane ganodini e gagumusa: dawa: i, amo huluane ilia da gagui.
20 Watu wote waliosalia kutoka kwa Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi (mataifa haya hayakuwa Waisraeli),
21 yaani, wazao wao waliobakia katika nchi, ambao Waisraeli hawangeweza kuwaangamiza kabisa: hawa Solomoni akawalazimisha kuwa watumwa katika shokoa, kama ilivyo hadi leo.
Isala: ili dunu ilia da Ga: ina: ne dunu ilia soge gesowaloba, ilia da Ga: ina: ne dunu oda mogili hame medole legei galu. Amo dunu iligaga fi dunu amo Soloumane ea udigili hawa: hamoma: ne sesesu. Amo dunu fi da A: moulaide, Hidaide, Belisaide, Haifaide amola Yebiusaide. Amo iligaga fi da udigili hamonanu, amoganini wali amola, udigili hawa: hamonana.
22 Lakini Solomoni hakumfanya yeyote wa Waisraeli kuwa mtumwa; wao ndio waliokuwa wapiganaji wake, maafisa wake wa serikali, maafisa wake, wakuu wake, majemadari wa jeshi wa magari yake ya vita na wapanda farasi.
Be Soloumane da Isala: ili dunudafa amo udigili hawa: hamoma: ne hame sesesu. E da ili huluane ea dadi gagui dunu amola eagene ouligisu dunu amola dadi gagui wa: i ouligisu dunu amola ‘sa: liode’ amola hosi fila heda: su dunu hamosu.
23 Pia walikuwa maafisa wakuu wasimamizi wa miradi ya Solomoni: maafisa 550 waliwasimamia watu waliofanya kazi.
Udigili hawa: hamosu dunu da Soloumane ea moilai amola diasu gagubi hawa: hamosu hamoi. Amola ouligisu dunu 550 agoane da ili sesele ouligisu.
24 Baada ya binti Farao kuja kutoka Mji wa Daudi na kuingia jumba la kifalme ambalo Solomoni alikuwa amemjengea, akajenga Milo.
Soloumane ea idua (Idibidi hina bagade ea idiwi) da Da: ibidi Moilai Bai Bagade yolesili, hina bagade diasu amo Soloumane da igili gagui, amoga ahoabeba: le, Soloumane da Yelusaleme moilai bai bagade gusu la: ididili soge amoga osobo gasa: le sali.
25 Solomoni akatoa dhabihu za kuteketezwa na sadaka za amani mara tatu kwa mwaka, juu ya madhabahu aliyokuwa amejengea kwa ajili ya Bwana, akifukiza uvumba mbele za Bwana pamoja na dhabihu hizo, hivyo kutimiza kanuni za hekalu.
Ode afae amoga udianane, Soloumane da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Gilisili Olofele Iasu, amo oloda e da Hina Godema gagui, amo da: iya gobele sali. Amola e da Hina Gode hahawane nabima: ne, gabusiga: manoma gobele sali. E da agoanewane Debolo gagui dagoi.
26 Mfalme Solomoni pia akatengeneza pia meli huko Esion-Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika Edomu, kwenye ukingo wa Bahari ya Shamu.
Amola hina bagade Soloumane da dusagai gilisi amo Isionegiba moilaiga gagui. Isionegiba da Ila: de moilai bai bagade gadenene amola Ila: de da Idome soge ganodini Agaba Gogomai bega: dialebe ba: i.
27 Naye Hiramu akawatuma watu wake; mabaharia walioijua bahari, kuhudumu katika hizo meli pamoja na watu wa Solomoni.
Hina bagade Haila: me da bagade dawa: su dusagai hawa: hamosu dunu, amo Soloumane ea hawa: hamosu dunu fidimusa: , asunasi.
28 Wakasafiri kwa bahari mpaka Ofiri na kurudi na talanta 420 za dhahabu, ambazo walimkabidhi Mfalme Solomoni.
Ilia amo dusagane gagai amo ganodini foga mini asili, Oufe sogega doaga: i. Amoga ilia da Soloumanema gouli defei 12 ‘dane’ agoane gaguli misi.

< 1 Wafalme 9 >