< 1 Wafalme 7 >
1 Ilimchukua Solomoni miaka kumi na mitatu kukamilisha ujenzi wa Jumba lake la kifalme.
Solomon ni kum 13 touh thung amae im hah a sak teh, a cum.
2 Alijenga Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni, urefu wake ulikuwa dhiraa 100, upana wake dhiraa hamsini na kimo chake dhiraa thelathini, likiwa na safu nne za nguzo za mierezi zikishikilia boriti za mierezi zilizorembwa.
Hote im hah Lebanon ratu thung e thing hoi a sak, ayung dong 100, adangka dong 50, rasang dong 30 touh a pha. Sidar khom 30 touh dawk toung e sidar thing kalannaw dawk sak e doeh.
3 Ilipauliwa kwa mierezi juu ya boriti zile zilizolala juu ya nguzo arobaini na tano, kumi na tano kwa kila safu.
Than touh dawkvah hlaipanga touh a pha teh khom 45 touh a pha, avan vah sidar thing koung a phai teh thingphek hoi a kup sin.
4 Madirisha yake yaliwekwa juu kwa safu tatu, yakielekeana.
A ang nahanelah hlalangaw 30 touh kadangka lah avoivang lah ao.
5 Milango yote ilikuwa na miimo ya mstatili, ilikuwa upande wa mbele katika safu tatu, ikielekeana.
Thonaw pueng hoi thokhomnaw pueng teh ayung adangka koung a kâvan.
6 Akajenga ukumbi wa nguzo, ambao urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa thelathini. Mbele ya jengo hilo kulikuwepo baraza. Mbele ya baraza kulikuwepo na nguzo na paa lililoningʼinia.
Khomnaw, pangkheknaw hoi sak e vaikhap hai ao teh, ayung dong 50, adangka dong 30 touh a pha.
7 Akajenga ukumbi wa kiti cha enzi, Ukumbi wa Hukumu, mahali ambapo angelitolea hukumu, akaufunika kwa mierezi kutoka sakafuni hadi darini.
Lawkcengnae vaikhap tie lawkcengnae bawitungkhung hungnae vaikhap hai a sak, carawng teh avoivang lah totouh sidar thingphek koung a phai.
8 Kwenye jumba la kifalme ambamo angeliishi, aliiweka nyuma zaidi, ikiwa na mjengo wa aina moja na hiyo nyingine. Pia Solomoni akajenga jumba la kifalme linalofanana na huo ukumbi mkubwa kwa ajili ya binti Farao, aliyekuwa amemwoa.
Ama a onae im hai a hnukkhu a sak e lawkcengnae vaikhap boiboe lah a sak. Solomon ni a yu lah a la e Faro canu hanelah hai im buet touh a sak pouh.
9 Ujenzi huu wote, kuanzia nje mpaka kwenye ua mkuu na kuanzia kwenye msingi hadi upenuni, ulifanywa kwa mawe ya ubora wa hali ya juu yaliyokuwa yamechongwa kwa vipimo na kusawazishwa kwa msumeno nyuso zake za ndani na za nje.
Hotnaw pueng teh aphu kaawm poung e talung, boung kâcatcalah dêi e, hlaw hoi a e hoi sak e lah ao. Athunglah hai, alawilah hai, akung koehoi a som totouh kâennae imka ka kaw pui lah sak e lah ao.
10 Misingi iliwekwa kwa mawe makubwa yaliyo bora, yenye urefu wa dhiraa kumi na mengine yenye urefu wa dhiraa nane
Adu hateh talung kalenpounge dong hra touh hoi dong taroe touh e hoi pacoung e lah ao.
11 Sehemu za juu kulikuwepo na mawe yenye ubora wa hali ya juu, yaliyokatwa kwa vipimo na boriti za mierezi.
A lathueng lae teh boung kâcatcalah dêi e talung hoi sidar thing hoi sak e doeh.
12 Ule ua mkuu ulizungukwa na ukuta wa safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa, kama ulivyokuwa ua wa ndani wa Hekalu la Bwana na baraza yake.
Petkâkalup lah kalupnae thung imka teh dêi tangcoung e talung than thum touh hoi sidar thing than touh hoi sak e doeh. BAWIPA im kalupnae a thung lae imka hoi vaikhap patetlah sak e doeh.
13 Mfalme Solomoni akatuma watu Tiro kumleta Hiramu,
Solomon ni tami a patoun teh Taire tami Hiram hah a kaw.
14 ambaye mama yake alikuwa mjane kutoka kabila la Naftali na baba yake alikuwa mtu wa Tiro tena fundi wa shaba. Hiramu alikuwa na ustadi wa hali ya juu na mzoefu katika aina zote za kazi ya shaba. Alikuja kwa Mfalme Solomoni na kufanya kazi zake zote alizopangiwa.
Hote tami teh Naphtali miphun lahmainu e capa doeh. A na pa teh Taire tami rahum dei ka thoum e doeh. Ahni teh rahum koe lah kutsak ka thoum pounge lah ao. Siangpahrang Solomon koe a tho teh thawnaw pueng hah a tawk pouh.
15 Hiramu akasubu nguzo mbili za shaba, kila moja ikiwa na urefu wa dhiraa kumi na nane, kila nguzo ikiwa na mzingo wa dhiraa kumi na mbili kwa mstari.
Hahoi rahum khom kahni touh a hlun teh, khom kalen e buet touh teh a rasang e dong 18 touh a pha. A len e teh, petkâkalup lah dong hlaikahni touh a pha.
16 Pia alitengeneza mataji mawili ya shaba ya kusubu ili kuyaweka juu ya hizo nguzo; kila taji lilikuwa na kimo cha dhiraa tano kwenda juu.
Khom som dawk bungling hanelah rahumluhuem kahni touh a sak teh, bawilakhung buet touh a rasang dong 5 touh, alouke buet touh e hai a rasang e dong 5 touh a pha.
17 Wavu wa mikufu iliyosokotewa kwenye zile taji juu ya zile nguzo, saba kwa kila taji.
Tamlawk patetlah tarikcik lah tarik e hoi sumbawtarui patetlah a meikahawicalah tarik e kahni touh khompui a som dawk bungling hanelah a sak. Luhuem buet touh hanelah tamlawk buet touh, alouke bawilakhung buet touh hanelah tamlawk buet touh a sak.
18 Akatengeneza makomamanga katika safu mbili kuzunguka kila wavu kuremba mataji yaliyo juu ya nguzo. Alifanya hivyo kwa kila nguzo.
Hot patetvanlah, khompui som dawk e bawilakhung ramuknae tamlawk buet touh dawkvah, petkâkalup lah talepaw 20 touh lah a sak. Alouke bawilakhung hanelah hai hot patetvanlah a sak.
19 Mataji yaliyokuwa juu ya nguzo kwenye baraza, yalikuwa katika umbo la yungiyungi, kimo chake ni dhiraa nne
Vaikhap dawk ung e khomsomnaw teh lili pei patetlah ao teh dong pali touh a pha.
20 Juu ya mataji ya zile nguzo mbili, juu ya ile sehemu yenye umbo kama bakuli, karibu na ule wavu, kulikuwa na yale makomamanga 200 katika safu kuzunguka pande zote.
Luhuem teh khompui kahni touh e som dawk tamlawk patetlah sak e teng e tâbumlum e lungui ao teh, tale paw cumhni touh hah than hni touh lahoi petkâkalup lah pâthit e lah ao. Hahoi alouke khompui dawk hoi hot patetvanlah ao.
21 Hiramu akasimamisha nguzo kwenye baraza ya Hekalu. Nguzo ya upande wa kusini akaiita Yakini, na ile ya upande wa kaskazini Boazi.
Bawkim alawilah khompui teh a ung awh. Aranglae khompui teh a kangdue sak awh teh a min lah Jakhin ati. Avoilae khompui teh a kangdue sak teh a min lah Boaz a ti.
22 Mataji yaliyokuwa juu yalikuwa na umbo la yungiyungi. Hivyo kazi ya nguzo ikakamilika.
Khompui som dawk lili pei mei kamnue sak e thaw teh a cum awh.
23 Hiramu akasubu Bahari ya chuma, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Mzunguko wake ulikuwa dhiraa thelathini.
Rahum tuiim avanglae a rai koehoi avanglae a rai koe totouh dong hra touh a pha. Arasang e teh dong panga touh. Petkâkalup lah bangnue toteh dong 30 touh a pha.
24 Chini ya ukingo, ilizungukwa na maboga, kumi kwenye kila dhiraa moja. Maboga yalikuwa yamesubiwa katika safu mbili ili kuwa kitu kimoja na hiyo bahari.
Arai rahim dong 30 touh dawk tuiumkung mei ao teh, tuiim hah a longlei. Hahoi tuiumkung mei teh 20 touh lah ao teh, a hlun awh navah mek hlun sin e doeh.
25 Bahari iliwekwa juu ya mafahali kumi na wawili, watatu wakielekea kaskazini, watatu wakielekea magharibi, watatu wakielekea kusini na watatu wakielekea mashariki. Bahari iliwekwa juu yao na sehemu zao za nyuma zilielekeana.
Hothateh maitotan hlaikahni touh dawk toung e doeh. Kathum touh kanîloumlah a kangvawi awh, kathum touh kanîtholah a kangvawi, kathum touh atunglah a kangvawi, kathum touh akalah a kangvawi. Hahoi tuiim teh hotnaw e van ta e lah ao. A mainaw teh a thung lah koung a kangvawi.
26 Ilikuwa na unene wa nyanda nne na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 2,000.
Rahum teh sum touh a tha teh, arai teh lili pei patetlah manang rai patetlah ao teh bath 2000 touh a cawng ( bath buet touh teh galon 6 touh bang e doeh).
27 Pia akatengeneza vitako kumi vya shaba vinavyoweza kuhamishika, kila kimoja kilikuwa na urefu wa dhiraa nne, upana dhiraa nne na kimo chake dhiraa tatu
Hahoi pâhungnae hra touh rahum hoi a sak. Pâhungnae buet touh teh dong pali touh a saw. Adangka hai dong pali touh a saw teh arasang e teh dong thum touh a pha.
28 Hivi ndivyo vile vitako vilivyotengenezwa: Vilikuwa na mbao za pembeni zilizoshikamanishwa na mihimili.
Pâhungnae saknae teh hettelah doeh. Hote pâhungnae dawk petkâkalup lah a rai ao teh, hote rai dawkvah,
29 Juu ya mbao kati ya hiyo mihimili kulikuwa na simba, mafahali na makerubi, pia kwenye mihimili yake. Juu na chini ya simba na mafahali kulikuwa kumesokotewa taji za kufuliwa.
sendek, maitotan, cherubim mei a kamnue. Hahoi a khom dawk hai sendek hoi maitotan mei a patung a paka lah meikahawicalah pathoup e ao.
30 Kila kitako kilikuwa na magurudumu manne ya shaba, na vyuma vya katikati vya kuyazungusha hayo magurudumu na kila kimoja kilikuwa na sinia kwenye vishikizo vinne vya taji iliyosubiwa kila upande.
Hahoi pâhungnae dawkvah rahum lengkhok pali touh, rahumcung hoi rip ao. A takin pali touh dawk dounnae koung ao. Rahum rahim dounnae tapang dawkvah, a meikahawicalah pathoup e laikawcanaw hah mek a hlun sin awh.
31 Ndani ya kitako kulikuwa na nafasi ya wazi iliyokuwa na umbile la mviringo lenye kina cha dhiraa moja. Nafasi hii ya wazi ilikuwa ya mviringo, pamoja na kitako chake ilikuwa dhiraa moja na nusu. Kuzunguka huo mdomo wake kulitiwa nakshi. Papi za vitako zilikuwa mraba na si za mviringo.
Kawlung arai teh a thung hoi a rai totouh dong touh a pha. A rai teh a tâbuengluengkueng teh a kaw e dong touh hoi tangawn a pha. Arainaw teh ayung adangka suetalah ao teh a em hoi king a kawi.
32 Magurudumu manne yalikuwa chini ya papi, na vyuma vya katikati vya kuzungushia magurudumu hayo vilikuwa vimeunganishwa kwenye kitako. Kipenyo cha kila gurudumu kilikuwa dhiraa moja na nusu.
Lengkhok pali touh e teh, pâhungnae rahim ao awh teh, acungnaw teh pâhungnae hoi a kâkuet, lengkhok teh dong touh hoi tangawn a rasang.
33 Magurudumu yalitengenezwa kama ya magari ya vita ya kukokotwa, vyuma vya katikati vya magurudumu, duara zake, matindi yake na vikombe vyake vyote vilikuwa vya kusubu.
Lengkhok teh rangleng khok hoi a kâvan. Acung, acung tabu, a mangnaw hai a hlun sin.
34 Kila kitako kilikuwa na mikono minne, moja kwenye kila pembe, ukitokeza kutoka kwenye kitako.
Pâhungnae takin pali touh koe pou kâkuen lah hlun e dounnae pali touh ao dawkvah,
35 Juu ya kitako kulikuwepo na utepe wa mviringo wenye kina cha nusu dhiraa. Vishikio na papi vilishikamana upande wa juu wa kitako.
hote dounnae dawkvah, petkâkalup lah khap touh ka phat e laikaw hah a mawp teh, pâhungnae dawkvah arainaw hoi kuet nahanelah, pâhungnae hoi mek hlun sin e lah ao.
36 Alitia nakshi za makerubi, simba na miti ya mitende juu ya uso wa vishikio na juu ya papi, katika kila nafasi iliyopatikana, pamoja na mataji yaliyosokotwa kuzunguka pande zote.
Kuet nahane hoi pâhungnae dawkvah, cherubim, sendek, olivekung emnaw hah lengkaleng a kamnue.
37 Hivi ndivyo Hiramu alivyotengeneza vile vitako kumi. Vyote vilikuwa vya kusubu kwenye kalibu za kufanana kwa vipimo na kwa umbo.
Hottelah abuemlahoi reikâvan lah kawlung hungnae hra touh a hlun teh a cum.
38 Kisha akatengeneza masinia kumi ya shaba, kila moja likiwa na ujazo wa bathi arobaini, yakiwa na kipenyo cha dhiraa nne kila sinia moja kwa kila kimoja ya vile vitako kumi.
A rai dong pali touh ka kaw niteh, tui bath 40 touh ka cawng e rahum kawlung hra touh hai a sak teh, pâhungnae buet touh dawk kawlung buet touh rip pâhung lah ao.
39 Aliweka vitako vitano upande wa kusini wa Hekalu na vingine vitano upande wa kaskazini. Akaweka ile bahari upande wa kusini, katika pembe ya kusini ya Hekalu.
Im aranglah panga touh, avoilah 5 touh, a ta teh, tuiim hateh, im aranglah kanîtho akalah ao.
40 Pia akatengeneza masinia, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia. Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi zote katika Hekalu la Bwana kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:
Hiram ni hlaamnaw, hrabakawnnae, kawlungcanaw, hah a sak teh, Solomon siangpahrang hanelah BAWIPA e im dawk a cum e naw teh:
41 nguzo mbili; mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo; nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo;
khom kahni touh, khomsom lukhung ka hni touh,
42 makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu, yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);
khomsom lukhung ramuknae tamlawk kahni touh, ramuk nahane tamlawk buet touh dawk tale paw arui kahni touh, abuemlah 400 touh,
43 vitako kumi pamoja na masinia yake kumi;
pâhungnae hra touh, pâhungnae van hung e rahum kawlung hra touh, tuiim buet touh,
44 ile Bahari ya chuma na yale mafahali kumi na wawili chini yake;
tuiim ka doun e maito hrahlaikahni touh, hlaamnaw, hrabakawnnae naw, hoi kawlungcanaw hah doeh.
45 masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia. Vyombo hivi vyote ambavyo Huramu alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la Bwana vilikuwa vya shaba iliyongʼarishwa.
Solomon siangpahrang hanelah Ahiram ni a sak e BAWIPA e im puengcangnaw pueng teh, loukloukkaang e rahum hoi cum lah ao.
46 Mfalme akaamuru wavisubu katika kalibu ya udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani ulio kati ya Sukothi na Sarethani.
Jordan tanghling Sukkoth hoi Zerethan rahak vah, amhru sak hane kahawi e talai dawk siangpahrang ni a hlun.
47 Solomoni akaviacha vitu hivi vyote bila kupima uzani wake, kwa sababu vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.
Hote hnopainaw apappoung dawkvah, Solomon ni khing laipalah a ta. Rahum e a khing teh apinihai panuek hoeh.
48 Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Bwana: madhabahu ya dhahabu; meza ya dhahabu za kuweka mikate ya Wonyesho;
Hahoi Solomon ni BAWIPA e imthung kaawm e hnopainaw pueng a touk teh, sui khoungroe, vaiyei pâhung nahane caboi,
49 vinara vya taa vya dhahabu safi (vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto, mbele ya Patakatifu pa Patakatifu); kazi ya maua ya dhahabu na taa na makoleo;
Suikathoung hoi sak e hmaiimkhok, hmuen kathoung hmalah aranglah, 5, avoilah 5 touh kaawm e a pei, hmaiim, paitei sui hoi sak naw doeh.
50 masinia ya dhahabu safi, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, vyano na vyetezo; na bawaba za dhahabu kwa ajili ya milango ya chumba cha ndani sana, yaani Patakatifu pa Patakatifu, na pia kwa ajili ya milango ya ukumbi mkuu wa Hekalu.
Manang, paitei, tongben, pacen, hraba kawnnae hlaamnaw hmuen kathounge a thung tho hoi bawkim alawilah e tho dawk bang e suitâbaw hai a sak.
51 Hivyo Mfalme Solomoni alipomaliza kazi ya Hekalu la Bwana, akaviingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa ameviweka wakfu: yaani fedha, dhahabu na samani; kisha akaviweka katika hazina za Hekalu la Bwana.
Hottelah, Solomon siangpahrang ni BAWIPA e im hanlah a sak e naw pueng teh a cum. Hahoi, a na pa Devit ni a poe e hno, ngun, sui, hoi hnopai naw a kâenkhai teh BAWIPA e im râw kuemnae thingkong thung a ta.