< 1 Wafalme 6 >
1 Katika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Solomoni katika Israeli, katika mwezi wa Zivu, ambao ndio mwezi wa pili, alianza kujenga Hekalu la Bwana.
Ce fut en l'an quatre cent quarante de la sortie d'Égypte, pendant le second mois de la quatrième année du règne de Salomon, Que le roi donna l'ordre de prendre des pierres, grandes et chères, pour les fondations du temple, et des pierres parfaitement taillées.
2 Hekalu hilo Mfalme Solomoni alilojenga kwa ajili ya Bwana lilikuwa na urefu wa dhiraa sitini, upana wa dhiraa ishirini na kimo cha dhiraa thelathini kwenda juu.
Le temple que le roi bâtit au Seigneur avait quarante coudées de long, vingt de large et vingt-cinq d'élévation.
3 Baraza ya mbele ya Hekalu ilienea dhiraa ishirini kulingana na upana wa Hekalu na kujitokeza dhiraa kumi mbele ya Hekalu.
Le vestibule, sur la façade de l'édifice, était long de vingt coudées, la largeur même du temple en sa façade. Et le roi bâtit le temple, et il l'acheva.
4 Akatengeneza madirisha membamba yenye vidirisha vidogo vya juu katika Hekalu.
Il fit au temple des fenêtres inclinées et cachées.
5 Akafanyiza vyumba vya pembeni kulizunguka Hekalu lote vikishikamana na kuta za Hekalu na za Patakatifu pa Patakatifu.
Il fit, contre les murs du temple, des étages qui entouraient le temple et l'oracle.
6 Ghorofa ya chini kabisa ilikuwa na upana wa dhiraa tano, ya kati ilikuwa dhiraa sita na ya tatu ilikuwa dhiraa saba. Kuzunguka ukuta wa nje wa Hekalu akapunguza ukuta pande zote ili boriti zisishikane kwenye kuta za Hekalu.
L'étage inférieur avait cinq coudées de large; celui du milieu six, le troisième sept; il les sépara extérieurement du temple tout alentour, pour que cette construction ne s'engageât pas dans le mur du temple.
7 Katika kujenga Hekalu, yalitumika tu mawe yaliyochongwa huko machimboni, wala hakuna nyundo, patasi au chombo kingine chochote cha chuma kilichosikika sauti yake katika eneo la ujenzi wa Hekalu wakati lilipokuwa likijengwa.
Le temple fut bâti en pierres blanches taillées à angles droits; et, pendant qu'on l'élevait, on n'entendit dans le temple ni le marteau, ni la hache, ni aucun outil de fer.
8 Ingilio la ghorofa ya chini kabisa lilikuwa upande wa kusini wa Hekalu, ngazi ilielekea ghorofa ya kati na kutokea hapo ilielekea hadi ghorofa ya tatu.
Le porche de l'étage inférieur était sous l'aile droite du temple; un escalier tournant menait au milieu; et, du milieu, au troisième étage.
9 Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha, akiliweka paa za boriti na mbao za mierezi.
Salomon bâtit ainsi le temple; il l'acheva, et il le lambrissa de cèdre.
10 Mfalme Solomoni akajenga vyumba vya pembeni kuzunguka Hekalu lote. Kimo cha kila kimoja kilikuwa dhiraa tano. Navyo vilikuwa vimeunganishwa na Hekalu kwa boriti za mierezi.
Il éleva tout le long du temple des panneaux, ayant chacun cinq coudées de hauteur, et il les maintint dans des cadres de bois de cèdre.
11 Neno la Bwana likamjia Solomoni kusema:
Il fit ainsi en bois de cèdre le dedans du temple, depuis le sol jusqu'au haut des murs et jusqu'aux solives; il revêtit l'intérieur de lambris de bois, et il fit tout alentour une corniche de sapin.
12 “Kwa habari ya Hekalu hili unalojenga, kama ukifuata amri zangu, ukatunza masharti yangu na kushika maagizo yangu yote na kuyatii, kwa kupitia wewe nitatimiza ahadi niliyomwahidi Daudi baba yako.
Il fit ainsi en bois de cèdre le dedans du temple, depuis le sol jusqu'au haut des murs et jusqu'aux solives; il revêtit l'intérieur de lambris de bois, et il fit tout alentour une corniche de sapin.
13 Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”
Il fit ainsi en bois de cèdre le dedans du temple, depuis le sol jusqu'au haut des murs et jusqu'aux solives; il revêtit l'intérieur de lambris de bois, et il fit tout alentour une corniche de sapin.
14 Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha.
Il fit ainsi en bois de cèdre le dedans du temple, depuis le sol jusqu'au haut des murs et jusqu'aux solives; il revêtit l'intérieur de lambris de bois, et il fit tout alentour une corniche de sapin.
15 Akazifunika kuta zake za ndani kwa mbao za mierezi, akizipigilia ukutani kuanzia sakafuni mwa Hekalu hadi kwenye dari na kufunika sakafu ya Hekalu kwa mbao za misunobari.
Il fit ainsi en bois de cèdre le dedans du temple, depuis le sol jusqu'au haut des murs et jusqu'aux solives; il revêtit l'intérieur de lambris de bois, et il fit tout alentour une corniche de sapin.
16 Akagawa dhiraa ishirini sehemu ya nyuma ya Hekalu kwa mbao za mierezi kuanzia kwenye sakafu hadi darini ili kufanya sehemu takatifu ya ndani, yaani Patakatifu pa Patakatifu.
Il éleva une cloison de vingt coudées depuis le sol du temple jusqu'aux solives; au delà de cette cloison étaient l'oracle et le Saint des saints.
17 Ukumbi mkubwa uliokuwa mbele ya chumba hiki ndio ulikuwa na urefu wa dhiraa arobaini.
Et la nef avait quarante coudées,
18 Hekalu ndani ilikuwa ya mierezi iliyonakshiwa mifano ya maboga na maua yaliyochanua. Kila kitu kilikuwa cha mwerezi, hakuna jiwe ambalo lilionekana.
Jusqu'à la cloison qui la séparait de l'oracle, où devait être renfermée l'arche de l'alliance du Seigneur.
19 Ndani ya Hekalu akatengeneza sehemu takatifu ya ndani, kwa ajili ya kuweka Sanduku la Agano la Bwana.
Jusqu'à la cloison qui la séparait de l'oracle, où devait être renfermée l'arche de l'alliance du Seigneur.
20 Sehemu takatifu ya ndani ilikuwa na upana, urefu na kimo cha dhiraa ishirini ndani kwa ndani. Akaifunika ndani kwa dhahabu safi, pia akaifunika madhabahu ya mierezi vivyo hivyo.
Or, cet oracle avait vingt coudées de long, vingt coudées de large, vingt coudées de haut, et il le revêtit de lames d'or.
21 Solomoni akaifunika sehemu ya ndani ya Hekalu kwa dhahabu safi, naye akaitandaza mikufu ya dhahabu kutoka upande moja hadi ule mwingine mbele ya Patakatifu pa Patakatifu, ambako palifunikwa kwa dhahabu.
Et il fit devant l'oracle l'autel du Seigneur et il le revêtit d'or.
22 Basi akafunika sehemu yote ya ndani kwa dhahabu. Pia akafunika madhabahu yale yaliyokuwa ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kwa dhahabu.
Il revêtit d'or tout le temple en toutes ses parties.
23 Katika Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza makerubi wawili kwa mzeituni, kila moja likiwa na dhiraa kumi kwenda juu.
Il fit dans l'oracle deux chérubins de la taille de dix coudées.
24 Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na bawa jingine dhiraa tano, hivyo urefu kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa jingine ulikuwa dhiraa kumi.
L'un avait des ailes de cinq coudées, et le second avait des ailes de cinq coudées; de la naissance d'une aile à la naissance de l'autre, il y avait dix coudées.
25 Kerubi wa pili alikuwa na urefu wa dhiraa kumi pia, hivyo makerubi hao wawili walifanana kwa vipimo na kwa umbo.
Le second était semblable au premier, et ils avaient l'un et l'autre les mêmes dimensions.
26 Kimo cha kila kerubi kilikuwa dhiraa kumi.
L'un des deux chérubins était d'une taille de dix coudées, et l'autre pareillement.
27 Aliwaweka makerubi hao ndani ya Patakatifu pa Patakatifu pa Hekalu, mabawa yake yakiwa yamekunjuliwa. Bawa la kerubi mmoja liligusa ukuta mmoja, wakati bawa la yule mwingine liligusa ukuta mwingine, nayo mabawa yao mengine yaligusana katikati ya chumba.
Et les deux chérubins étaient placés au milieu du temple intérieur, et ils ouvraient les ailes; l'extrémité de l'aile de l'un touchait à l'un des murs, l'extrémité de l'aile de l'autre touchait au mur opposé; au milieu du temple, les deux autres ailes de chacun se rejoignaient par leurs extrémités.
28 Akafunika wale makerubi kwa dhahabu.
Le roi revêtit d'or les chérubins.
29 Juu ya kuta zote zilizozunguka Hekalu, za vyumba vya ndani na vya nje, zilipambwa kwa nakshi zilizokatwa za makerubi, miti ya mitende na maua yaliyochanua.
Il fit, sur tous les murs autour du temple, des ciselures, œuvre variée, et il sculpta des palmes intérieurement et extérieurement.
30 Pia alifunika sakafu zote za vyumba vya ndani na vya nje vya Hekalu kwa dhahabu.
Il revêtit d'or le plancher du temple au dedans et au dehors.
31 Kwa ingilio la Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza milango ya mbao za mzeituni, zikiwa na miimo na vizingiti vyenye umbo la pembe tano.
A l'entrée de l'oracle, il posa des portes de bois de genièvre, avec des pilastres à [cinq] faces.
32 Juu ya milango miwili ya mbao za mzeituni alinakshi makerubi, miti ya mitende pamoja na maua yaliyochanua na kufunika makerubi na miti ya mitende kwa dhahabu iliyofuliwa.
Les deux portes du temple étaient en sapin; [et il sculpta sur les battants des chérubins et des palmiers aux feuilles déployées, et il les recouvrit d'or, et l'or revêtait aussi les chérubins et les palmiers.]
33 Kwa njia iyo hiyo akatengeneza miimo yenye pande nne ya miti ya mizeituni, kwa ajili ya ingilio la ukumbi mkubwa.
[Et ainsi il fit pour la porte du temple des linteaux de genièvre, et des portiques à quatre côtés.]
34 Kulikuwa na milango miwili iliyoweza kukunjuka iliyotengenezwa kwa mbao za msunobari na kila mmoja ulikuwa na bawaba ambazo zingeuwezesha kujikunja kila kipande juu ya kingine.
[Et les deux portes étaient en planches de sapin; une porte constituée de deux battants avec leurs gonds, et de même l'autre porte.]
35 Akanakshi makerubi, miti ya mitende na maua yaliyochanua juu yake na kufunika kwa dhahabu iliyonyooshwa vizuri juu ya michoro.
Elles étaient ornées de chérubins et de palmes aux feuilles déployées, et les saillies étaient revêtues d'or.
36 Tena akajenga ua wa ndani safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa.
Il bâtit le parvis intérieur: trois assises de pierres de taille, et tout alentour un lambris de cèdre. Et il plaça parallèlement à la façade du temple le voile du parvis du vestibule.
37 Msingi wa Hekalu la Bwana uliwekwa katika mwaka wa nne, katika mwezi wa Zivu, ndio mwezi wa tano.
38 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, Hekalu lilikamilika katika hatua zake zote kwa kufuatana na maelekezo yake Solomoni. Alilijenga kwa miaka saba.