< 1 Wafalme 4 >

1 Basi Mfalme Solomoni akatawala Israeli yote.
A tak král Šalomoun byl králem nade vším Izraelem.
2 Hawa ndio waliokuwa maafisa wake wakuu: Kuhani: Azaria mwana wa Sadoki;
Tato pak byla knížata jeho: Azariáš syn Sádochův knížetem,
3 Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;
Elichoref a Achiáš synové Sísovi byli písaři, Jozafat syn Achiludův kancléřem,
4 Benaya mwana wa Yehoyada: jemadari mkuu wa jeshi; Sadoki na Abiathari: makuhani;
A Banaiáš syn Joiadův nad vojskem, Sádoch pak a Abiatar kněžími,
5 Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya; Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;
A Azariáš syn Nátanův nad úředníky, a Zábud syn Nátanův nejvyšší rada královská,
6 Ahishari: msimamizi wa jumba la kifalme; Adoniramu mwana wa Abda: msimamizi wa kazi za kulazimisha.
A Achisar vládař domu, Adoniram pak syn Abdy nad vybraným lidem.
7 Pia Solomoni alikuwa na watawala kumi na wawili wa wilaya katika Israeli yote, walioleta mahitaji kwa mfalme na kwa watu wa nyumbani kwa mfalme. Kila mmoja alitoa chakula kwa mwezi mmoja katika mwaka.
Měl také Šalomoun dvanácte vládařů nade vším Izraelem, kteříž opatrovali potravou krále i dům jeho. Každého roku za měsíc jeden každý měl opatrovati krále.
8 Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;
A tato jsou jména jejich: Syn Chur na hoře Efraim;
9 Ben-Dekeri: katika Makasi, Shaalbimu, Beth-Shemeshi na Elon-Bethhanani;
Syn Deker v Makaz a v Salbim, a v Betsemes a v Elon Betchanan;
10 Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);
Syn Chesed v Arubot, jehož bylo Socho i všecka země Chefer;
11 Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Solomoni);
Syn Abinadabův, jehož byly všecky končiny Dor, a měl Tafat dceru Šalomounovu za manželku;
12 Baana mwana wa Ahiludi: katika Taanaki na Megido, na katika Beth-Shani yote karibu na Sarethani chini ya Yezreeli, kuanzia Beth-Shani hadi Abel-Mehola kupita hadi Yokmeamu;
Baana syn Achiludův, jehož byl Tanach a Mageddo, i všecken Betsan, kterýž jest vedlé Sartan pod Jezreelem, od Betsan až do Abelmehula a až za Jekmaam;
13 Ben-Geberi: katika Ramoth-Gileadi (makao ya Yairi mwana wa Manase katika Gileadi ilikuwa miji yake, pamoja na wilaya ya Argobu katika Bashani na miji yake mikubwa sitini yenye kuzungukwa na kuta zenye makomeo ya shaba);
Syn Geber v Rámot Galád, jehož byly vsi Jair, syna Manassesova, kteréž jsou v Galád, jehož byla krajina Argob, kteráž jest v Bázan, šedesáte měst velikých hrazených a závřitých;
14 Ahinadabu mwana wa Ido: katika Mahanaimu;
Achinadab syn Iddo v Mahanaim;
15 Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Solomoni);
Achimaas v Neftalím, on také pojal Basemat dceru Šalomounovu za manželku;
16 Baana mwana wa Hushai: katika Asheri na katika Bealothi;
Baana syn Chusai v Asser a v Alot;
17 Yehoshafati mwana wa Parua: katika Isakari;
Jozafat syn Paruach v Izachar;
18 Shimei mwana wa Ela: katika Benyamini;
Semei syn Ela v Beniamin;
19 Geberi mwana wa Uri: katika Gileadi (nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani). Naye alikuwa ndiye mtawala pekee katika eneo hilo.
Geber syn Uri v zemi Galád, v zemi Seona, krále Amorejského, a Oga krále Bázan; ten sám vládařem jedním představen byl té zemi.
20 Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.
Tehdáž Juda a Izrael rozmnoženi jsouce jako písek při moři v množství, jedli a pili, a veselili se.
21 Mfalme Solomoni akatawala katika falme zote kuanzia Mto Frati hadi nchi ya Wafilisti, hadi kwenye mpaka wa Misri. Nchi hizi zilileta ushuru na zilikuwa chini ya Solomoni, siku zote za maisha yake.
Nebo Šalomoun panoval nade všemi královstvími od řeky až k zemi Filistinské, a až k končinám Egyptským. I přinášeli dary a sloužili Šalomounovi po všecky dny života jeho.
22 Mahitaji ya Solomoni ya kila siku yalikuwa kori thelathini za unga laini, kori sitini za unga wa kawaida.
Vycházelo pak ku potravě Šalomounovi na každý den třidceti měr běli, a šedesáte měr mouky obecné,
23 Ngʼombe kumi wa zizini, ngʼombe ishirini wa malisho, kondoo na mbuzi mia moja, pamoja na ayala, paa, kulungu na kuku wazuri sana.
Deset volů krmných a dvadceti volů pastevných, a sto ovec, kromě jelenů, srn, bůvolů a ptactva vykrmeného.
24 Kwa kuwa Solomoni alitawala falme zote magharibi ya mto, kuanzia Tifsa hadi Gaza, naye akawa na amani pande zote.
On zajisté panoval všudy s této strany řeky od Tipsach až do Gázy nade všemi králi, kteříž byli před řekou, a měl pokoj se všech stran vůkol.
25 Wakati wa maisha ya Solomoni Yuda na Israeli, kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba, wakaishi salama kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake.
I bydlil Juda a Izrael bezpečně, jeden každý pod svým vinným kmenem a pod svým fíkem, od Dan až do Bersabé, po všecky dny Šalomounovy.
26 Solomoni alikuwa na mabanda 4,000 ya magari ya vita, na farasi 12,000.
Měl také Šalomoun čtyřidceti tisíc koní na stání k vozům svým, a dvanácte tisíc jízdných.
27 Maafisa wa eneo hilo, kila mmoja katika mwezi wake, walileta mahitaji kwa ajili ya Mfalme Solomoni na wote waliokula mezani mwa mfalme. Walihakikisha kuwa hakuna chochote kilichopungua.
A tak opatrovali ti úředníci krále Šalomouna i všecky, kteříž přicházeli k stolu krále Šalomouna, jeden každý za měsíc svůj, nedopouštějíce, aby v čem nedostatek býti měl.
28 Pia walileta sehemu walizopangiwa za shayiri na majani kwa ajili ya farasi wavutao magari na farasi wengine mahali palipostahili.
Ječmene také a slámy pro koně a pro mezky dodávali k tomu místu, kdež byl král, jeden každý, jakž mu uloženo bylo.
29 Mungu akampa Solomoni hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.
Nadto dal Bůh moudrost Šalomounovi a prozřetelnost velikou náramně, a širokost mysli, jako jest písku na břehu mořském.
30 Hekima ya Solomoni ilikuwa kubwa kuliko hekima ya watu wote wa Mashariki na kubwa kuliko hekima yote ya Misri.
Nebo větší byla moudrost Šalomounova, než moudrost všech národů východních, a než všeliká moudrost Egyptských.
31 Alikuwa na hekima kuliko kila mwandishi, akiwemo Ethani Mwezrahi: kuliko Hemani, Kalkoli na Darda, wana wa Maholi. Umaarufu wake ukaenea kwa mataifa yote yaliyomzunguka.
Nýbrž moudřejší byl nad všecky lidi, až i nad Etana Ezrachitského, též nad Hémana, a Kalkole i Darda, syny Máchol, a rozneslo se jméno jeho po všech národech vůkol.
32 Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005.
Složil také tři tisíce přísloví, a písniček jeho bylo tisíc a pět.
33 Akaelezea maisha ya mimea kuanzia mwerezi wa Lebanoni hadi hisopo iotayo ukutani. Pia akafundisha kuhusu wanyama na ndege, wanyama wenye damu baridi, wakiwemo samaki.
Vypsal též i o stromích, počna od cedru, kterýž jest na Libánu, až do mchu, kterýž roste na zdi; psal i o hovadech a o ptácích, a zeměplazích a o rybách.
34 Watu wa mataifa yote wakaja kusikiliza hekima ya Solomoni, waliotumwa na wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamesikia juu ya hekima yake.
Protož přicházeli ze všech národů poslouchati moudrosti Šalomounovy, i ode všech králů země, kteříž slyšeli o moudrosti jeho.

< 1 Wafalme 4 >