< 1 Wafalme 4 >

1 Basi Mfalme Solomoni akatawala Israeli yote.
Soloumane da Isala: ili fi huluane ouligilalusu.
2 Hawa ndio waliokuwa maafisa wake wakuu: Kuhani: Azaria mwana wa Sadoki;
Amola ea eagene hawa: hamosu dunu bagade da amo: - Gobele salasu ouligisu-A: salaia (Sa: idoge egefe)
3 Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;
Hina bagade ea dedesu dunu-Elihoulefe amola Ahaidia (ela da Siaisia ea mano) Dedene legei ouligisu dunu-Yihosiafa: de (Ahailade ea mano)
4 Benaya mwana wa Yehoyada: jemadari mkuu wa jeshi; Sadoki na Abiathari: makuhani;
Dadi gagui wa: i ouligisu dunu-Bina: ia (Yihoida egefe) Gobele Salasu dunu-Sa: idoge amola A: baia: da
5 Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya; Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;
Soge afae afae ouligisu dunu ilia bai ouligisu dunu-A: salaia (Na: ida: ne ea egefe) Hina bagade fada: i sia: fidisu dunu-gobele salasu dunu Sa: iba: de (Na: ida: ne ea egefe)
6 Ahishari: msimamizi wa jumba la kifalme; Adoniramu mwana wa Abda: msimamizi wa kazi za kulazimisha.
Hina bagade diasu hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunu-Ahaisia Udigili hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunu-A: dounaila: me (A: bada egefe)
7 Pia Solomoni alikuwa na watawala kumi na wawili wa wilaya katika Israeli yote, walioleta mahitaji kwa mfalme na kwa watu wa nyumbani kwa mfalme. Kila mmoja alitoa chakula kwa mwezi mmoja katika mwaka.
Soloumane da Isala: ili soge ganodini, sogebi ouligisu bai dunu fagoyale gala amo ilegei. Ilia hawa: hamosu da afae afae ode huluane ganodini, ilia oubi afaega hina bagade amola ea diasua esalebe dunu ilima ha: i manu, amo ilia dunu fi amoga lale iasu.
8 Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;
Amo sogebi bai ouligisu dunu fagoyale amola ilia ouligi sogebi bai dio da haguduga dedei. Ouligisu Dunu Sogebi Bai Benehe - Ifala: ime agolo soge
9 Ben-Dekeri: katika Makasi, Shaalbimu, Beth-Shemeshi na Elon-Bethhanani;
Benedege - Ma: iga: se, Sia: ilibimi, Bede Simese, Ilone amola Bede Ha: ila: ne (huluane da moilai bai bagade).
10 Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);
Benehisidi - Alubode amola Sougo (moilai bai bagade) amola Hife soge huluane.
11 Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Solomoni);
Benabinada: be (e da Soloumane ea uda mano Da: ifa: de lai dagoi) - Do soge huluane.
12 Baana mwana wa Ahiludi: katika Taanaki na Megido, na katika Beth-Shani yote karibu na Sarethani chini ya Yezreeli, kuanzia Beth-Shani hadi Abel-Mehola kupita hadi Yokmeamu;
Ba: iana (Ahailade egefe) - Da: ianage amola Megidou (moilale gagai bai bagade), Amola soge huluane amo da Bedesia: ne soge amola Sa: leda: ne moilaigadenene galu. Amo soge da Yeseliele moilai bai bagadega ga (south) asili, A:ibele Mihoula amola Yogomia: ime moilale gagai bai bagadega doaga: i.
13 Ben-Geberi: katika Ramoth-Gileadi (makao ya Yairi mwana wa Manase katika Gileadi ilikuwa miji yake, pamoja na wilaya ya Argobu katika Bashani na miji yake mikubwa sitini yenye kuzungukwa na kuta zenye makomeo ya shaba);
Benegiba - La: imode moilai bai bagade (Gilia: de soge ganodini) amola moilai Gilia: de soge ganodini amo Ya: ie fi da gagui. (Ya: ie da Ma: na: se ea fi). Amola moilai huluane Agobe sogebi (Ba: isia: ne soge ganodini) amo ganodini e ouligi. Ea ouligibi huluane da moilai bagade 60 agoane. Ilia da gasa bagade gagili sali amola ilia logo ga: su da balasega hamoi galiamo agoai liligi amoga ga: i.
14 Ahinadabu mwana wa Ido: katika Mahanaimu;
Ahinada: be (Idou egefe) - Ma: ihana: ime soge
15 Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Solomoni);
Ahima: ia: se (e da Soloumane uda mano eno amo Ba: sema: de lai) - Na: fadalai soge
16 Baana mwana wa Hushai: katika Asheri na katika Bealothi;
Ba: iana (Hiusiai egefe) - A: sie soge amola Bialode moilai
17 Yehoshafati mwana wa Parua: katika Isakari;
Yihosiafa: de (Balua egefe) - Isaga soge
18 Shimei mwana wa Ela: katika Benyamini;
Simiai (Ila egefe) - Bediamini soge
19 Geberi mwana wa Uri: katika Gileadi (nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani). Naye alikuwa ndiye mtawala pekee katika eneo hilo.
Giba (Ulai egefe) - Gilia: de soge (musa: A:moulaide hina bagade Saihone amola Ba: isia: ne hina bagade Ogo da Gilia: de soge ouligisu) Amo dunu fagoyale gala afae afae da Isala: ili sogebi bai huluane ouligisu. Amola ilia da ouligisudafa hina dunu afae eno gala. E da Isala: ili soge huluane ouligi.
20 Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.
Yuda amola Isala: ili dunu ilia idi da sa: iboso gasei amo hano wayabo bagade bega: gala amo idi defele ba: su. Ilia da ha: i manu amola hano hahawane nanu, hahawane esalu.
21 Mfalme Solomoni akatawala katika falme zote kuanzia Mto Frati hadi nchi ya Wafilisti, hadi kwenye mpaka wa Misri. Nchi hizi zilileta ushuru na zilikuwa chini ya Solomoni, siku zote za maisha yake.
Soloumane ea ouligisu ganodini, eno fi amo da Iufala: idisi Hano bega: asili Filisidini soge amola Idibidi alalo amoga doaga: le, amo fi huluane Soloumane da ouligi. Ilia da ema su ianu, ea esalusu huluane ganodini, ea sia: nabawane hamosu.
22 Mahitaji ya Solomoni ya kila siku yalikuwa kori thelathini za unga laini, kori sitini za unga wa kawaida.
23 Ngʼombe kumi wa zizini, ngʼombe ishirini wa malisho, kondoo na mbuzi mia moja, pamoja na ayala, paa, kulungu na kuku wazuri sana.
Eso huluane, eso afae afae amoga, Soloumane da ea diasua esalebe dunu ilia moma: ne, hagudu dedei liligi lai: - noga: idafa falaua- 5,000 lida agoane, gala: ine goudai-10,000 lida agoane, bulamagau (amo ilia da diasu ganodini alema: ne ha: i manu iasu)- 10, bulamagau amo da gisi bugi nana alei-20, sibi-100, amola ‘dia’ ohe, ‘gasele’, ‘lobage’ amola ‘gagala’.
24 Kwa kuwa Solomoni alitawala falme zote magharibi ya mto, kuanzia Tifsa hadi Gaza, naye akawa na amani pande zote.
Soloumane da soge huluane amo da Iufala: idisi Hano guma: dini gala amo huluane ouligi. Ea soge da Difisa (hano degesu) amogainini guma: dini asili Ga: isa moilai bai bagadega doaga: i. Hina bagade huluane Iufala: idisi Hano amo guma: dini esalu da eha esalu. E amola ea na: iyado fi da olofole esalu.
25 Wakati wa maisha ya Solomoni Yuda na Israeli, kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba, wakaishi salama kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake.
E da esaloba, dunu fi huluane Yuda soge amola Isala: ili soge amo ganodini esalu da gaga: iba: le, hahawane esalu. Sosogo fi higagale da ilila: waini efe amola figi ifa defe gagai.
26 Solomoni alikuwa na mabanda 4,000 ya magari ya vita, na farasi 12,000.
Soloumane da ‘sa: liode’ hosi ilia sesei 40,000 agoane galu, amola dadi gagui dunu ilia fila heda: ma: ne hosi 12,000 agoane galu.
27 Maafisa wa eneo hilo, kila mmoja katika mwezi wake, walileta mahitaji kwa ajili ya Mfalme Solomoni na wote waliokula mezani mwa mfalme. Walihakikisha kuwa hakuna chochote kilichopungua.
Ea sogebi bai ouligisu dunu fagoyale da higagale ea oubi ilegei amoga hina bagade amoma ha: i manu, e amola dunu huluane ea diasua esala defele moma: ne, ema i.
28 Pia walileta sehemu walizopangiwa za shayiri na majani kwa ajili ya farasi wavutao magari na farasi wengine mahali palipostahili.
Amola sogebi bai ouligisu dunu ilia da higagale, bali gala: ine amola gisi ilima ilegei defele, ‘sa: liode’ hosi amola hiougisu ohe ilia moma: ne iasu.
29 Mungu akampa Solomoni hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.
Gode da Soloumanema asigi dawa: su bagadedafa amola ea dogo ganodini dawa: su bagade i. Ea asigi dawa: su da defemu hamedei ba: i.
30 Hekima ya Solomoni ilikuwa kubwa kuliko hekima ya watu wote wa Mashariki na kubwa kuliko hekima yote ya Misri.
Soloumane ea asigi dawa: su da bagadedafaba: le, gusudili bagade dawa: su dunu amola Idibidi bagade dawa: su dunu ilia dawa: su baligi dagoi.
31 Alikuwa na hekima kuliko kila mwandishi, akiwemo Ethani Mwezrahi: kuliko Hemani, Kalkoli na Darda, wana wa Maholi. Umaarufu wake ukaenea kwa mataifa yote yaliyomzunguka.
Ea asigi dawa: su da dunu huluanedafa ilia asigi dawa: su amo baligi dagoi. Ea asigi dawa: su da Ida: ne (Eselahaide dunu) amola Ma: ihole egefelali (Hima: ne, Galagole amola Dada: ), amo dunu huluane ilia asigi dawa: su baligi dagoi. Dunu huluane e beba: le fifi asi da ea bagade dawa: su hou amo lalaba asi.
32 Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005.
E da malasu sia: 3,000 agoane hahamoi amola gesami 1,000 agoane baligili hahamoi.
33 Akaelezea maisha ya mimea kuanzia mwerezi wa Lebanoni hadi hisopo iotayo ukutani. Pia akafundisha kuhusu wanyama na ndege, wanyama wenye damu baridi, wakiwemo samaki.
E da ifa amola ifalabo amoma gogosele sia: asi. E da Lebanone dolo ifa amola ‘hisobe’ amo da dobeaba: le heda: i amo ea hou gogosele sisa: asi. E da ohe fi, sio fi, hanome, goma: , sania enoenoi amola menabo fi huluane ilia hou gogosele sisa: asi.
34 Watu wa mataifa yote wakaja kusikiliza hekima ya Solomoni, waliotumwa na wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamesikia juu ya hekima yake.
Osobo bagade hina bagade ilia da ea hina bagade hou nababeba: le, amo sia: naba masa: ne, dunu ema asunasisi.

< 1 Wafalme 4 >