< 1 Wafalme 21 >
1 Baada ya hayo, Nabothi, Myezreeli, alikuwa na shamba la mizabibu jirani na jumba la kifalme la Ahabu mfalme wa Samaria.
Hina bagade A: iha: be ea diasu (Yeseliele Moilai bai bagade ganodini galu) amo gadenene, waini efe sagai ba: i. Amo waini efe sagasu eda ea dio da Na: ibode.
2 Ahabu akamwambia Nabothi, “Nipe shamba lako la mizabibu nilitumie kwa bustani ya mboga, kwa kuwa liko karibu na jumba langu la kifalme. Badala yake, nitakupa shamba jingine la mizabibu zuri zaidi au, kama utapenda, nitakulipa kiasi chochote unachoona ni thamani yake.”
Eso afaega, A:iha: be da Na: ibodema amane sia: i, “Dia waini efe sagai nama bidi lama. Amo sogebi da na hina bagade diasu gadenene gala. Na da amoga bou sagamu hanai. Na da waini efe sagai eno noga: idafa o dia sagai bidi lasu defele dima imunu.”
3 Lakini Nabothi akamjibu, “Bwana na apishe mbali kukupa wewe urithi wa baba zangu.”
Be Na: ibode da bu adole i, “Na aowalalia waini efe sagai nana da nagili i. Na da amo dima iasea, Hina Gode da hahawane hame ba: mu.”
4 Basi Ahabu akaenda nyumbani, mwenye huzuni na hasira kwa sababu ya yale ambayo Nabothi, Myezreeli, alikuwa amesema, “Sitakupa urithi wa baba zangu.” Akajinyoosha juu ya kitanda akisononeka, na akakataa kula.
Na: ibode da ema amane sia: beba: le, A:iha: be da da: i dioi amola ougiwane hi diasua buhagi. E da ea diaheda: su amoga diaheda: le, diasu dobea damana ba: le ganone, ha: i mae nawene, da: i dioiwane dialu.
5 Yezebeli mke wake akaingia na akamuuliza, “Kwa nini unahuzunika hivi? Kwa nini huli chakula?”
Ea uda Yesebele da ema asili, amane adole ba: i, “Di da abuliba: le da: i diobela: ? Abuliba: le di da ha: i hame nabela: ?”
6 Akamjibu, “Kwa sababu nilimwambia Nabothi, Myezreeli, ‘Niuzie shamba lako la mizabibu, au kama ukipenda, nitakupa shamba jingine la mizabibu badala yake.’ Lakini akasema, ‘Sitakupa shamba langu la mizabibu.’”
E bu adole i, “Bai Na: ibode da nama sia: i. Na da ea waini efe sagai ema bidi lama: ne o amo lale, eno sagai ema ima: ne sia: i. Be e da nama hame imunu sia: i.”
7 Yezebeli mke wake akasema, “Hivi ndivyo unavyofanya, nawe ni mfalme katika Israeli yote? Inuka na ule! Changamka. Nitakupatia shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli.”
Yesebele da bu adole i, “Di da hina bagadela: ? Dia olobose da ahoanebe amo yolesili, hahawane ha: i moma. Na da Na: ibode ea waini sagai lale, dima imunu.”
8 Kwa hiyo akaandika barua kwa jina la Ahabu akaweka muhuri wake juu ya hizo barua, akazipeleka kwa wazee na kwa watu wenye cheo walioishi katika mji pamoja na Nabothi.
Amalalu, Yesebele da meloa dedene, amoga A: iha: be ea dio dedene, eagene ouligisu dunu amola mimogo dunu ilima iasi.
9 Katika barua hizo aliandika: “Tangazeni siku ya watu kufunga na mkamketishe Nabothi mahali pa wazi miongoni mwa watu.
Meloa dedei amoga da amane sia: i ba: i, “Ha: i mae nawene esalumusa: , eso ilegema. Dunu huluane gilisima: ne sia: ne, Na: ibodema nodoma: ne sogebi ema ima.
10 Lakini waketisheni watu wawili wabaya kabisa mkabala naye, nao washuhudie kuwa yeye amemlaani Mungu na mfalme. Kisha mtoeni nje na kumpiga kwa mawe hadi afe.”
Dodona: gi dunu aduna lama. Ela da ea odagia diwaneya udidima: ne, elama sia: ma. Ela da e da Godema amola hina bagadema gagabusu aligima: ne hamoi dagoi sia: mu. Amasea, e moilaiga gadili oule asili, igiga medole legema.”
11 Hivyo wazee na watu wenye cheo walioishi katika mji wa Nabothi wakafanya kama Yezebeli alivyoelekeza katika barua aliyowaandikia.
Eagene ouligisu dunu amola mimogo dunu da Yesebele ea hamoma: ne sia: i defele hamoi.
12 Wakatangaza mfungo na kumketisha Nabothi mahali pa wazi miongoni mwa watu.
Ilia da ha: i mae nawene esalumusa: eso ilegele, dunu huluane gilisima: ne wele sia: ne, Na: ibodema nodoma: ne, sogebi ema i.
13 Kisha watu wawili wabaya kabisa wakaja wakaketi mkabala naye, nao wakaleta mashtaka dhidi ya Nabothi mbele ya watu, wakisema, “Nabothi amemlaani Mungu na mfalme.” Kwa hiyo wakamtoa nje na kumpiga kwa mawe hadi akafa.
Dodona: gi dunu aduna da Na: ibode da Gode amola hina bagade elama gagabusu aligima: ne ilegei, amo sia: beba: le, ilia da Na: ibode, moilaia gadili oule asili, e igiga gala: le medole legei.
14 Kisha wakatuma ujumbe kwa Yezebeli, kusema, “Nabothi amepigwa mawe na amekufa.”
Ilia da Yesebelema amane sia: si, “Na: ibode da medole legei dagoi.”
15 Mara tu Yezebeli aliposikia kwamba Nabothi amepigwa mawe na amekufa, akamwambia Ahabu, “Amka na uchukue lile shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli, ambalo alikataa kukuuzia. Hayuko hai tena, bali amekufa.”
Amo sia: si da Yesebelema doaga: loba, e da A: iha: bema amane sia: i, “Na: ibode da bogoi dagoi. E da ea waini efe sagai dima bidi lamu higa: i galu. Wali di asili, amo udigili lama.”
16 Ahabu aliposikia Nabothi amekufa, akainuka na kushuka ili kulichukua shamba la mizabibu la Nabothi.
Hedolowane, A:iha: be da waini efe sagai lamusa: asi.
17 Kisha neno la Bwana likamjia Eliya, Mtishbi:
Amalalu, Hina Gode da Disiabe moilaiga misi balofede dunu Ilaidiama amane sia: i,
18 “Shuka ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, anayetawala Samaria. Sasa yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ambapo amekwenda alimiliki.
“Di Samelia hina bagade A: iha: bema masa. E da Na: ibode ea waini efe sagai amo lamusa: esalebe. Di da e amogai ba: mu.
19 Umwambie, ‘Hivi ndivyo Bwana asemavyo: Je, hujamuua mtu na kuitwaa mali yake?’ Kisha umwambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Mahali ambapo mbwa waliramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, naam, yako wewe!’”
Ema amane sia: ma, ‘Hina Gode da dima amane sia: sa; Di da Na: ibode medole legelalu, ea sagai huluane lama: bela: ? Amo sogebia, wa: me da Na: ibode ea maga: me helowa: le ebelei dagoi ba: i. Amola amo sogebigadafa amogaiwane, ilia da dia maga: me helowa: mu.’”
20 Ahabu akamwambia Eliya, “Kwa hiyo umenipata, wewe adui yangu!” Akajibu, “Ndiyo, nimekupata. Kwa sababu umejiuza mwenyewe kufanya uovu mbele ya macho ya Bwana.
A: iha: be da Ilaidia ba: loba, e amane sia: i, “Nama ha lai dunu! Dia da na ba: ila: ?” Ilaidia da amane sia: i, “Ma! Hina Gode da wadela: i hou ba: mu bagade higasa. Be di da wadela: i hou fawane hamomusa: , disu ilegei dagoi.
21 ‘Nitaleta maafa juu yako. Nitaangamiza uzao wako na kukatilia mbali kutoka kwa Ahabu kila mzaliwa wa mwisho wa kiume katika Israeli, wa mtumwa au wa mtu huru.
Amaiba: le, Hina Gode da dima amane sia: sa, ‘Na da gugunufinisisu hou dima imunu. Na da di medole legemu, amola dia sosogo fi ganodini dunumusu huluanedafa medole legemu.
22 Nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwana wa Nebati na ile ya Baasha mwana wa Ahiya, kwa sababu umenighadhibisha kwa kuwa umesababisha Israeli kutenda dhambi.’
Dia sosogo fi da hina bagade Yelouboua: me (Niba: de egefe), ea sosogo fi defele ba: mu, amola hina bagade Ba: iasia (Ahaidia egefe) ea sosogo fi defele ba: mu. Bai di da Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asiba: le, Na ougi da heda: i dagoi.’
23 “Pia kwa habari ya Yezebeli Bwana anasema, ‘Mbwa watamla Yezebeli karibu na ukuta wa Yezreeli.’
Amola Hina Gode da Yesebele ema fa: no misunu hou amane olelesa, ‘Ea bogoi da: i hodo amo Yeseliele moilai bai bagade logoa wa: mega na dagoi ba: mu.’
24 “Mbwa watawala wale wa nyumba ya Ahabu watakaofia mjini, nao wale watakaofia mashambani wataliwa na ndege wa angani.”
Dia sosogo fi afae da moilai ganodini bogosea da wa: mega mai dagoi ba: mu. Amola oda sogebi genebogelaga bogosea, buhibaga na dagoi ba: mu.”
25 (Hapajapata kamwe kuwa na mtu kama Ahabu, aliyejiuza mwenyewe kutenda uovu machoni mwa Bwana, akiwa anachochewa na Yezebeli mkewe.
(Hou amo da Hina Gode wadela: idafa ba: sa, dunu bagohame da hamosu. Be A: iha: be ea wadela: i hamobe da dunu huluanedafa ilia wadela: i hou baligi dagoi ba: i. Ea uda Yesebele da ea wadela: i hou hamoma: ne seseiba: le, e agoane hamoi.
26 Alitenda kwa uovu sana katika kuabudu sanamu, kama wale Waamori ambao Bwana aliowafukuza mbele ya Israeli.)
E da baligilidafa gogosiasu wadela: i hou hamoi. Musa: Isala: ili dunu da Ga: ina: ne soge lamusa: gusuba: le ahoanoba, Hina Gode da A: moulaide dunu gadili sefasi. Bai A: moulaide dunu da loboga hamoi ogogole ‘gode’ agoaila amoma nodone sia: ne gadoi. Amola A: iha: be da amanewane hamoi.)
27 Ahabu aliposikia maneno haya, akararua nguo zake, akavaa nguo za gunia na kufunga. Akalala na kujifunika nguo za gunia na kwenda kwa unyenyekevu.
Ilaidia da sia: nu fisiagaloba, A:iha: be da abula gadelale, gisa: le fasilalu, eboboi abula ga: i. E da ha: i manu hohobole, eboboi abula ga: ne golai, amola da: i diowane odagi hagulasa: ili ahoanu.
28 Ndipo neno la Bwana lilipomjia Eliya Mtishbi kusema,
Hina Gode da Ilaidiama amane sia: i,
29 “Umeona jinsi Ahabu alivyojinyenyekeza mbele zangu? Kwa kuwa amejishusha mwenyewe, sitaleta maafa haya wakati akiwa hai, lakini nitayaleta juu ya nyumba yake katika siku za mwanawe.”
“Di da A: iha: be ea Nama asaboi hou ea wali hamoi amo ba: bela: ? E da amane hamobeba: le, Na da e esalea, gugunufinisisu hou hame hamomu. Be egefe ea esalebe esoga, Na da A: iha: be ea sosogo fi ilima gugunufinisisu hou iasimu.”