< 1 Wafalme 20 >
1 Wakati huu, Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akakusanya jeshi lake lote. Akifuatana na wafalme thelathini na wawili wakiwa na farasi na magari ya vita, akakwea kuuzingira kwa jeshi Samaria na kuishambulia.
Silia hina bagade Beneha: ida: de da ea dadi gagui dunu huluane gagadoi. Soge ouligisu dunu eno32 agoane ilia da fuligala: musa: dadi gagui dunu da ilia hosi da: iya fila heda: fia: i. Ilia da gusu ba: i mogodigili heda: fia: le, Samelia moilai bai bagadega doaga: i.
2 Akawatuma wajumbe katika mji kwa Ahabu mfalme wa Israeli, kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi:
E da sia: adola ahoasu dunu ilia Isala: ili hina bagade A: iha: be moilai ganodini esalebe, ema adoma: ne asunasi. Ilia da ema amane sia: i, “Hina bagade Beneha: ida: de da dima amane hamoma: ne sia: sa,
3 ‘Fedha yako na dhahabu ni yangu, nao wake zako walio wazuri sana na watoto ni wangu.’”
‘Dia silifa amola gouli huluane, amola dilia udalali amola baligili gasa bagade manolali amo huluane ema ima.’”
4 Mfalme wa Israeli akajibu, “Iwe kama usemavyo, bwana wangu mfalme. Mimi na vyote nilivyo navyo ni mali yako.”
A: iha: be da bu adole i, “Na hina Beneha: ida: dema amane adoma, ‘Defea mabu! E da na amola na gagui huluane fedelamu da defea.’”
5 Wale wajumbe wakaja tena na kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi: ‘Nimetuma kutaka fedha yako na dhahabu, wake zako na watoto wako.
Amalalu, Beneha: ida: de ea adola ahoasu dunu ilia da bu A: iha: bema misini, Beneha: ida: de ea adole iasu sia: amo eno amane sia: i, “Na da dima dia silifa amola gouli amola udalali amola manolali huluane nama ima: ne sia: i.
6 Lakini kesho wakati kama huu, nitawatuma maafisa wangu kukagua jumba lako la kifalme na nyumba za maafisa wako. Watatwaa kitu unachokithamini nao watakichukua.’”
Be wali na da na dadi gagui ouligisu dunu ili asunasimu. Ilia da dia hina bagade diasu amola dia eagene ouligisu dunu ilia diasu huluane amo ganodini hogole, liligi huluane da noga: i, amo ilia ba: sea, ladili ebelemu. Ilia da aya eso we waba, misunu.”
7 Mfalme wa Israeli akawaita wazee wote wa nchi na akawaambia, “Tazama jinsi mtu huyu anavyochokoza! Wakati alipotuma apelekewe wake zangu na watoto wangu, fedha zangu na dhahabu yangu, sikumkatalia.”
Hina bagade A: iha: be da ea soge ouligisu dunu huluane ema misa: ne sia: ne, ilima amane sia: i, “Amo dunu da nini wadela: lesimusa: dawa: lebe, amo dilia da ba: sa. E da na udalali amola manolali amola na silifa amola gouli fefedelamusa: , nama sia: si. Amola na da amo igili imunu sia: i.”
8 Wazee na watu wote wakajibu, “Usimsikilize, wala usiyakubali matakwa yake.”
Ouligisu dunu ilia amola dunu huluane, da amane sia: i, “Ea sia: mae nabima! Ema agoane hamoma: ne mae sia: ma!”
9 Kwa hiyo akawajibu wajumbe wa Ben-Hadadi, “Mwambieni bwana wangu mfalme, ‘Mtumishi wako atafanya yote uliyoyadai mwanzoni, lakini dai hili la sasa siwezi kulitekeleza.’” Wakaondoka na kupeleka jibu kwa Ben-Hadadi.
Amaiba: le, A:iha: be da Beneha: ida: de ea sia: adosi dunu ilima amane sia: i, “Na hina Beneha: ida: de ema amane sia: ma, ‘Na da dia musa: adole ba: su hamoma: ne sia: i. Be dia hamoma: ne sia: i ageyadu amo na da hame hamomu.’” Adola ahoasu dunu ilia da fisili asili, amalalu sia: eno ema adola misi.
10 Kisha Ben-Hadadi akatuma ujumbe mwingine kwa Ahabu, kusema “Miungu iniletee maafa, tena makubwa zaidi, ikiwa vumbi la Samaria litatosheleza konzi moja ya kila mtu ya wale wafuatanao nami.”
Beneha: ida: de da amane sia: si, “Na da dunu bagohamedafa amo dia moilai mugulumusa: oule misunuba: le, ilia da moilai mugului isu amo ilia loboa gaguli masunu defele ba: mu. Na da amane hame hamosea, ‘gode’ ilia da na fane legemu da defea.”
11 Mfalme wa Israeli akajibu, “Mwambieni, ‘Yule anayevaa mavazi ya vita asije akajisifu kama yule anayevua.’”
Hina bagade A: iha: be da bu adole i, “Hina bagade Beneha: ida: dema amane sia: sima, ‘Dadi gagui dunudafa da hidadea hasalasilalu amalu fa: no da hidale sia: sa, be bisili da hame sia: sa.’”
12 Ben-Hadadi alisikia ujumbe huu wakati ambapo yeye na wafalme walikuwa wanakunywa katika mahema yao, na akawaamuru watu wake, “Jiandaeni kushambulia.” Kwa hiyo wakajiandaa kuushambulia mji.
Beneha: ida: de amola ema fuligala: su dunu ilia ouligisu dunu, ilia da ilia abula diasu ganodini adini nanebe ba: loba, A:iha: be ea adole iasu nabi. Beneha: ida: de da ea dadi gagui dunu ilia da moilai bai bagade doagala: musa: momagema: ne sia: i. Amaiba: le, ilia da ilia doagala: mu sogebi amoga huluane asi.
13 Wakati ule ule nabii akamjia Ahabu mfalme wa Israeli na kutangaza, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Je, unaona jeshi hili kubwa? Nitalitia mkononi mwako leo, nawe ndipo utajua kwamba mimi ndimi Bwana.’”
Be amogalu, balofede dunu afae da hina bagade A: iha: bema asili, amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Silia dadi gagui wa: i bagadedafa, amoba: le mae beda: ma! Na da wali eso dima hasalasu hou imunu. Amasea, Na da Hina Godedafa, dia da dawa: mu.’”
14 Ahabu akauliza, “Ni nani atakayefanya hili?” Nabii akamjibu, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Maafisa vijana majemadari wa majimbo watafanya hili.’” Akauliza, “Ni nani atakayeanzisha vita?” Nabii akamjibu, “Ni wewe.”
A: iha: be da amane adole ba: i, “Ilima doagala: sea, nowa da bisilua hamoma: bela: ?” Balofede dunu da bu adole i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Ayeligi dadi gagui dunu ilia da bisili doagala: mu. Amola soge bai ouligisu dunu ilia da ayeligi ouligimu.’” Hina bagade da bu adole bai, “Be dadi gagui wa: i ouligisudafa da nowala: ?” Balofede dunu da bu adole i, “Difa!”
15 Kwa hiyo Ahabu akawaita maafisa vijana majemadari wa majimbo, wanaume 232. Kisha akawakusanya Waisraeli wote waliobaki, jumla yao 7,000.
Amaiba: le, hina bagade da ayeligi dadi gagui dunu amo da soge bai ouligisu dunu hagudu gala, amo huluane gilisimusa: wei. Ilia idi da 232 agoane. Amalalu, e da Isala: ili dadi gagui dunu huluane amo gilisima: ne wei. Ilia idi da dunu 7,000 agoane.
16 Wakaondoka wakati wa adhuhuri, Ben-Hadadi na wale wafalme thelathini na wawili walioungana naye walipokuwa katika mahema yao wakilewa.
Doagala: su da esomogoa mui. Beneha: ida: de amola ea fuligala: su dunu (huluane ilia idi da 32 agoane) ilia da ilia abula diasu ganodini adini nanebeba: le, bai muni feloai agoai ba: i.
17 Maafisa vijana majemadari wa majimbo waliondoka kwanza. Wakati huu Ben-Hadadi alikuwa amewatuma wapelelezi, ambao walileta taarifa kusema kwamba, “Askari wanasonga mbele kutoka Samaria.”
Isala: ili ayeligi dadi gagui dunu da bisili gusuba: le doagala: musa: asi. Beneha: ida: de da desega ahoasu dunu asunasi. Ilia da ema buhagili misini, ema ilia ba: i amo sia: ne i, “Isala: ili dadi gagui gilisisu da Samelia sogega manebe.”
18 Akasema, “Ikiwa wamekuja kwa amani, wakamate wakiwa hai; ikiwa wamekuja kwa vita, wakamate wakiwa hai.”
Beneha: ida: de da ilima amane sia: i, “Amo dunu da gegemusa: o olofoi adole ba: musa: maha. Be amo mae dawa: le, ili mae medoleawane, udigili gagulaliligima!”
19 Wale maafisa vijana majemadari wa majimbo wakatoka nje ya mji jeshi likiwa nyuma yao,
Isala: ili ayeligi dadi gagui dunu da doagala: musa: bisili asi. Isala: ili dadi gagui dunu wa: i da ilima fa: no bobogei.
20 kila mmoja akamuua adui yake. Hii ilisababisha Waaramu kukimbia, huku Waisraeli wakiwafuatia. Lakini Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akatoroka akiwa amepanda farasi wake pamoja na baadhi ya wapanda farasi wake.
Dunu afae afae da ele dabele gegebe dunu amo afae afae fane legei. Silia dadi gagui dunu ilia da hobeabeba: le, Isala: ili dunu da ilima fa: no bobogele sefasi. Be Beneha: ida: de amola hosi da: iya fila heda: i dadi gagui dunu mogili, ilia da hosi da: iya fila heda: le, hobeahadafa hobea: i.
21 Mfalme wa Israeli akasonga mbele na kushinda farasi na magari ya vita na kusababisha hasara kubwa kwa Waaramu.
Hina bagade A: iha: be da bisili gegesu amoga aligila misini, Silia hosi amola ‘sa: liode’ fefedelale, Silia dunu hasalasi.
22 Baadaye nabii akaja kwa mfalme wa Israeli na kusema, “Jiandae vizuri ufikirie la kufanya, kwa sababu mwakani mfalme wa Aramu atakuja kukushambulia tena.”
Amalalu, balofede dunu da hina bagade A: iha: bema asili, amane sia: i, “Di buhagili, dia dadi gagui wa: i amo gasa fima: ne wiwima. Amola dawa: iwane, Isala: ili soge gaga: musa: ilegema. Bai woufo galu, Silia hina bagade da dilima bu doagala: musa: misunu.
23 Wakati ule ule, maafisa wa mfalme wa Aramu wakamshauri, wakamwambia, “Miungu yao ni miungu ya vilimani. Ndiyo sababu walikuwa na nguvu sana kutuzidi. Lakini kama tukipigana nao katika nchi tambarare, hakika tutawashinda.
Hina bagade Beneha: ida: de ea eagene ouligisu dunu da ema amane sia: i, “Isala: ili dunu ilia da nini hasalasu amo ea bai da Isala: ili fi dunu ilia ‘gode’ huluane da goumi ‘gode’. Be ninia da umiga ilima gegesea, ninia da dafawane ili hasalisimu.
24 Fanya hivi: Waondoe hao wafalme wote thelathini na wawili kutoka nafasi zao na uweke maafisa wengine mahali pao.
Wali ninia fuligala: su ouligisu dunu 32 agoane, amo fadegama. Dadi gagui wa: i ouligisu dunu, ilia sogebi huluane lama: ne, hamoma.
25 Ni lazima pia uandae jeshi jingine kama lile ulilopoteza, farasi kwa farasi, gari la vita kwa gari la vita, ili tuweze kupigana na Israeli katika nchi tambarare. Kisha kwa hakika tutakuwa na nguvu kuliko wao.” Akakubaliana nao naye akashughulika ipasavyo.
Amasea, dadi gagui wa: i (wa: i amo da di fisili hobea: i defele, amo hosi amola ‘sa: liode’ idi defele) amo gilisima: ma. Ninia da Isala: ili dunuma umiga gegemu, amola wali ili hasalasimu.” Hina bagade Beneha: ida: de da ilia sia: hahawane nabi, amola ilia fada: i sia: defele hamomusa: dawa: i.
26 Mwaka uliofuata, majira kama hayo, Ben-Hadadi akawakusanya Waaramu mpaka Afeki kupigana dhidi ya Israeli.
Asili, woufo amogalu, e da ea dadi gagui dunu gilisima: ne wei, amola ilia da ea hamoma: ne sia: beba: le, A:ifege moilaiga, Isala: ili dunu doagala: musa: , mogodigili asi.
27 Baada ya Waisraeli kukusanywa na kupewa mahitaji, walikwenda kukabiliana nao. Waisraeli wakapiga kambi mkabala nao kama makundi mawili madogo ya mbuzi, wakati Waaramu walienea katika nchi yote.
A: iha: be da Isala: ili dadi gagui dunu gilisima: ne wele, ilima gegesu liligi i. Ilia da gadili mogodigili asili, ha wa: i diasu gilisisu aduna hamone, Silia dadi gagui wa: i ilima ba: le gusuli fi dialu. Isala: ili dadi gagui gilisisu da goudi wa: i aduna fonobahadidafa agoai ba: i. Bai Silia dadi gagui dunu wa: i da bagadedafa amo sogebi bagade amoga fiafiasa asi dialebe ba: i.
28 Mtu wa Mungu akaja na kumwambia mfalme wa Israeli, “Hivi ndivyo Bwana asemavyo: ‘Kwa sababu Waaramu wanafikiri Bwana ni Mungu wa vilimani na sio Mungu wa mabondeni, nitatia jeshi hili kubwa mkononi mwako, nawe utajua kuwa mimi ndimi Bwana.’”
Balofede dunu afae da hina bagade A: iha: bema asili, amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Silia dunu da Na da agolo ouligisu ‘gode’ fawane, amola umi ouligimu hame dawa: Amaiba: le, Na da dili, ilia dadi gagui wa: i bagadedafa amo hasalasimusa: hamomu. Amasea, di amola dia fi dunu, dilia da Na da Hina Godedafa dawa: mu.’”
29 Kwa siku saba walipiga kambi wakitazamana na siku ya saba vita vikaanza. Waisraeli wakawajeruhi askari wa miguu wa Waaramu 100,000 kwa siku moja.
Eso fesuale, Silia amola Isala: ili dunu da ilia ha wa: i diasu gilisisu ganodini ba: le gusuliwane esalu. Eso fesu ganodini, gegesu da mui. Isala: ili dadi gagui dunu ilia da Silia dunu 100,000 agoane medole legei.
30 Waliobaki wakatorokea katika mji wa Afeki, mahali ambapo watu 27,000 waliangukiwa na ukuta. Naye Ben-Hadadi akakimbilia mjini na kujificha kwenye chumba cha ndani.
Silia dunu hame bogoi esalebe, da A: ifege moilaiga hobea: i. Be amogawi, moilai dobea fei sisiga: i da mugululi sa: ili, Silia dunu 27,000 agoane banei. Beneha: ida: de da moilai bai bagadega hobeale, diasu ganodini sesei amo ganodini wamoaligi.
31 Maafisa wake wakamwambia, “Tazama, tumesikia kwamba wafalme wa nyumba ya Israeli wana huruma. Twendeni kwa mfalme wa Israeli tukiwa tumevaa nguo za gunia viunoni mwetu na kamba kuzunguka vichwa vyetu. Huenda akakuacha hai.”
Ea eagene ouligisu dunu da ema asili, amane sia: i, “Ninia nabi, amo Isala: ili hina bagade, ilia da asigili gogolema: ne olofosu hou dawa: Ninia da eboboi abula ninia bulualesisili, amola efe galoaga la: la: bololesisili, Isala: ili hina bagadema masa: ne di sia: ma. Amabela: ? E da di esaloma: ne yolesima: bela: ?”
32 Wakiwa wamevaa nguo za gunia viunoni mwao na kamba kuzunguka vichwa vyao, walikwenda kwa mfalme wa Israeli na kusema, “Mtumishi wako Ben-Hadadi anasema: ‘Tafadhali, naomba uniache hai.’” Mfalme akajibu, “Je, bado yuko hai? Yeye ni ndugu yangu.”
Amaiba: le, ilia da eboboi abula bulualisisili, amola efe galoaga la: la: bololesisili A: iha: bema asili, amane sia: i, “Dia hawa: hamosu dunu Beneha: ida: de, e da ‘Na mae fama: ia’ hi segesa.” A: iha: be da bu adole i, “E da hame bogoi esalabala? Defea mabu! E da na fi dunu agoane ba: sa.”
33 Wale watu wakalipokea jambo lile kama dalili nzuri nao wakawa wepesi kulichukua neno lake wakisema, “Ndiyo, yeye ni ndugu yako Ben-Hadadi!” Mfalme akawaambia, “Nendeni mkamlete.” Ikawa Ben-Hadadi alipokuja, Ahabu akampandisha katika gari lake la vita. Ben-Hadadi akajitolea, akisema,
Beneha: ida: de da sia: noga: idafa hogobeba: le, A:iha: be da ‘na fi dunu’ sia: beba: le, ilia da hedolowane hahawane sia: i, “Dafawane! Dia sia: i defele, Beneha: ida: de da dia fi dunu agoane!” A: iha: be da amane hamoma: ne sia: i, “E nama oule misa!” Beneha: ida: de da ema doaga: loba, A:iha: be da ela gilisili ‘sa: liode’ amo da: iya fila heda: musa: , e hiougi.
34 “Nitairudisha ile miji ambayo baba yangu aliiteka kutoka kwa baba yako. Unaweza kuweka maeneo yako ya soko katika Dameski, kama baba yangu alivyofanya huko Samaria.” Ahabu akasema, “Katika misingi ya mkataba, nitakuachilia huru.” Kwa hiyo akaweka mkataba naye, akamruhusu aende zake.
Beneha: ida: de da A: iha: bema amane sia: i, “Na da moilai huluane amo na ada da dia adama fedele lai, amo dima bu imunu. Amola na ada da Samelia moilai bai bagade amo ganodini bidi lasu ouligisu bai hamoi, amo defele di da Dama: saga: se moilaiga agoane hamomu da defea.” A: iha: be da bu adole i, “Defea! Di da agoane ilegeiba: le, na da di masa: ne sesalimu.” Ela da gilisili bu mae gegema: ne ilegele sia: ne, A:iha: be da Beneha: ida: de udigili masa: ne sesali.
35 Kwa neno la Bwana, mmoja wa wana wa manabii akamwambia mwenzake, “Nipige kwa silaha yako,” lakini yule mtu akakataa.
Hina Gode da amane hamoma: ne sia: beba: le, balofede dunu ilia gilisisu ganodini, balofede dunu afae da ea sama balofede dunu amo ea e fama: ne sia: i. Be ea sama da e famu higa: iba: le, hame fai.
36 Kwa hiyo yule nabii akasema, “Kwa sababu hukumtii Bwana, mara tu tutakapoachana utauawa na simba.” Na baada ya yule mtu kuondoka, simba akatokea na kumuua.
Amaiba: le, balofede dunu da ea samama amane sia: i, “Di da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i hame nababeba: le, di da na yolesili, hedolowane laione wa: mega fane legei dagoi ba: mu.” Amalalu, amo balofede dunu da fisili, ahoabeba: le, laione wa: me da misini, e medole legei.
37 Nabii akamkuta mtu mwingine na kumwambia, “Nipige tafadhali.” Kisha yule mtu akampiga na kumjeruhi.
Amalalu, balofede dunu (amo da ea samama e fama: ne sia: i), amo da eno dunuma amane sia: i, “Na fama!” Amo dunu da amane hamoi. E da balofede dunu ea odagia ha: gi fabeba: le, balofede da se nabi.
38 Ndipo nabii akaenda na kusimama barabarani akimsubiri mfalme. Akajibadilisha kwa kushusha kitambaa cha kichwani mwake hadi kwenye macho.
Balofede dunu da ea odagia abula gadelai amoga la: la: gili (amo da ea ba: su afadenema: ne hamoi) asili, Isala: ili hina bagade baligili masa: ne, logo bega: ouesalu.
39 Mfalme alipopita pale, yule nabii akamwita, “Mtumishi wako alikwenda vitani wakati vita vilipopamba moto, mtu mmoja akanijia na mateka akasema, ‘Mlinde mtu huyu. Kama akitoroka itakuwa uhai wako kwa uhai wake, ama vipande 3,000 vya fedha.’
Hina bagade da e baligimusa: ahoanoba, balofede da ema amane wele sia: i, “Hina bagade! Na da gegesu ganodini gegenanoba, dadi gagui dunu afae da ha lai dunu gagulaligili, nama oule misini, amane sia: i, ‘Amo dunu noga: le sosodo aligima! Be di da noga: le hame sosodo aligisia amola e da dafawane hobeasea, di da dabe ima: ne, medole legei dagoi ba: mu. O amai hame galea, dabe silifa fage 3,000 agoane ima.’
40 Wakati mtumishi wako alipokuwa na shughuli nyingi hapa na pale, yule mtu akatoweka.” Mfalme wa Israeli akasema, “Hiyo ndiyo hukumu yako. Wewe umeitaja mwenyewe.”
Be na da eno hawa: hamosu hamobeba: le, amo dunu da hobeale asi.” Hina bagade da bu adole i, “Disu da dia dawa: ma: ne dabe se imunu sia: i dagoi. Di da dabe imunu galebe.”
41 Kisha yule nabii akajifunua macho yake haraka, na mfalme wa Israeli akamtambua kama mmoja wa manabii.
Balofede dunu da ea odagia abula ga: i, amo gadelale fasibi ba: loba, hina bagade da e da balofede dunu afae dawa: i.
42 Akamwambia mfalme, “Hivi ndivyo Bwana asemavyo: ‘Umemwacha huru mtu niliyekusudia afe. Kwa hiyo ni uhai wako kwa uhai wake, watu wako kwa watu wake.’”
Amalalu, balofede da hina bagadema amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Na da di Beneha: ida: de medole legema: ne sia: i. Be di da e masa: ne, sesali. Amaiba: le, di da amo dabele, medole legei dagoi ba: mu. Amola dia dadi gagui wa: i da Silia dadi gagui wa: i hobeale masa: ne sesaliba: le, ilia da gugunufinisi dagoi ba: mu.’”
43 Kwa uchungu na hasira, mfalme wa Israeli akaenda kwenye jumba lake la kifalme huko Samaria.
Hina bagade da da: i dioi bagadewane, Samelia sogega buhagi.